luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,153
- 21,798
kuna kipolo cha kupasha ila sio icho cha miaka miwili, alikuwa wap?Tuliachana
muda wa miaka miwili. Sasa naona jamaa anataka kurudisha mawasiliano
baada ya kusikia nachat sana na rafiki yake wa kiume. Nikimuuliza
mbona hivi anadai nimsamehe anasema ulikuwa utoto. Na anataka kufika
kwangu wakati zamani alikuwa hataki kuja anaweka visingizio namkataza
anasema basi niende kwake. Kwa sasa nimemaliza shahada yangu ya pili na
ninatafuta kazi. Sasa nipo njia panda au ananipima tu.
usipashe kipolo ni mkosi tupu. kipolo wali unaweza fumba macho ukapasha
ila cha ugari?????????