Sijui kama ananipenda?

Sijui kama ananipenda?

MKUU KAMA ANAKUPENDA NA ANA SIFA SI UWE NAYE TU, HUKO MBELE UKIONA MZNGUAJE MNAACHANA KULIKO KUMWACHA BILA SABABU.. NUKSI.
 
habari zenu
nina msichana ambaye tumekutana kwenye mtandao tukaanzisha murafiki na hatimaye mahusiano,tatizo ni kwamba wadada wa mitandao wengi wao ni wadanganyifu lkn huyu amekua akipiga simu hata nyakati za usiku sana kuniulizia nipo na nani na kibaya zaidi nilijaribu kumwambia sina imani naye na alidiriki kujaribu kunywa sumu ingawaje walimuwahi na kumpa maziwa.na amekuwa akisisitiza kila mara nikijaribu kumuacha atajiua.sasa sijajua kama anaigiza au laaaaah.
naombeni ushauri tafadhali
Huyo ni Ebitoke....angalia sana!
 
yuko vizuri kila idara kwa mwonekano wa nje kuhusu kugonga bado
OK. kagonge kwanza kisha ndo uje tuendeleze huu mjadala, tunaweza kukushauri uoe kisha ukaja kuta bwawa ukaja tulaumu bure.
 
Aisee me naona hakupend kabisa huyo

Anakunywaje sumu kwasababu yako hapo amejiwazia yeye tu hajakuwazia ww utakuwa ktk hali gani endapo akifanya hvy,sio mtu mzur wa kujiweka karibu nae atakupotezea muda na uelekeo wa maisha yako

Tafakari.!Chukua hatua..!!!
 
Kaa mbali na huyo zezeta, hata ishia hapo ipo siku atakulazimisha mambo anayoyataka yy usipo mpa anatishia kujiua Hata kama uwezo huna atakuendesha kama gari bovu na iko siku atakunywa kweli hio sumu
 
habari zenu
nina msichana ambaye tumekutana kwenye mtandao tukaanzisha murafiki na hatimaye mahusiano,tatizo ni kwamba wadada wa mitandao wengi wao ni wadanganyifu lkn huyu amekua akipiga simu hata nyakati za usiku sana kuniulizia nipo na nani na kibaya zaidi nilijaribu kumwambia sina imani naye na alidiriki kujaribu kunywa sumu ingawaje walimuwahi na kumpa maziwa.na amekuwa akisisitiza kila mara nikijaribu kumuacha atajiua.sasa sijajua kama anaigiza au laaaaah.
naombeni ushauri tafadhali
Mie nitakushauri siku utakayothibitisha kweli alitaka kujiua au sio kweli !!.

BTW ,we ni MTU mzima ,kadri siku zitakavyosonga ndio utakua unamjua ,, but naww uwe tayar kwa ajili yake,, sio mwenzako apoteze muda alafu siku mnakutana unamzengua!!.
 
Dah napata wakati mgumu kukushauri sababu mtu mmejuana on net. Mmeonana mara1. Hamjawahi kunjunjana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom