kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,059
- 3,652
mkuu hauwekagi mikeka kwa mhind kweli,maana ndo presha ilikobakia ayo mengine n ziada tuu
Nshapima, nimeambiwa moyo unapanuka,nimepewa dawaPole sana hii hali ilinipata mwaka jana
Moyo ulikuwa unaenda mbio sana hasa nilikasirika au kuwa na mawazo ,lakin hiyo hali imepotea kabisa
Nenda kapime kifua ,na moyo