Sijui hata nifanyaje?

Sijui hata nifanyaje?

Nimehongwa gar bila kad lakin inanisaidia sana mjini hapa..kinachonifanya nije hapa ni kuwa aliyenihonga gar nikifanya naye mapenzi yaan sisikii ladha kabisa..navuta hisia kabisa nikiweka akili yangu kuwa nafanywa lakin wap sioni ladha..raha ya kufanywa haipo..ja mwanaume mwwnyewe kajaliwa vizuri anajituma hadi kuninyonya lakin mie sijui hata inakuaje?

Moyo wangu umekubali kabisa niwe naye kwasabu ndo kama hivo kanihonga lakn huku chini hapana ushirikiano kabisa..
Nifanyaje? Maana gar sina mpango wa kulirudisha na kuna mambo kibao kaniahidi?

Hii nilipeleleza tu sina ushahid nao japo hao wote kaamua kunipa mie gar lake analotembeleaga yeye kabak anadandia magar ya ndugu zake tu kwasabu yapo hapo nyumban
1.Hilo gari sio lako amekuazima ili ukizingua anachukua mali yake hivyo kurudisha utarudisha (maana hauna hati ya umiliki yyte).

2.Hauja hisia naye .
 
Nimehongwa gar bila kad lakin inanisaidia sana mjini hapa..kinachonifanya nije hapa ni kuwa aliyenihonga gar nikifanya naye mapenzi yaan sisikii ladha kabisa..navuta hisia kabisa nikiweka akili yangu kuwa nafanywa lakin wap sioni ladha..raha ya kufanywa haipo..ja mwanaume mwwnyewe kajaliwa vizuri anajituma hadi kuninyonya lakin mie sijui hata inakuaje?

Moyo wangu umekubali kabisa niwe naye kwasabu ndo kama hivo kanihonga lakn huku chini hapana ushirikiano kabisa..
Nifanyaje? Maana gar sina mpango wa kulirudisha na kuna mambo kibao kaniahidi?

Hii nilipeleleza tu sina ushahid nao japo hao wote kaamua kunipa mie gar lake analotembeleaga yeye kabak anadandia magar ya ndugu zake tu kwasabu yapo hapo nyumban
Vipi ukijaribu kwa mtu mwingine unapata utam?
 
1.Hilo gari sio lako amekuazima ili ukizingua anachukua mali yake hivyo kurudisha utarudisha (maana hauna hati ya umiliki yyte).

2.Hauja hisia naye .
Ndo najitahid nisizingue sasa.
Mbona nataman sana hisia ziwepo?
 
Nimehongwa gar bila kad lakin inanisaidia sana mjini hapa..kinachonifanya nije hapa ni kuwa aliyenihonga gar nikifanya naye mapenzi yaan sisikii ladha kabisa..navuta hisia kabisa nikiweka akili yangu kuwa nafanywa lakin wap sioni ladha..raha ya kufanywa haipo..ja mwanaume mwwnyewe kajaliwa vizuri anajituma hadi kuninyonya lakin mie sijui hata inakuaje?

Moyo wangu umekubali kabisa niwe naye kwasabu ndo kama hivo kanihonga lakn huku chini hapana ushirikiano kabisa..
Nifanyaje? Maana gar sina mpango wa kulirudisha na kuna mambo kibao kaniahidi?

Hii nilipeleleza tu sina ushahid nao japo hao wote kaamua kunipa mie gar lake analotembeleaga yeye kabak anadandia magar ya ndugu zake tu kwasabu yapo hapo nyumban
Kwahiyo wewe huwa unafika unapanda kitandani unasubiria kufanywa ili usikie raha?? Kufurahia mapenzi kunategemea na juhudi zako binafsi pia, sio utegemee mtu ajipinde tu wakati wewe unawaza kadi ya gari!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom