Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Aisaee, umenichekesha..you mad my day!!Nyie ndo mnatufanya wake zetu wasituamini. akisoma story humu JF anajua wote ndo wale waleeee. Huwezi aminoi nimeshangaa sana juzi kati Shemeji mdogo kaja toka Arusha eti wife usiku anafunga mlango wa chumba fungo anaficha, namuuliza kwa nini hanijibu. Nikiwa naangalia mpira sebuleni usiki na yeye anakomaa mpaka mpira uishe kumbe sasa nimejua ahahahahaa anadhani na mie mzee wa TIP TOEING aka kunyatia hahahaaaha waifuuuuuuuuuuuuuuuuu duh salute kwako kwa wivu!!