Sijui atamwambia wife?

Sijui atamwambia wife?

Wala sio ishu bwana mzee.,, Mimi sioni kizuizi u msikule! Acha woga hizo ni ishu ndogo sn. Kwanza binamu huyo ni wa mbali sn na wewe.
 
kwa iyo umeamini kuwa walokole wapo?? na umeona jins nuru ilvyonanguv kuliko giza!!! sasa ndio wakati wako wa kuokoka maana atakapoanza mkeo ww utajinyonga. iyo ni sumu unaipanda kwny famlya yako. epuka unlmwi sisimama na yesu
 
We jamaa pimbi kweli aisee!? Sasa unaogopa nn!? Jifanye kauzu muibukie tena!? Safar hii ongeza dau bhana!?
 
Kuna binam Wa wife kaja kutoka moshi kwa kweli kaumbika sana

Sasa usiku nilinyata hadi chumbani cha wageni anamolala, wife alikua anakoroma wakati huo
Nilishika elfu 30 mkononi nikagonga mlango akafungua nikamwonesha ile hela na kumwomba niingie kumbe yule Dada ni mlokole akaanza kunikemea hapo hapo

Akageuka mbogo na kutishia kuwaamsha nyumba nzima ikabidi nimpigie magoti akanifukuza mle chumbani kwa kweli nimepata aibu ya milele
Ilikua ni Ijumaa iliyopita yaani sasa hivi narudi home usiku sana ili tusionane na yule shemeji yangu
Na sijui hata anaondoka lini?

Sasa sijui atamwambia wife au keshamwambia?

Nikipona hili sirudii tena nilikua nimezoe mabinti wakija kwetu hapa kwetu nawafuata usiku na noti ya elfu kumi au ishirini nagonga mlango na kuwaonesha zile hela nao unifungulia tunamalizana

Kama mungu atanisaidia nipone hili jaribu naacha Tabia hii
Kuna mwenye jawabu nifanyeje??
Kwa hiyo hata dada zako wakija ulikuwa unawafanyia hivyo hivyo?
Kwani mkeo hanogi?
 
Wewe ulifikiri kila kuku akirushiwa mahindi anaingia bandani.... Nyambafu na bora angepiga kelele ili dunia nzima iujue u....uni wako. Wanaume wa namna yako hata urafiki nao sitaki maana mnarubuni haki za wanyonge kwa vihela vyenu vya anasa. Ee mola uwaongoe wanaume wooote wenye hii tabia mbaya ya ubazazi.
 
Wewe ulifikiri kila kuku akirushiwa mahindi anaingia bandani.... Nyambafu na bora angepiga kelele ili dunia nzima iujue u....uni wako. Wanaume wa namna yako hata urafiki nao sitaki maana mnarubuni haki za wanyonge kwa vihela vyenu vya anasa. Ee mola uwaongoe wanaume wooote wenye hii tabia mbaya ya ubazazi.
Vipi mbona unaniquote wakati nilikuwa niko busy na Hornet?? Kwanini unanitukana??

BTW wewe ni he/she?
 
Last edited by a moderator:
Vipi mbona unaniquote wakati nilikuwa niko busy na Hornet?? Kwanini unanitukana??

BTW wewe ni he/she?

Hahahaaa... kakumwagia shombo la jirani.
Nawe umezidi unakatisha katisha sana vichochoro vya wa watu yamekukuta yasokuhusu.
Pole sana.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa... kakumwagia shombo la jirani.
Nawe umezidi unakatisha katisha sana vichochoro vya wa watu yamekukuta yasokuhusu.
Pole sana.

Hahahahaah.... najaribu bahati yangu... naweza kudondokewa na mchuchu.....
 
Back
Top Bottom