Sijui lini nitapata mke mwema

Sijui lini nitapata mke mwema

SAYANSIKIMU

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2014
Posts
1,132
Reaction score
260
Katika nyakati zetu za sasa ni vigumu sana kumpata mwanamke aliye mwema.

Moyoni mwangu nafikiri sana nionapo marafiki wangu jinsi walivyo salitiwa na wapenzi wao.

Nauliza nyinyi mlio oa na kupata wake wema mlifanyaje mpaka mkawapata hao maana ninampango wa kutafuta mke.
 
Mwombe mungu na tulia kwa kuzingatia vigezo vyako
 
Sali sana .
Usitafute mwanamke alie "perfect kwa kila mtu
Bali Kwako tu " .
Maana akiwa perfect Kwako hata mapungufu
Yake utaona yako sawa tu .

Na kumbuka nyie ni watu wawili toFauti mnaotarajia
Kuishi pamoja kwa hiyo mna "values" tofauti.

Sisi ni binadamu hakuna alie kamilika kila kitu
Kwa hiyo Angalie yule mnaoendeana kwa mapungufu
Na usiangalie uzuri wake tu . Ukiweza kuishi na mapungufu
Ya mtu , kuishi na uzuri wake itakuwa rahisi zaidi .
 
Je, ww ni mume mwema?? Usije ukawa unalilia mke mwema kumbe ww mwenyew unashnda kwenye mapaja ya watoto wa watu.........
 
Je, ww ni mume mwema?? Usije ukawa unalilia mke mwema kumbe ww mwenyew unashnda kwenye mapaja ya watoto wa watu.........

Bado sijaoa kwa sasa na sijawahi kujihusisha na mahusiano mpaka sasa.Sasa hivi nimeshakuwa mtu mzima nataka nianze kutafuta mwenza.Lakini nacho ogopa mpaka sasa ni kuanzisha mahusiano halafu baadae kusalitiwa.Ndio maana nimeamua kuomba ushauri kwenu ili nisije kukosea katika kuchagua .
 
Jitahidi kuwa mwema wewe mwenyewe kwanza pili tumia njia njema kumtafuta mtu mwema. Mungu atakusaidia
 
Katika nyakati zetu za sasa ni vigumu sana kumpata mwanamke aliye mwema.Moyoni mwangu nafikiri sana nionapo marafiki wangu jinsi walivyo salitiwa na wapenzi wao.NAULIZA NYINYI MLIO OA NA KUPATA WAKE WEMA MLIFANYAJE MPAKA MKAWAPATA HAO MAANA NINAMPANGO WA KUTAFUTA MKE.

kaoe baamedi alieamua kuacha ubamedi utafurahi mwenyewe.
 
Bado sijaoa kwa sasa na sijawahi kujihusisha na mahusiano mpaka sasa.Sasa hivi nimeshakuwa mtu mzima nataka nianze kutafuta mwenza.Lakini nacho ogopa mpaka sasa ni kuanzisha mahusiano halafu baadae kusalitiwa.Ndio maana nimeamua kuomba ushauri kwenu ili nisije kukosea katika kuchagua .
Kama unaogopa kusalitiwa sijui kama utaoa ndugu yangu.
 
Bado sijaoa kwa sasa na sijawahi kujihusisha na mahusiano mpaka sasa.Sasa hivi nimeshakuwa mtu mzima nataka nianze kutafuta mwenza.Lakini nacho ogopa mpaka sasa ni kuanzisha mahusiano halafu baadae kusalitiwa.Ndio maana nimeamua kuomba ushauri kwenu ili nisije kukosea katika kuchagua .

Hongera sana
Fanya yafuatayo
Sali sana kwa muumba wako akuchagulie mke mwema kwa maana huwezi kutumia nguvu na akili tuu tumia roho mtakatifu

Pili tuliZa akili no needs to rush especially in love kuwa makin sana

Last angalie wa type yko kwa maana hta mapungufu yake utaweza kumvumilia iciangalie awe perfect kwa kila MTU Bali awe acceptable kweny roho yako kwa maana wewe ndo utaishi nae.
Best wishes may God give u ur heart desire
 
Bado sijaoa kwa sasa na sijawahi kujihusisha na mahusiano mpaka sasa.Sasa hivi nimeshakuwa mtu mzima nataka nianze kutafuta mwenza.Lakini nacho ogopa mpaka sasa ni kuanzisha mahusiano halafu baadae kusalitiwa.Ndio maana nimeamua kuomba ushauri kwenu ili nisije kukosea katika kuchagua .

ahh so wewe ni bikira....??
 
Wewe mwenyewe ni mume mwema? Maana ndege wafananao huruka pamoja
 
Katika nyakati zetu za sasa ni vigumu sana kumpata mwanamke aliye mwema.Moyoni mwangu nafikiri sana nionapo marafiki wangu jinsi walivyo salitiwa na wapenzi wao.NAULIZA NYINYI MLIO OA NA KUPATA WAKE WEMA MLIFANYAJE MPAKA MKAWAPATA HAO MAANA NINAMPANGO WA KUTAFUTA MKE.

unaomba mke mwema wakati wewe hujawa mume bora ukiwa umekamilika utampata aliyekamilika
 
Una maanisha nini muuliza mtoa mada yaani mke mwema kwa nina vyo fahamu ni tayari ameshaoloewa so unataka mke wa mtu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom