Komando kipen
Member
- Jul 13, 2021
- 49
- 36
Nilikua nae kwa mda wa miaka mitatu tumebahatika kupata mtoto mmoja wa kiume amewahi, kuondoka nakurudi kwao mala 2 hii safari ya tatu. Kibaya zaidi hataki kupokea cm ananitukana matusu kwenye sms kilanikitaka kumujulia mtoto hali yake.
Mara ya kwanza aliondoka alikuta sms ya jinsia yakike kwenye cm akachukua cm haikujulikana kapeleka wap nilivyo muuliza ananimbia kuna Masai alimpa dawa ya uzazi, nilivyomuuliza anakudai shilling ngap anasema elf 15 simu ilikua Samsung.
Kesho yake nimerudi nyumbani nikakuta kufuri ufunguo kwa majilani cm yake haipatikani kwao wakadai hawana taarifa. Nikakaa mwezi mmoja nikamfata, tukakaa matusi yakaanza tena hupendi watoto hutaki nizae ,tunaenda hospital wakapima ultrasound pelvic inaonesha ana retlovated uterus kitaalamu wanasema hakuna shida yoyote kuhusiana na kuzaa, ananimbia kunadawa ya kienyeji yakukalia.
Lakini mwaka mmoja nyuma aliwahi kubeba mimba ikafikisha mwezi mitatu akavuja damu, Dr anasema anashangaa hajawai kuona mimba ya hivi maana mimba ilikua unakua badala mtoto akulie kwenye uterus alikua anatoka nje ya uterus hivyo ikasababisha mimba kutoka baada ya hapo ndo shida zilianzia.
Mara ya pili aliondoka nilikua nimekwenda hospital kazin kila nikichelewa anambia nilikua kwa wanawake lakini mim nilikua najitolea hivyo silipwi, nilikua natafuta uzohefu nikawa nauziwa shift mfano naingia saa natoka saa 8 Dr wa saa 8 anakwambia nishikie zamu mpaka saa2 usiku baadae upitie hela.
Nikakuta ameondoka na pesa kidogo tulikua tumetunza sikujali nilikaa baada ya mda miezi4 nikamfata mda huo alikua na mimba ya miezi 3 hivyo nikamfata, mimba ilikua na miezi Saba ili ajifungulie hospital nilipokua najitolea maana niliajua itanisaidia zaidi.
Mungu si asumani mungu akajalia akajifungua salama japo ugomvi wetu ulikua pale pale manusula afanyiwe operation, alijifungua mwezi wa pili mimi nikawa ninaendelea nashift zangu za volunteer kama kawaida mtt kafikiaha miezi mtata ugomvi wetu ukawa kawaida .
Siku hiyo nimechelewa nikarudi sa3 usiku na sabuni ya unga ya Lita 10 nikafikia matusi ya Wana wake nikaombwa nauli aende kwao. Nikaongea na mama mkwe akaongea nae yakaisha, baada ya wiki ikaanza tena .
Nilikua nimeacha shilling elfu30 nikawa Sina hata mia ya vocha nikaangalia tunapotunza pesa Sion kitu nikakuuliza kanambia anataka kumununulia mtoto begi la nguo poa nikakubali kesho yake jion nikaja nikaambiwa tena nimechoka kukaa naomba nauli.
Daa nikamwambia Sina kitu kama unaweza nivumilia subiri jioni nakujanayo anasema hataki nikamwambia basi chukua kitu kimoja Kati PC ,sabufa au flat uza, saa5 asubuhi nikaambiwa ana hamisha vitu vyote vya ndani nikaja tukasuruhishwa na wazazi yakaisha anaomba nauli nikampa elf40 akakataa nauli ni elf 15 kufika kwao nikamuuliza kuhusu elf30 tuliyo tunza ana SEMA ni elf 10 mbele ya wazazi.
Mara ya kwanza aliondoka alikuta sms ya jinsia yakike kwenye cm akachukua cm haikujulikana kapeleka wap nilivyo muuliza ananimbia kuna Masai alimpa dawa ya uzazi, nilivyomuuliza anakudai shilling ngap anasema elf 15 simu ilikua Samsung.
Kesho yake nimerudi nyumbani nikakuta kufuri ufunguo kwa majilani cm yake haipatikani kwao wakadai hawana taarifa. Nikakaa mwezi mmoja nikamfata, tukakaa matusi yakaanza tena hupendi watoto hutaki nizae ,tunaenda hospital wakapima ultrasound pelvic inaonesha ana retlovated uterus kitaalamu wanasema hakuna shida yoyote kuhusiana na kuzaa, ananimbia kunadawa ya kienyeji yakukalia.
Lakini mwaka mmoja nyuma aliwahi kubeba mimba ikafikisha mwezi mitatu akavuja damu, Dr anasema anashangaa hajawai kuona mimba ya hivi maana mimba ilikua unakua badala mtoto akulie kwenye uterus alikua anatoka nje ya uterus hivyo ikasababisha mimba kutoka baada ya hapo ndo shida zilianzia.
Mara ya pili aliondoka nilikua nimekwenda hospital kazin kila nikichelewa anambia nilikua kwa wanawake lakini mim nilikua najitolea hivyo silipwi, nilikua natafuta uzohefu nikawa nauziwa shift mfano naingia saa natoka saa 8 Dr wa saa 8 anakwambia nishikie zamu mpaka saa2 usiku baadae upitie hela.
Nikakuta ameondoka na pesa kidogo tulikua tumetunza sikujali nilikaa baada ya mda miezi4 nikamfata mda huo alikua na mimba ya miezi 3 hivyo nikamfata, mimba ilikua na miezi Saba ili ajifungulie hospital nilipokua najitolea maana niliajua itanisaidia zaidi.
Mungu si asumani mungu akajalia akajifungua salama japo ugomvi wetu ulikua pale pale manusula afanyiwe operation, alijifungua mwezi wa pili mimi nikawa ninaendelea nashift zangu za volunteer kama kawaida mtt kafikiaha miezi mtata ugomvi wetu ukawa kawaida .
Siku hiyo nimechelewa nikarudi sa3 usiku na sabuni ya unga ya Lita 10 nikafikia matusi ya Wana wake nikaombwa nauli aende kwao. Nikaongea na mama mkwe akaongea nae yakaisha, baada ya wiki ikaanza tena .
Nilikua nimeacha shilling elfu30 nikawa Sina hata mia ya vocha nikaangalia tunapotunza pesa Sion kitu nikakuuliza kanambia anataka kumununulia mtoto begi la nguo poa nikakubali kesho yake jion nikaja nikaambiwa tena nimechoka kukaa naomba nauli.
Daa nikamwambia Sina kitu kama unaweza nivumilia subiri jioni nakujanayo anasema hataki nikamwambia basi chukua kitu kimoja Kati PC ,sabufa au flat uza, saa5 asubuhi nikaambiwa ana hamisha vitu vyote vya ndani nikaja tukasuruhishwa na wazazi yakaisha anaomba nauli nikampa elf40 akakataa nauli ni elf 15 kufika kwao nikamuuliza kuhusu elf30 tuliyo tunza ana SEMA ni elf 10 mbele ya wazazi.