Sijui kwanini namchukia binamu yangu

Sijui kwanini namchukia binamu yangu

Pambana nawe uwe na uwezo wa kununua vitu vyako, kumchukia haitasaidia kitu.

SIONI HAJA YA MLETA MADA KUPAMBANA NA DADA YAKE KATIKA KUNUNUA VITU..MAANA DADA YAKE ANANUNULIWA NA BWANA/MME WAKE MWENYE UWEZO. JAMBO LA MAANA NI MLETA MADA AONGEZE UWEZO NA KIPATO AMNUNULIE MKE WAKE VITU VIZURI NA VIKALI KULIKO ANAVYONUNULIWA DADA YAKE...ILA KWA TABIA ZA KINA MAMA AJIANDAE PIA DADA YAKE KUACHIKA SABABU MKE WA MLETA MADA ATAWATAMBIA NA KUWADOLISHIA WENZIE KWENYE GROUP LA WASUP.

BY THE WAY..SERIKALI IMEANDAA MSWAADA WA MATUMIZI YA MITANDAO KAMA WASUP NA MENGINEYO ISIYO NA TIJA KWA UJENZI WA TAIFA....MAGROUP TAKRIBANI MILIONI MOJA YA WASAP YATAKUFA AU YAKUBALI KULIPIWA KODI NA KUSAJILIWA YAFAHAMIKE NA SERIKALI.
 
Na wewe post vitu vyako.....

I smell poisonous envy......
 
Be a man, acha izo mambo za kumfatilia uyo mwanamke..
Well said, social media zimeweka watu warusjhiane picha, sasa wanawake na kutambiana c ndio zao, hasa km mdada hakusoma, msifie dadayako yake ilikuwa na macho iliona mwenye pesa, muache alimbuke, achana nae, hajajitambua, kamainakuuma kaza buti utafute, vinginevyo ukimchukia hujajikubali, kaza buti mwanaume unachukia chukia maendeleo ya wengine we mdemu usieshule???? muache dadaako alimbuke e tafuta hela, utapata aliewako
 
Back
Top Bottom