Nipe hint mama.
Naisubiri hiyo mbinu mpya..
Teh! ngoja nimalizane na SWOT analysis then nitawarudia kuwashushia nondo
Naaam Mkuu!
Okay.. Nitafurahi Sana maana napenda kujifunza mambo mapya kila kukicha sitaki kujifanya Fundi nikajiona najua sana.Teh! ngoja nimalizane na SWOC analysis then nitawarudia kuwashushia nondo
Ukiwa na hela huwezi kuwa muoga,tafuta hela kwanza utakua na confidenceHuwa nakutana na wadada wengi wazuri mchoni ila kuanza kutongoza sasa inakuwa shida, huwa naingiwa na kauoga fulani hivi na mate hukauka mdomoni ingawa mi mkubwa kabisa wa kusimamisha mwanamke na akaeleweka, 27yrs, niambie huwa wanaanzaje kutongoza hadi kula mzigo?
Hapa sijaelewa yani miamala inahusika hila marufuku kuongelea ngonoMpendwa kutongoza ni kazi rahisi sana.
Muhimu uwe na pesa na namba ya simu ya mhusika
Usimtumie vimsms vya "hi" "mambo" "gudnyt" kama hujampa vocha ya kukujibia
Usimtumie msg za "twende lunch" "karibu kula" kama hujampa hela ya kula
Pendelea mawasiliano kwa njia ya calls' na sio 24/7 ni vijisms tu.
Epuka matumizi ya "WhatsappCalls"! Ni fedheha na kujishushia hadhi mwanaume
Maongezi yenu yawe ya kufahamiana tu umri, familia zenu, Makazi malengo maishani
Epuka maongezi ya kuongelea habari za ngono na kunjunjuana "unaonekana mtamu sana" "ukinipa nitakunyonya"
mpaka hapo utakua umeanza kuwin akili yake kwa 20%
........ Itaendelea
Hapa sijaelewa yani miamala inahusika hila marufuku kuongelea ngono
HahahahahaIga kwa huyu mtaalamu utawezaView attachment 512234