Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,702
- Thread starter
- #61
Mkuu haya mambo mhh!!!
....usishangae kaka, kwani si ushasikia kitu kinaitwa Open Marriage?
Si unajua zile za U Room Mate chuo? sasa "Mkeo" anakuwa #HouseMate!
.....mtapoamua, anaweza pia kuwa mama wa mtoto/watoto wako...Apart from that
kila mtu na lwake....wakati hauruhusu kabisa kuumizana kichwa miaka ya sasa.
Peace of Mind....