Sijui atamwambia wife?

Sijui atamwambia wife?

Nyie ndo mnatufanya wake zetu wasituamini. akisoma story humu JF anajua wote ndo wale waleeee. Huwezi aminoi nimeshangaa sana juzi kati Shemeji mdogo kaja toka Arusha eti wife usiku anafunga mlango wa chumba fungo anaficha, namuuliza kwa nini hanijibu. Nikiwa naangalia mpira sebuleni usiki na yeye anakomaa mpaka mpira uishe kumbe sasa nimejua ahahahahaa anadhani na mie mzee wa TIP TOEING aka kunyatia hahahaaaha waifuuuuuuuuuuuuuuuuu duh salute kwako kwa wivu!!
Aisaee, umenichekesha..you mad my day!!
 
mnyatie tena nyatu nyatu

hivi hii dunia kumbe kuna watu wanavituko mpaka basi

hahahahahhaaaaa,,,, jamaa kanikumbusha mbali sana, ss mama alikuwa anategesha masufuria mlangoni kwa hg,,, ukinyatia usiku lazima uyagongeee.......sikiliza mziki wake...ahhahahahahahahaa...
 
yaan kweli kama umedhamiria kuacha ni vyema mkeo ajue ndo hapo utaaibika na utaacha nkiwa na mume wa hivi wageni wote lazima niwapime ukimwi getini hatak arudi kwake
 
martins paul

30,000/= ndio hela gani na wewe? Unakuwa kama sio mtoto wa mjini? Kesho nenda na kilo uone kama atanena kwa lugha!
 
Last edited by a moderator:
Mwambie shemeji yako kuwa, sikujua shemeji kama we mlokole, naomba niombee ninatatizo la kueeweseka usiku na wakati mwingine najijuta nimeamka na kutoka chumbani bila mimi kujua.
Atakuelewa...
 
Hapo kama kweli umejutia na unataka kubadilika, mwambie akuombee uache hiyo tabia, atajua ibilisi tu alikupitia na atakuona muungwana kwa kujutia kosa lako.
 
Naanzaje kukuhurumia kwa mfano?
Tangaza dau, maana mume ninae, mchepuko ninao, kwako nitaangalia maslahi tu.

Khaaaa..... Yani sura nzuri, roho mbaya kama ngumi ya nwizi....
 
Back
Top Bottom