Sijui kama ni wivu au alinichoka

NGOJA NIKUANDIKIE VIZURI BROTHER.

Nilikua nae kwa muda wa miaka mitatu hadi sasa, na tumebahatika kupata mtoto mmoja wakiume.

Amewahi kuondoka na kurudi kwao mara mbili na hii mara ya tatu na kibaya zaidi hataki kupokea simu yangu na ananitusi kwenye meseji kila nikitaka kumujulia mtoto hali.

Mara ya kwanza alivyoondoka alikuta meseji kutoka kwa mwanamke kwenye simu yangu. Alichukua simu aina ya Samsung akaondoka nayo na nilivyo muuliza aliniambia kwamba kuna mmasai alimpa dawa ya uzazi lakini hakumlipa hela shilingi elfu 5 kwahiyo ameichukua kama malipo.

Kesho yake nimerudi nyumbani kula, nikakuta amefunga mlango na kufuli, na ufunguo upo kwa majirani. Nilipojaribu kumpigia simu yake ikawa haipatikani na nilipowapigia nyumbani kwao (ukweni) wakasema wao hawana taarifa na alipo.

Nilikaa mwezi mmoja, nikaamua kumfuata kwao, na tukaishi kwa amani kwa muda mfupi ila tena matusi yakaanza. Alikua analalamika akisema sipendi watoto, sipendi yeye azae.

Niliamua twende hospital kwa wataalam wa uzazi, wakamfanyia vipimo na kumkuta ana retlovated uterus ila Dokta akasema haina shida yoyote.

Mwaka mmoja kabla ya kuanza hivi vituko aliwahi kubeba mimba ikafikisha miezi mitatu ikatoka kwa bahati mbaya (miscarriage). Daktari alisema sio kawaida mimba ijitunge nje ya uterus, na ndivyo ilivotokea kwa mke wangu.

Baada ya hiki kisa ndio matatizo na ugomvi na mke wangu ulipoanza.

Mara ya pili alivyoondoka, ni baada ya mimi kuchelewa kurudi kutoka kazini kwangu (hospital). Safari hii aliondoka na pesa kidogo tuliokua tumeweka kama akiba, na aliondoka akidai nachelewa kurudi nyumbani nilikua kwa wanawake wengine. Mimi nafanya kazi ya uuguzi katoka hospital xxx ambapo najitolea ili nipate ujuzi, iwe rahisi kupata ajira hapo baadae.

Aliondoka akiwa na ujauzito wa miezi minne, na nilimfuata baada ya miezi mitatu, muda huo ujauzito ukiwa umetimiza miezi saba.

Muda wa kujifungua ulipofika, alijifungua salama kwa njia ya operation. Ila hii haikuepusha visa na ugomvi wetu, kwani viliendelea vile vile kama zamani.


Mara ya tatu kuondoka, ilikua siku ambayo nimetoka kazini, na nilirudi nyumbani saa tatu usiku nikiwa na sabuni ya unga ya kufulia lita 10. Ile kufika, nikapokelewa na matusi nikidaiwa nimetoka kwa wanawake na akaniomba nauli kesho asubuhi arudi kwao. Kipindi iko mtoto wetu ana umri wa miezi mitatu tu.

Niliona ni busara nikiongea na Mama Mkwe kwenye simu na kumueleza kila kitu, nae akaongea na mwanae akamsihi abaki, na kweli yakaisha.

Ila baada ya wiki, nilikua nimemuachia shilingi elfu therathini, huku mi nikiwa sijabakiwa na pesa yoyote. Nilipotaka kuchukua kiasi kidogo nikatumie nikakuta pale tunapotunza pesa sioni kitu, nikamuuliza akasema ile pesa ametumia kununua begi la nguo la mtoto. Nikapiga moyo konde.


Siku hiyo hiyo jioni nilivorudi kazini, akaniambia amechoka kukaa hapo anaomba nauli arudi kwao. Nikamuambia kwa sasa sina hela, nipe muda kidogo nitafute ila akakataa. Nikamwambia basi chukua kitu kimoja Kati PC, Subwoofer au TV uuze upate nauli.

Nikiwa kazini, nikapata taarifa kua anahamisha vituvyote vya ndani. Nikawahi kurudi, ila tukasuruhishwa na wazazi. Yakaisha.

Akaniomba nauli, nikampa elfu arobaini akakataa kwa kusema haitoshi ingawaje nauli kwenda kwao ni shilingi elfu kumi na tano tu. Nikamuuliza kuhusu ile pesa tuliokua tunatunza yeye akasema atanunulia begi la mtoto, akasema ilikua shilingi elfu kumi na tano tu, tena mbele ya wazazi.

MWISHO WA KUREKEBISHA

Ila mwamba unapitia magumu aisee. Hapo hamna mke hapo piga chini bora nyeto.
Shida yangu siyo kuomba ushauri isipokua najaribu kubadilishana stori kwenye hilijukwaa. Wala simulahumu mama wa mtt ,maana mwisho siku nivitu tumepitia kwenye maisha, na maisha yameendelea.
 
Kama nimekusoma vizuri huko mwanzoni, wewe mwandishi utakuwa aidha daktari au clinical Officer au... vyovyote, kifupi ni mtoa huduma kwenye nyanja ya afya. Na nyie ndo mnasifika kwa mwandiko mbaya, usioeleweka. Tunawaombeni, mnapokuja kwenye ulimwengu wa social media mjitahidi kujielewa ili mueleweke
Ila kama ni mganga huyu kwa kweli mtu atapasuliwa tumbo badala ya kidole.
 
Eh, ndugu! Hii ni sentensi moja tu? Ina kituo kimoja tu, yaani pale mwisho!!
Mungu si asumani mungu akajalia akajifungua salama japo ugomviwetu ulikua pale pale manusula afanyiwe operation alijifungua mwezi wa pili miminikawa ninaendelea nashipt zangu za volunteer kama kawaida mtt kafikiaha miezi mtata ugomviwetu ukawa kawaida sikuhiyo nimechelewa nikiludi sa3 usk na sabuni ya unga ya Lita 10 nikafikia matusi ya Wana wake nikaombwanauli haendekwao nikaongea na mama mkwe akaongeanae yakaisha baada ya wiki ikaanza tena nilikuanimeacha shilling el30 nikawa Sina hata mia ya vocha nikaangalia tunapotunza pesa Sion kitu nikakuuliza kanambia anataka kumununulia mtt begi langua poa nikakubali kesho yake jion nikaja nikaambiwa tena nimechoka kukaa naomba nauli.
 
Eh, ndugu! Hii ni sentensi moja tu? Ina kituo kimoja tu, yaani pale mwisho!!
Najua wengi munaangalia muandiko mtililiko hiyo changamoto niliyo niyo, ndomaa nikasomea kazin isiyo taka mwandiko. hivyo ningumu kunibadiliaha ukielewa sawa usipo elewa tafutamutu akueleweshe maana wapo walio elewa zaidi yako.
 
NGOJA NIKUANDIKIE VIZURI BROTHER.

Nilikua nae kwa muda wa miaka mitatu hadi sasa, na tumebahatika kupata mtoto mmoja wakiume.

Amewahi kuondoka na kurudi kwao mara mbili na hii mara ya tatu na kibaya zaidi hataki kupokea simu yangu na ananitusi kwenye meseji kila nikitaka kumujulia mtoto hali.

Mara ya kwanza alivyoondoka alikuta meseji kutoka kwa mwanamke kwenye simu yangu. Alichukua simu aina ya Samsung akaondoka nayo na nilivyo muuliza aliniambia kwamba kuna mmasai alimpa dawa ya uzazi lakini hakumlipa hela shilingi elfu 5 kwahiyo ameichukua kama malipo.

Kesho yake nimerudi nyumbani kula, nikakuta amefunga mlango na kufuli, na ufunguo upo kwa majirani. Nilipojaribu kumpigia simu yake ikawa haipatikani na nilipowapigia nyumbani kwao (ukweni) wakasema wao hawana taarifa na alipo.

Nilikaa mwezi mmoja, nikaamua kumfuata kwao, na tukaishi kwa amani kwa muda mfupi ila tena matusi yakaanza. Alikua analalamika akisema sipendi watoto, sipendi yeye azae.

Niliamua twende hospital kwa wataalam wa uzazi, wakamfanyia vipimo na kumkuta ana retlovated uterus ila Dokta akasema haina shida yoyote.

Mwaka mmoja kabla ya kuanza hivi vituko aliwahi kubeba mimba ikafikisha miezi mitatu ikatoka kwa bahati mbaya (miscarriage). Daktari alisema sio kawaida mimba ijitunge nje ya uterus, na ndivyo ilivotokea kwa mke wangu.

Baada ya hiki kisa ndio matatizo na ugomvi na mke wangu ulipoanza.

Mara ya pili alivyoondoka, ni baada ya mimi kuchelewa kurudi kutoka kazini kwangu (hospital). Safari hii aliondoka na pesa kidogo tuliokua tumeweka kama akiba, na aliondoka akidai nachelewa kurudi nyumbani nilikua kwa wanawake wengine. Mimi nafanya kazi ya uuguzi katoka hospital xxx ambapo najitolea ili nipate ujuzi, iwe rahisi kupata ajira hapo baadae.

Aliondoka akiwa na ujauzito wa miezi minne, na nilimfuata baada ya miezi mitatu, muda huo ujauzito ukiwa umetimiza miezi saba.

Muda wa kujifungua ulipofika, alijifungua salama kwa njia ya operation. Ila hii haikuepusha visa na ugomvi wetu, kwani viliendelea vile vile kama zamani.


Mara ya tatu kuondoka, ilikua siku ambayo nimetoka kazini, na nilirudi nyumbani saa tatu usiku nikiwa na sabuni ya unga ya kufulia lita 10. Ile kufika, nikapokelewa na matusi nikidaiwa nimetoka kwa wanawake na akaniomba nauli kesho asubuhi arudi kwao. Kipindi iko mtoto wetu ana umri wa miezi mitatu tu.

Niliona ni busara nikiongea na Mama Mkwe kwenye simu na kumueleza kila kitu, nae akaongea na mwanae akamsihi abaki, na kweli yakaisha.

Ila baada ya wiki, nilikua nimemuachia shilingi elfu therathini, huku mi nikiwa sijabakiwa na pesa yoyote. Nilipotaka kuchukua kiasi kidogo nikatumie nikakuta pale tunapotunza pesa sioni kitu, nikamuuliza akasema ile pesa ametumia kununua begi la nguo la mtoto. Nikapiga moyo konde.


Siku hiyo hiyo jioni nilivorudi kazini, akaniambia amechoka kukaa hapo anaomba nauli arudi kwao. Nikamuambia kwa sasa sina hela, nipe muda kidogo nitafute ila akakataa. Nikamwambia basi chukua kitu kimoja Kati PC, Subwoofer au TV uuze upate nauli.

Nikiwa kazini, nikapata taarifa kua anahamisha vituvyote vya ndani. Nikawahi kurudi, ila tukasuruhishwa na wazazi. Yakaisha.

Akaniomba nauli, nikampa elfu arobaini akakataa kwa kusema haitoshi ingawaje nauli kwenda kwao ni shilingi elfu kumi na tano tu. Nikamuuliza kuhusu ile pesa tuliokua tunatunza yeye akasema atanunulia begi la mtoto, akasema ilikua shilingi elfu kumi na tano tu, tena mbele ya wazazi.

MWISHO WA KUREKEBISHA

Ila mwamba unapitia magumu aisee. Hapo hamna mke hapo piga chini bora nyeto.
UBARIKIWE mana kijana kachanganyikiwa hata kuandika anashindwa kwa stress
 
Shida yangu siyo kuomba ushauri isipokua najaribu kubadilishana stori kwenye hilijukwaa. Wala simulahumu mama wa mtt ,maana mwisho siku nivitu tumepitia kwenye maisha, na maisha yameendelea.
Mimi ninavyoona huenda mwanamke wako kapoteza uaminifu kwako, kwahiyo anahisi unahonga pesa unazopata ndio maana anakuwa anakasirishwa ukimwambia huna pesa
 
Kaishajua huwez ushi bila yeye. Huyi mwanamke atakurudisha nyuma sana achana nae, usijisumbue kumfata kwao wala kumtafta hapo vuta mwanamke mwingne uweke ndani kama unahisi uwez ishi bila mwanamke yeye mpotezee
 
NGOJA NIKUANDIKIE VIZURI BROTHER.

Nilikua nae kwa muda wa miaka mitatu hadi sasa, na tumebahatika kupata mtoto mmoja wakiume.

Amewahi kuondoka na kurudi kwao mara mbili na hii mara ya tatu na kibaya zaidi hataki kupokea simu yangu na ananitusi kwenye meseji kila nikitaka kumujulia mtoto hali.

Mara ya kwanza alivyoondoka alikuta meseji kutoka kwa mwanamke kwenye simu yangu. Alichukua simu aina ya Samsung akaondoka nayo na nilivyo muuliza aliniambia kwamba kuna mmasai alimpa dawa ya uzazi lakini hakumlipa hela shilingi elfu 5 kwahiyo ameichukua kama malipo.

Kesho yake nimerudi nyumbani kula, nikakuta amefunga mlango na kufuli, na ufunguo upo kwa majirani. Nilipojaribu kumpigia simu yake ikawa haipatikani na nilipowapigia nyumbani kwao (ukweni) wakasema wao hawana taarifa na alipo.

Nilikaa mwezi mmoja, nikaamua kumfuata kwao, na tukaishi kwa amani kwa muda mfupi ila tena matusi yakaanza. Alikua analalamika akisema sipendi watoto, sipendi yeye azae.

Niliamua twende hospital kwa wataalam wa uzazi, wakamfanyia vipimo na kumkuta ana retlovated uterus ila Dokta akasema haina shida yoyote.

Mwaka mmoja kabla ya kuanza hivi vituko aliwahi kubeba mimba ikafikisha miezi mitatu ikatoka kwa bahati mbaya (miscarriage). Daktari alisema sio kawaida mimba ijitunge nje ya uterus, na ndivyo ilivotokea kwa mke wangu.

Baada ya hiki kisa ndio matatizo na ugomvi na mke wangu ulipoanza.

Mara ya pili alivyoondoka, ni baada ya mimi kuchelewa kurudi kutoka kazini kwangu (hospital). Safari hii aliondoka na pesa kidogo tuliokua tumeweka kama akiba, na aliondoka akidai nachelewa kurudi nyumbani nilikua kwa wanawake wengine. Mimi nafanya kazi ya uuguzi katoka hospital xxx ambapo najitolea ili nipate ujuzi, iwe rahisi kupata ajira hapo baadae.

Aliondoka akiwa na ujauzito wa miezi minne, na nilimfuata baada ya miezi mitatu, muda huo ujauzito ukiwa umetimiza miezi saba.

Muda wa kujifungua ulipofika, alijifungua salama kwa njia ya operation. Ila hii haikuepusha visa na ugomvi wetu, kwani viliendelea vile vile kama zamani.


Mara ya tatu kuondoka, ilikua siku ambayo nimetoka kazini, na nilirudi nyumbani saa tatu usiku nikiwa na sabuni ya unga ya kufulia lita 10. Ile kufika, nikapokelewa na matusi nikidaiwa nimetoka kwa wanawake na akaniomba nauli kesho asubuhi arudi kwao. Kipindi iko mtoto wetu ana umri wa miezi mitatu tu.

Niliona ni busara nikiongea na Mama Mkwe kwenye simu na kumueleza kila kitu, nae akaongea na mwanae akamsihi abaki, na kweli yakaisha.

Ila baada ya wiki, nilikua nimemuachia shilingi elfu therathini, huku mi nikiwa sijabakiwa na pesa yoyote. Nilipotaka kuchukua kiasi kidogo nikatumie nikakuta pale tunapotunza pesa sioni kitu, nikamuuliza akasema ile pesa ametumia kununua begi la nguo la mtoto. Nikapiga moyo konde.


Siku hiyo hiyo jioni nilivorudi kazini, akaniambia amechoka kukaa hapo anaomba nauli arudi kwao. Nikamuambia kwa sasa sina hela, nipe muda kidogo nitafute ila akakataa. Nikamwambia basi chukua kitu kimoja Kati PC, Subwoofer au TV uuze upate nauli.

Nikiwa kazini, nikapata taarifa kua anahamisha vituvyote vya ndani. Nikawahi kurudi, ila tukasuruhishwa na wazazi. Yakaisha.

Akaniomba nauli, nikampa elfu arobaini akakataa kwa kusema haitoshi ingawaje nauli kwenda kwao ni shilingi elfu kumi na tano tu. Nikamuuliza kuhusu ile pesa tuliokua tunatunza yeye akasema atanunulia begi la mtoto, akasema ilikua shilingi elfu kumi na tano tu, tena mbele ya wazazi.

MWISHO WA KUREKEBISHA

Ila mwamba unapitia magumu aisee. Hapo hamna mke hapo piga chini bora nyeto.
Komando kipen chukua hii hapa ubandike juu ya ile yako. Aidha usisite kumshukuru huyu jamaa na umuombe kama alivyokusaidia, akusaidie tena kutafuta mwanamke anayejitambua ili uachane na nung'aembe lako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom