Sijui ni moyo au pressure, msaada wa haraka

Jana nilileta Uzi wa kuomba ushauri juu ya moyo kwenda mbio na kuuma.

Leo nimeenda hospital nimepima vipimo viwili
-ECHO
-ECG

wakuu huyu doctor alikuwa bize sikuweza kumuulza indeep, baada ya kupima nimeambiwa nirudi kesho kufata majibu.

Hivi Ni kweli vipimo hivyo vinachukua muda kupata majibu.

N.B naisi moyo unauma kwa ndani afu Nina kizunguzungu.
 
Mimi pia nilishawahi kupima pale Muhimbili Jakaya Kikwete ......
vipimo hivyo viwili majibu niliipata siku hiyo hiyo.....nilifika mapema saa 12 asubuhi nikafanikiwa kupima saa nne asubuhi, saa nane mchana nikapata majibu
wengine niliokuwa nao waliambiwa warudi kesho yake.....
usihofu mkuu ni kawaida
 
Mimi pia nilishawahi kupima pale Muhimbili Jakaya Kikwete ......
vipimo hivyo viwili majibu niliipata siku hiyo hiyo.....nilifika mapema saa 12 asubuhi nikafanikiwa kupima saa nne asubuhi, saa nane mchana nikapata majibu
wengine niliokuwa nao waliambiwa warudi kesho yake.....
usihofu mkuu ni kawaida
Shukran we moyo ulikuwa na shida gani
 
Shukran we moyo ulikuwa na shida gani
Nilikuwa nikitembea kwa spidi kidogo moyo ulikuwa unauma jasho likanitoka mpaka nikae nipumzike kwa muda.....
tembea yangu ilikuwa taratibu sana....
vile vile nilikuwa nikilala usiku nilikuwa napata maumivu makali ya moyo......
lkn vipimo havikuonyesha tatizo lolote..
sema mm mwenyewe nikajiongeza kuna mazoezi flani ya misuli ya moyo nilianza kufanya sasa niko poa kabisa
na ninakimbia kwa speed road sasa hv...
 
Afya moyo ni muhimu sana kuiangalia hasa unapoingia kwenye 40’s. Ingawa wataalamu wanasema maisha uliyoishi miaka kumi iliyopita ndiyo yanaonyesha impact leo katika afya yako.

Fikiria 35 ndiyo umekua na kajinafasi ofini na kama ni biashara inaweza kujiendesha yenyewe bila wewe kuwepo masaa 24. Unakagua mahesabu hela iliyokwenda bank na mambo mengine yanaendelea. Huu ndiyo muda unaweka kikao bar na wapambe mnakula nyama choma na beer kwa kwenda mbele. Si rahisi kukumbuka jogging, kula mboga zaidi ya nyama na kunywa maji zaidi ya pombe.
 
Hayo ndio maisha yetu.....
mm kuna kipindi mambo yalinyooka sana....
nilikuwa na wasimamizi wazuri kwa hivyo kazi ilikuwa ni kupewa report ya mwisho iliyochujwa nilikuwa sina jmosi wala j3 nakulae beer nachoma mbuzi au kondoo na washikaji iwe home au kitaa
 
Hayo ndio maisha yetu.....
mm kuna kipindi mambo yalinyooka sana....
nilikuwa na wasimamizi wazuri kwa hivyo kazi nilikuwa sina jmosi wala j3 nakulae beer nachoma mbuzi au kondoo na washikaji iwe home au kitaa
Usijilaumu sana, kwa maisha tuliyokulia, fikiria zile boarding zetu za serikali enzi za Mwalimu, hasa baada ya Vita ya Kagera. Nyama tulikula mara moja kwa mwezi.

Unapokua na kijinafasi cha kula nyama kila siku unakitumia. Kwa watoto wetu tuwape exposure, hata wakiwa wakubwa waone nyama choma ni kitu cha kawaida na unaweza kula mara moja kwa mwezi.
 
Mimi Ni 27, nilikuwa nakula nyama like Mara 5 kwa wiki(namaanisha mboga) choma Mara moja kwa wiki, likini nilikuwa nafanya kazi, sikuwa nakaa kizembe, now moyo unauma, Sina nguvu, naisi kizunguzungu kwa mbali
 
Mimi Ni 27, nilikuwa nakula nyama like Mara 5 kwa wiki(namaanisha mboga) choma Mara moja kwa wiki, likini nilikuwa nafanya kazi, sikuwa nakaa kizembe, now moyo unauma, Sina nguvu, naisi kizunguzungu kwa mbali
Subiri majibu ya madaktari kwanza, kuna magonjwa ya kurithi ya moyo hasa kwa jamii za Afrika na Asia, Kuna life style na maradhi tu yanaweza kutokea labda kwa msongo wa mawazo.
 
N
Wakuu napitia hali ngumu Sana.

Mwezi wa 11, nilikuja nkapata shida moja, yaani iliniperekea kupata stress, anxiety na totally ubnomal.

Sijakaa Sawa mwezi wa 12 nkafukuzwa kazi, aisee niliumia, nilikumbwa na stress sijawai pata,

Mwezi wa kwanza nkaachwa na mpenzi wangu niliyempenda kwa dhati.

Basi baada ya kufukuzwa kazi niliamua kujiajiri na kuanzisha bihashara, mungu anasaidia Hali sio mbaya.

Sasa kutokana na stress za kupoteza kazi, na stress za kuachwa, na stress za bihashara, yaani nkiwaza kidogo au kuwa na hasira, moyo unanidunda saaaaaaana, afu mtu akiniudhi kidogo moyo unanidunda saaaaana, yaaani mapigo ya moyo yanaenda mbio kinyama

Juzi nilipata mwanamke, wakati wa sex, during second ejaculation yaani niliishiwa pumzi nilidhani ntakufa au kuzimia.

Hospital sijaenda, Ila hii Hali ya mapigo ya moyo kwenda mbio Mara kwa Mara Ni magonjwa ya moyo au Ni pressure.

Wakuu ntawezaje kutibu hii hali, maana usiku naweza shikwa na mapigo ya moyo unaweza dhani moyo utachomoka, afu ukishapoa ntaskia maumivu kwa ndani badae.

Nifanyeje ndugu zangu, msaada tafadhali

Wasiwasi,stress, zitaniua
NENDA HOSPITALIIII kapime Kisha uje na majibu hapa tukushauri zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom