kuna binamu wa wife kaja kutoka moshi kwa kweli kaumbika sana.sasa usiku nilinyata hadi chumbani cha wageni anamolala, wife alikua anakoroma wakati huo. Nilishika elfu 30 mkononi nikagonga mlango akafungua nikamwonesha ile hela na kumwomba niingie kumbe yule dada ni mlokole akaanza kunikemea hapo hapo akageuka mbogo.
Mlokole akaanza kunikemea hapo hapo hia kuwaamsha nyumba nzima ikabidi nimpigie magoti akanifukuza mle chumbani kwa kweli nimepata aibu ya milele. Ilikua ni ijumaa iliyopita yaani sasa hivi narudi home usiku sana ili tusionane na yule shemeji yangu na sijui hata anaondoka lini? Sasa sijui atamwambia wife au keshamwambia?
Nikipona hili sirudii tena nilikua nimezoe mabinti wakija kwetu hapa kwetu nawafuata usiku na noti ya elfu kumi au ishirini nagonga mlango na kuwaonesha zile hela nao unifungulia tunamalizana kama mungu atanisaidia nipone.hili jaribu naacha tabia hii kuna mwenye jawabu nifanyeje? Wakuu naomba kujibiwa.
hahahahahhaaaaa,,,, jamaa kanikumbusha mbali sana, ss mama alikuwa anategesha masufuria mlangoni kwa hg,,, ukinyatia usiku lazima uyagongeee.......sikiliza mziki wake...ahhahahahahahahaa...
Kuna binamu wa wife kaja kutoka moshi kwa kweli kaumbika sana.Sasa usiku nilinyata hadi chumbani cha wageni anamolala, wife alikua anakoroma wakati huo. Nilishika elfu 30 mkononi nikagonga mlango akafungua nikamwonesha ile hela na kumwomba niingie kumbe yule dada ni mlokole akaanza kunikemea hapo hapo akageuka mbogo.
Mlokole akaanza kunikemea hapo hapo hia kuwaamsha nyumba nzima ikabidi nimpigie magoti akanifukuza mle chumbani kwa kweli nimepata aibu ya milele. Ilikua ni Ijumaa iliyopita yaani sasa hivi narudi home usiku sana ili tusionane na yule shemeji yangu na sijui hata anaondoka lini? Sasa sijui atamwambia wife au keshamwambia?
Nikipona hili sirudii tena nilikua nimezoe mabinti wakija kwetu hapa kwetu nawafuata usiku na noti ya elfu kumi au ishirini nagonga mlango na kuwaonesha zile hela nao unifungulia tunamalizana kama Mungu atanisaidia nipone.hili jaribu naacha tabia hii kuna mwenye jawabu nifanyeje? Wakuu naomba kujibiwa.
Wa roho nzuri wapo tu, endelea kubahatisha.Khaaaa..... Yani sura nzuri, roho mbaya kama ngumi ya nwizi....
Kumbe hata wanaume machangudoa mpo?
Nyie ndo mnatufanya wake zetu wasituamini. akisoma story humu JF anajua wote ndo wale waleeee. Huwezi aminoi nimeshangaa sana juzi kati Shemeji mdogo kaja toka Arusha eti wife usiku anafunga mlango wa chumba fungo anaficha, namuuliza kwa nini hanijibu. Nikiwa naangalia mpira sebuleni usiki na yeye anakomaa mpaka mpira uishe kumbe sasa nimejua ahahahahaa anadhani na mie mzee wa TIP TOEING aka kunyatia hahahaaaha waifuuuuuuuuuuuuuuuuu duh salute kwako kwa wivu!!
Kumbe hata wanaume machangudoa mpo?
Huyu ni mvulana si mwanaume
Nyie si mnaambiwa mtahahalishiwa viroba mnakubali, matokeo yake ndiyo hayo.
Kwanza acha pombe.
wewe ni mume au? maana it sounds like you are a boy (unayebalehe).
wewe sio mzima
Kuna binamu wa wife kaja kutoka moshi kwa kweli kaumbika sana.Sasa usiku nilinyata hadi chumbani cha wageni anamolala, wife alikua anakoroma wakati huo. Nilishika elfu 30 mkononi nikagonga mlango akafungua nikamwonesha ile hela na kumwomba niingie kumbe yule dada ni mlokole akaanza kunikemea hapo hapo akageuka mbogo.
Mlokole akaanza kunikemea hapo hapo hia kuwaamsha nyumba nzima ikabidi nimpigie magoti akanifukuza mle chumbani kwa kweli nimepata aibu ya milele. Ilikua ni Ijumaa iliyopita yaani sasa hivi narudi home usiku sana ili tusionane na yule shemeji yangu na sijui hata anaondoka lini? Sasa sijui atamwambia wife au keshamwambia?
Nikipona hili sirudii tena nilikua nimezoe mabinti wakija kwetu hapa kwetu nawafuata usiku na noti ya elfu kumi au ishirini nagonga mlango na kuwaonesha zile hela nao unifungulia tunamalizana kama Mungu atanisaidia nipone.hili jaribu naacha tabia hii kuna mwenye jawabu nifanyeje? Wakuu naomba kujibiwa.
God is watching you
unapata faida gani kuandika uongo????
HAPO UMESEMA ALIPIGA KELELE AKAWAAMSHA NYUMBA NZIMA
chini unasema
NARUDI HOME USIKU MAANA SIJUI KAMA SHEM KESHAMWAMBIA WIFE???
damnnnnnn unajielewa kweli kama alianza kupiga kelele katika nyumba moja ni wazi kwamba mkeo alisikia sasa iweje useme hujui kama keshamwambia wife
and by the way si mnalala pamoja nyinyi?????
unashindea kujua kwamba keshajua huyo mkeo????
Tafafhali ifanye jf kuwa sehemu salama kuna watu wanakuja huku wana shida kweli kweli.