Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,199
google tu mkuu..hahaha
Omba namba ya m-pesa nenda kwa wakala mtumie....simple and clear
du kwa kweli hili si wazo zuri
Alikwambia anataka mchumba? Mwenziyo ana hamu ya kupiga mzigo ila kutongoza hajui aanziye wapi. Angekuwa anataka mchumba angetangaza nia.Mimi nimemuelezea style ya kutongoza mtu mwenye malengo naye.
Hiyo yako yamalaya kutongozana haina msaada kwa ndugu yetu hapa
mkuu kumbe na huku unafikaga aisee?Boss inaonekana wewe ni antisocial, mtu mkuda/mnoko asiyejichanganya na watu. Kutongoza ni social aspect, si vita, si ugomvi, si matusi, si ushamba...sasa unashindwaje mkuu??
Kutongoza is a process, si tu umempenda mdada muda huo huo unataka umwage sera. Anza kumvuta pole pole, mfn muulize km anajua kuogelea. From there hautakosa cha kuendeleza.
Kitu kirahisi zaidi cha kuanza nacho ni kuwa rafiki wa watu, wake kwa waume. Utagundua kutongoza ni kitu chepesi kama A E I O U.
numbisa unaukubali sana huu mtongozo eeh?Iga kwa huyu mtaalamu utawezaView attachment 512234
Huwa nakutana na wadada wengi wazuri mchoni ila kuanza kutongoza sasa inakuwa shida, huwa naingiwa na kauoga fulani hivi na mate hukauka mdomoni ingawa mi mkubwa kabisa wa kusimamisha mwanamke na akaeleweka, 27yrs, niambie huwa wanaanzaje kutongoza hadi kula mzigo?