Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,202
- 1,295
Wakuu napitia hali ngumu Sana.
Mwezi wa 11, nilikuja nkapata shida moja, yaani iliniperekea kupata stress, anxiety na totally ubnomal.
Sijakaa Sawa mwezi wa 12 nkafukuzwa kazi, aisee niliumia, nilikumbwa na stress sijawai pata,
Mwezi wa kwanza nkaachwa na mpenzi wangu niliyempenda kwa dhati.
Basi baada ya kufukuzwa kazi niliamua kujiajiri na kuanzisha bihashara, mungu anasaidia Hali sio mbaya.
Sasa kutokana na stress za kupoteza kazi, na stress za kuachwa, na stress za bihashara, yaani nkiwaza kidogo au kuwa na hasira, moyo unanidunda saaaaaaana, afu mtu akiniudhi kidogo moyo unanidunda saaaaana, yaaani mapigo ya moyo yanaenda mbio kinyama
Juzi nilipata mwanamke, wakati wa sex, during second ejaculation yaani niliishiwa pumzi nilidhani ntakufa au kuzimia.
Hospital sijaenda, Ila hii Hali ya mapigo ya moyo kwenda mbio Mara kwa Mara Ni magonjwa ya moyo au Ni pressure.
Wakuu ntawezaje kutibu hii hali, maana usiku naweza shikwa na mapigo ya moyo unaweza dhani moyo utachomoka, afu ukishapoa ntaskia maumivu kwa ndani badae.
Nifanyeje ndugu zangu, msaada tafadhali
Wasiwasi,stress, zitaniua
Mwezi wa 11, nilikuja nkapata shida moja, yaani iliniperekea kupata stress, anxiety na totally ubnomal.
Sijakaa Sawa mwezi wa 12 nkafukuzwa kazi, aisee niliumia, nilikumbwa na stress sijawai pata,
Mwezi wa kwanza nkaachwa na mpenzi wangu niliyempenda kwa dhati.
Basi baada ya kufukuzwa kazi niliamua kujiajiri na kuanzisha bihashara, mungu anasaidia Hali sio mbaya.
Sasa kutokana na stress za kupoteza kazi, na stress za kuachwa, na stress za bihashara, yaani nkiwaza kidogo au kuwa na hasira, moyo unanidunda saaaaaaana, afu mtu akiniudhi kidogo moyo unanidunda saaaaana, yaaani mapigo ya moyo yanaenda mbio kinyama
Juzi nilipata mwanamke, wakati wa sex, during second ejaculation yaani niliishiwa pumzi nilidhani ntakufa au kuzimia.
Hospital sijaenda, Ila hii Hali ya mapigo ya moyo kwenda mbio Mara kwa Mara Ni magonjwa ya moyo au Ni pressure.
Wakuu ntawezaje kutibu hii hali, maana usiku naweza shikwa na mapigo ya moyo unaweza dhani moyo utachomoka, afu ukishapoa ntaskia maumivu kwa ndani badae.
Nifanyeje ndugu zangu, msaada tafadhali
Wasiwasi,stress, zitaniua