Sijui anataka kurudi kwani ndiye aliyeniumiza

Sijui anataka kurudi kwani ndiye aliyeniumiza

Wewe unamwonaje? Je ni yule yule au kabadilika?
 
sema na moyo wako ukiridhia kuwa nae... ila ukiona miyeyusho chapa LAPA
 
Tuliachana muda wa miaka miwili. Sasa naona jamaa anataka kurudisha mawasiliano baada ya kusikia nachat sana na rafiki yake wa kiume.

Nikimuuliza mbona hivi anadai nimsamehe anasema ulikuwa utoto. Na anataka kufika kwangu wakati zamani alikuwa hataki kuja anaweka visingizio namkataza anasema basi niende kwake.

Kwa sasa nimemaliza shahada yangu ya pili na ninatafuta kazi. Sasa nipo njia panda au ananipima tu.

Kwa kawaida ukiona umeachana na msichana na akawa bado anaendeleza urafiki na rafiki zako ujue huyo bado anakupenda, ile kuwa na rafiki zako anakuwa anakumbuka uwepo wako. So dada Shmy bado unampenda jamaa, uongo?
 
Last edited by a moderator:
Kwa mtu mwelewa kaelewa kwa nn nimeweka wasifu wangu wa sasa. Cjaweka kutamba kwan naelewa hapa ni kijiwe cha wasomi. Kuna watu ambao wapo vizuri sana zaidi. Kiufupi ni kueleza kuwa hata msomi kuna mambo yanamtatiza japo anauwezo wa kung'amua mambo mengine. Pia natengeneza connection ya wasifu wangu before na after ili kulenga vizuri majibu ya wachangiaji.
 
Kwa kawaida ukiona umeachana na msichana na akawa bado anaendeleza urafiki na rafiki zako ujue huyo bado anakupenda, ile kuwa na rafiki zako anakuwa anakumbuka uwepo wako. So dada Shmy bado unampenda jamaa, uongo?

Sio kivile, alafu ukikosana na rafiki yako wa kike ina maana hata ambao walikuwa shemeji zako unawachunia. Mi nafikiri sio sahihi kuwapotezea.
 
Last edited by a moderator:
Sio kivile, alafu ukikosana na rafiki yako wa kike ina maana hata ambao walikuwa shemeji zako unawachunia. Mi nafikiri sio sahihi kuwapotezea.

Ukiendelea kuwa karibu nao uwezekano wa kurudiana ni mkubwa sana, au hao rafiki zake m1 lazima akuchungulie papuchi, hivyo ndivyo ilivyo kubali au kataa
 
kama alikuumiza, kwanini uko njia panda? naona una kila dalili za kutaka kumsamehe, una uhakika gani kama amedadilika? Kumbuka tabia ya mtu haibadiliki bali huahirisha kwa muda. kama unataka maumivu mengine mrudie. Ila kumbuka mbwa peke yake ndio anatapika na kula, sasa naona unataka kua mbwa.
 
Ukiendelea kuwa karibu nao uwezekano wa kurudiana ni mkubwa sana, au hao rafiki zake m1 lazima akuchungulie papuchi, hivyo ndivyo ilivyo kubali au kataa

Sio rahc kama unavyofikiria rafiki.
 
kama alikuumiza, kwanini uko njia panda? naona una kila dalili za kutaka kumsamehe, una uhakika gani kama amedadilika? Kumbuka tabia ya mtu haibadiliki bali huahirisha kwa muda. kama unataka maumivu mengine mrudie. Ila kumbuka mbwa peke yake ndio anatapika na kula, sasa naona unataka kua mbwa.

Ukisikia kupenda ndio huko! Kupenda ni upofu. Kupenda hakujali una elimu gani! Kupenda ni ugonjwa sawa na donda ndugu.

Kama aling'atwa na nyoka kwenye ukanda wa nyasi na vichaka...akakimbia ukanda huo ili ajitibu na kujisahaulisha machungu ya kung'atwa na nyoka...na kwa hakika akapata nafuu....akapona. Akakutana waungwana na kuwasimulia...jamani eee, mwenzenu nilipenda kujivinjari maeneo ya ukanda ule wa nyasi na vichaka, nilikumbana na nyoka, akaning'ata, sitasahau kamwe.

Halafu anawaambia waungwana, nahisi kupenda kwenda kujivinjari kwenye vile vile vichaka nilikong'atwa na nyoka. Cijui wale nyoka watakuwepo bado au vp! Lakn apenda tu niende ukanda ule. WAUNGWANA MNANISHAURIJE??? Dizaini hii, ukimpa jibu fupi, kwamba usiende bana...utakuwa umetwanga maji kwenye kinu. Ukitaka asiende, inabidi ufungue darasa na umuelimishe(counceling). VINGINEVYO...MWAMBIE, NENDA TU BANA...KILA LA KHERI.
 
Tuliachana muda wa miaka miwili. Sasa naona jamaa anataka kurudisha mawasiliano baada ya kusikia nachat sana na rafiki yake wa kiume.

Nikimuuliza mbona hivi anadai nimsamehe anasema ulikuwa utoto. Na anataka kufika kwangu wakati zamani alikuwa hataki kuja anaweka visingizio namkataza anasema basi niende kwake.

Kwa sasa nimemaliza shahada yangu ya pili na ninatafuta kazi. Sasa nipo njia panda au ananipima tu.

watz mnamaisha ya kihohehahe sana mtu aliyekuacha ni kwamba alikuacha na huwezi jirudisha
maana hata utakuwa hujielewi na liyekuacha naye alikuwa hjielewi hata kwanini alikuacha na hata saiz sithani anajielewa
 
Cjui unaitwa Apouch, soma vizuri post yangu na ujue connection ya kuweka wasifu. Pili siwezi kukurupuka na kufanya maamuzi naelewa umhmu wa utafiti na hapa ni sehemu ambayo naweza kukusanya data kabla ya kufanya conclusion. Najua kuna waelewa humu ndani ambao wanatoa majibu mazuri na yenyd tija na wale waropokaji. Cjui we. hupo wapi
 
Kuna binadamu mnajua kujilipua...

Mrudie tu urudi na thread nyingine hapa
 
Tangu muachane hajatokea potential candidate? Sijui kwako lakini ukiamua kuachana na mtu usirudi nyuma, angalia mbele coz zipo opportunities nyingi.
 
Cjui unaitwa Apouch, soma vizuri post yangu na ujue connection ya kuweka wasifu. Pili siwezi kukurupuka na kufanya maamuzi naelewa umhmu wa utafiti na hapa ni sehemu ambayo naweza kukusanya data kabla ya kufanya conclusion. Najua kuna waelewa humu ndani ambao wanatoa majibu mazuri na yenyd tija na wale waropokaji. Cjui we. hupo wapi

Mm cna shida na wasifu wako, ninataka kukusaidia coz nimekuelewa..labda tungo zangu zimekupa shida kunisoma. Mm nimeliona tatizo kwako kwa kufeli kuamua jambo lako hili. NDO MAANA WENGI WANAKWAMBIA WEW NENDA TU UKAMPE RAHA. Mm nimekwambia njoo pm tuongee kishkaji...utaelewa tu! Wala cjakufikiria au kukusema vibaya....waweza kuwa umeni- missunderstand madame. Kribu..cnaga tabia ya kumdharau mtu...ila uwa ni muwazi na mkweli...napenda tu ivvoo.
 
Tangu muachane hajatokea potential candidate? Sijui kwako lakini ukiamua kuachana na mtu usirudi nyuma, angalia mbele coz zipo opportunities nyingi.

Kuna kukosea mkuu naona hata yeye bado anampenda ajiamini tu aweke vgezo na masharti tu waanze kuhesabu
 
Kuna kukosea mkuu naona hata yeye bado anampenda ajiamini tu aweke vgezo na masharti tu waanze kuhesabu

Huu nao ni mtazamo. Hivi ndivyo anavosomeka huyu, lkn anatembea na majuto ndio shida inayo mliza.
 
Huu nao ni mtazamo. Hivi ndivyo anavosomeka huyu, lkn anatembea na majuto ndio shida inayo mliza.

Anatakiwa ajikomboe sasa kwa hayo majuto katika vgezo vyake maana lazima amhoji huyo aliepotea na sasa anataka kuludi
 
Anatakiwa ajikomboe sasa kwa hayo majuto katika vgezo vyake maana lazima amhoji huyo aliepotea na sasa anataka kuludi

Amkubalie tu. Utamhoji mtu unayempenda? Unadhani kama ni wew unataka kumrudia dem wako...akikuhoji utafeli??? IKIWA WEW NDO MWENY NIA HUWEZI KUFELI. Atafeli yey mke sio mme.
 
Amkubalie tu. Utamhoji mtu unayempenda? Unadhani kama ni wew unataka kumrudia dem wako...akikuhoji utafeli??? IKIWA WEW NDO MWENY NIA HUWEZI KUFELI. Atafeli yey mke sio mme.

Nikweli hutafel ila kumsoma muhimu
 
Back
Top Bottom