Mtoa mada nafikiri, kupitia hizo comments, umeshajionea vizuri hali ilivyo kwa jamii zetu. Kama ulikuwa unafanya research, basi imekupatia majibu murua kabisa. Humu kumbe wamejaa 'daddies' na 'moms' zaidi ya uliowaona. Hatri sana! Tumekwama!
Hapo binti au kijana yupo huru kumkiss 'daddy' na atajibiwa kwa furaha, 'waoooo, thank you!'
Hapo binti akirudi na 'dido' siku moja katika begi lake ataambiwa kwa upole na unyenyekevu, 'don't do that my princess jomoni'.
Hapo kijana akifika nyumbani na kijana mwenzie huku wameshikana mikono, kwa furaha ataambiwa, 'waoooww, what a good pair you make my prince!'
Hivi punde nimetoka kuupitia ule uzi wa mtoto kulawitiwa huko Mbeya, baada ya kuona majibu ya mada hii......ninapata tabu sana!
Pole mkuu, tusikate tamaa, tuombe Mungu sana sana sana!
Hapo binti au kijana yupo huru kumkiss 'daddy' na atajibiwa kwa furaha, 'waoooo, thank you!'
Hapo binti akirudi na 'dido' siku moja katika begi lake ataambiwa kwa upole na unyenyekevu, 'don't do that my princess jomoni'.
Hapo kijana akifika nyumbani na kijana mwenzie huku wameshikana mikono, kwa furaha ataambiwa, 'waoooww, what a good pair you make my prince!'
Hivi punde nimetoka kuupitia ule uzi wa mtoto kulawitiwa huko Mbeya, baada ya kuona majibu ya mada hii......ninapata tabu sana!
Pole mkuu, tusikate tamaa, tuombe Mungu sana sana sana!
