Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
Ni muda sasa nimekua nikijiuliza kuhusiana na hili jambo na kuna wakati nimejikuta naishia kushangaa tu,katika kujiuliza huko niliwahi kuanzisha uzi hapa nikijaribu kupata mawazo ya wnawake kuhusiana na hili
Niliwahi kuanzisha uzi hapa ukihusiana na mwanamke kuwa na mume/boyfriend ambae sio mcharuko[kicheche] lakini pia kipato chake sio kikubwa kiviile lakini kikubwa zaidi ni kuwa mwanaume huyo hajali na wala hamuulizi wala kumchunga mkewe hata akichelewa na sio mbishi pale mwanamke anapokuwa anamwambia kuhusiana na mambo kama vile kuchelewa kurudi,kusafiri kikazi n.k
Nilipata maoni ya wanawake wengi wakisema kuwa watampenda sana mwanaume wa aina hiyo na kumheshimu sana bila kujali hali yake kifedha kwakuwa kile kitendo cha kutokuwa kicheche tu kinatosha kumfanya mwanaume huyo kuwa bora,kifupi waliongea mendi sana
Sasa nimejikuta nashangaa sana baada ya kukagua baadhi ya ndoa zenye wanaume wenye sifa hizo au zinazokaribia kufanana na hizo
Nilishangaa kwasababu karibu ndoa zote 7 nilizozifanyia uchunguzi wa harakaharaka,wanawake hao wanatoka nje ya ndoa,sijajua hasa ni kwanini ila nadhani huenda kuna kitu kimejificha kwenye hilo
Ndio hizo mara nyingi wanaume sio wakali kwa wake zao pindi wachelewapo kurudi kazini,waume hao sio vicheche,yaani kwa kifupi wanaume hao karibu chochote watakachoambiwa na wake zao wao hawana tatizo labda kwenye mambo machache sana
Nilivyokuwa najua mimi ni kuwa wanawake huwapenda sana wananume wanaowasikiliza na kuwaunga mkono hasa kwenye mambo "yao" lakini naona kama nilikuwa najidanganya
Najua idadi hiyo ya ndoa ni chache sana lakini nadhani zinatosha kumshtua yoyote na kupelekea kujiuliza,iweje zote zifanane?Kwanini hakuna tofauti hata moja?
Wanawake wanataka mtu wa aina gani?
Kuna wakati jamaa yangu mmoja aliwahi kiniambia kuwa kama unataka mwanamke akuheshimu mgegede vizuri lakini kuna waliofanya hivyo na wakaambulia vibuti
Kuna wengine wanaamini katika hela lakini tunaona kila siku akina shamba boy wakizisambaratisha ndoa za mabosi wao
Kuna wengine wanadhani kuwa handsome ndio komesha lakini ukweli kila mtu anaujua
Wanataka nini hawa watu?
Hebu kujeni hapa mtueleze!
Niliwahi kuanzisha uzi hapa ukihusiana na mwanamke kuwa na mume/boyfriend ambae sio mcharuko[kicheche] lakini pia kipato chake sio kikubwa kiviile lakini kikubwa zaidi ni kuwa mwanaume huyo hajali na wala hamuulizi wala kumchunga mkewe hata akichelewa na sio mbishi pale mwanamke anapokuwa anamwambia kuhusiana na mambo kama vile kuchelewa kurudi,kusafiri kikazi n.k
Nilipata maoni ya wanawake wengi wakisema kuwa watampenda sana mwanaume wa aina hiyo na kumheshimu sana bila kujali hali yake kifedha kwakuwa kile kitendo cha kutokuwa kicheche tu kinatosha kumfanya mwanaume huyo kuwa bora,kifupi waliongea mendi sana
Sasa nimejikuta nashangaa sana baada ya kukagua baadhi ya ndoa zenye wanaume wenye sifa hizo au zinazokaribia kufanana na hizo
Nilishangaa kwasababu karibu ndoa zote 7 nilizozifanyia uchunguzi wa harakaharaka,wanawake hao wanatoka nje ya ndoa,sijajua hasa ni kwanini ila nadhani huenda kuna kitu kimejificha kwenye hilo
Ndio hizo mara nyingi wanaume sio wakali kwa wake zao pindi wachelewapo kurudi kazini,waume hao sio vicheche,yaani kwa kifupi wanaume hao karibu chochote watakachoambiwa na wake zao wao hawana tatizo labda kwenye mambo machache sana
Nilivyokuwa najua mimi ni kuwa wanawake huwapenda sana wananume wanaowasikiliza na kuwaunga mkono hasa kwenye mambo "yao" lakini naona kama nilikuwa najidanganya
Najua idadi hiyo ya ndoa ni chache sana lakini nadhani zinatosha kumshtua yoyote na kupelekea kujiuliza,iweje zote zifanane?Kwanini hakuna tofauti hata moja?
Wanawake wanataka mtu wa aina gani?
Kuna wakati jamaa yangu mmoja aliwahi kiniambia kuwa kama unataka mwanamke akuheshimu mgegede vizuri lakini kuna waliofanya hivyo na wakaambulia vibuti
Kuna wengine wanaamini katika hela lakini tunaona kila siku akina shamba boy wakizisambaratisha ndoa za mabosi wao
Kuna wengine wanadhani kuwa handsome ndio komesha lakini ukweli kila mtu anaujua
Wanataka nini hawa watu?
Hebu kujeni hapa mtueleze!