Unang'ang'ania uende ghorofa ya 3 bila ya kupitia ghorofa ya kwanza na pili
Ni kitu gani kilimfanya akubali kuolewa na mimi at the first place?
Au hayo mapungufu yamekuja kutoka kusikojulikana tu?
Halafu unajua kama kuna mtu mwenye sifa zote hizo duniani?
Na una uhakika kuwa hicho ndio kinawafanya watoke nje ya ndoa?
Wameshakujibu sina haja ya kurudia!