Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,875
Nimeshapeleka mawazo mbali.. tutajiachia kama vile tuko ibiza
Sanaaaaaa......:tukipiga style za butterfly.......
Nimeshapeleka mawazo mbali.. tutajiachia kama vile tuko ibiza
NALIFANYIA KAZI HILI KWANI HATUKO SAWAShukuru sana kwenye familia yenu akiwepo mtu mwenye kauwezo kidogo kwani anatoa hata nuksi ya umaskini na atakuwa kama mlango wa ninyi wengine kufanikiwa hata bila kupitia yeye...So muombee azidi kufanikiwa na ufate mambo yako tu badala ya kumchukia..
Mkuu usiogope, kuna namna ya kujitoa kwenye group la Whats app bila wenzio kujua ili usiwakwaze...AHSANTE LAKINI WAKUBWA WATANISHANGAA NA KUNIULIZA KULIKONI ,OK NGOJA NIJITOE TU
Unajitoa vipi bila watu kujua?Mkuu usiogope, kuna namna ya kujitoa kwenye group la Whats app bila wenzio kujua ili usiwakwaze...
Tatizo lilikuwa kwa mkeo hakutaka muishi maisha yenu bali ya wengine...mshukuru Mungu ndoa ilivunjika uliepushiwa mengi..angeweza kufanya vitu vya kudhalilisha ndoa almradi tu apate anachotakaHI,
HABARI ZENU,NINA MDOGO WANGU(BINAMU) namchukia toka kipindi ambacho nipo ndani ya ndoa sababu ni hivi,
Nilioa mke, na yeye(dada yangu) aliolewa na mtu tajiri na kila mara akawa anamtambia mke wangu ,na mawifi wengine kwenye vitu mbali mbali vya kununua nunua (simu,kubadili gari,swiming pool ya kununua, na mambo kedekede kila kukicha) mke wangu akawa ananiendesha ile mbaya kwamba mimi simpendi /sijui ku care,mara hv mara vile mwishowe demand ya vitu na vijimigorogoro vikawa vingi na mimi sijaishi kwenye maisha ya kutatua /kusuruhisha/kushtakiwa /kulaumiwa/au kulaumu/kusingiziwa mabaya/au kutenda mabaya katika ujana wangu wote tuliachana na mke wangu,
shida nliyonayo yule dada angu kila leo anapost vitu vizuri vizuri kwenye group moja la whatsaap la familia na mimi nakumbuka vile vijigogoro vilivyopita na aliyekuwa mke wangu. sasa sijui yangu ya kumchukia kwa tabia yake hii mimi itaniisha lini maana dogo anakimbiza mpaka mawifi zake wengi kinawauma.
mtoa mada hajui tofauti ya jacuzzi wala swimming poolUkipata niite nije na chlorine tujimwae mwae sie......na hili joto......tutafaidi sana......
Zipo kibao tu. Pita Nabaki Afrika utazipataHivi kuna swimming pool kubwa ya kununua,tofauti na zile ndogo za kujaza upepo kija unajaza maji
Nabaki AfrikaWapi huko wanauza swimming pool na mimi nikanunue?