Sijui anataka kurudi kwani ndiye aliyeniumiza

Sijui anataka kurudi kwani ndiye aliyeniumiza

Tuliachana muda wa miaka miwili. Sasa naona jamaa anataka kurudisha mawasiliano baada ya kusikia nachat sana na rafiki yake wa kiume.

Nikimuuliza mbona hivi anadai nimsamehe anasema ulikuwa utoto. Na anataka kufika kwangu wakati zamani alikuwa hataki kuja anaweka visingizio namkataza anasema basi niende kwake.

Kwa sasa nimemaliza shahada yangu ya pili na ninatafuta kazi. Sasa nipo njia panda au ananipima tu.
Nna imani kua wewe umevukamiaka 18 na unajua mzuri na mbaya wako.angalia sababu mlizo achania na je anakuja kujilia aishie au kuna maisha pamoja baadae,je moyo wako unamtaka tena na uko tayari kuvumilia chungu na raha yake? raha yake unaijua wewe na chungu yake unaijua wewe......
 
Mtu anapoomba ushauri co kwamba muhusika anakuwa hana maamuzi ya kufanya . Lakin kuna watu wana experience ya mambo hayo wanaweza kukuongezea maharifa au kukupa tahadhari. Kusoma co kigezo kuweza kumaliza matatizo peke yako. Ndo maana hata kipengele hk katika jamii forum kipo. Mara nyingi moyo unaweza taman kitu bila kujua undan wa mtu. Reference ni muhmu jaman kwa wale wapondaji.

Ushauri wangu, Muhimu kuangalia background za matatizo yenu. Pia chanzo cha breaking up. Baada ya hapo angalia je kwa sasa anaweza kuumiza moyo wako?? Usisahau je bado unampenda??
 
Mtu anapoomba ushauri co kwamba muhusika anakuwa hana maamuzi ya kufanya . Lakin kuna watu wana experience ya mambo hayo wanaweza kukuongezea maharifa au kukupa tahadhari. Kusoma co kigezo kuweza kumaliza matatizo peke yako. Ndo maana hata kipengele hk katika jamii forum kipo. Mara nyingi moyo unaweza taman kitu bila kujua undan wa mtu. Reference ni muhmu jaman kwa wale wapondaji.

Pole xana mdada! Shahada ya pili au ya tatu...mm hainisumbui. Kinachonisumbua mm ni graduates wa sasa wanavopata tabu ktk kuamua kwa usahihi mambo madogo madogo ya kimaisha hasa ukanda huu wa mahusiano na mapenzi. ILIFIKA WAKATI NIKAFANYA MAAMUZI MAGUMU kwenye mahusiano ya dadangu na mpenzi wake..na kumtangazia ccter wangu atafute mpenz alomzidi umri. Me, awe mkubwa na Ke awe mdogo kuliko ivo...ati ma-classmet ni wapenz na kila cku mna maamuzi na fikra za kucheza KOMBOLELA. Kwa nn pamoja na kusoma kwenu hamjaweza kujikomboa kifikra??? Kwa nn kila cku kichwa chako msomi kiwe kizito kwa kutingwa na vijimambo vidog vidogo ambavyo ukisema hadharani unakosa mashabiki...why??? NIMEWAONA WENGI WA SAMPULI HII, ndio maana nasema hivi.

Kama ni shida sana, shauri lako niletee pm. Nitakushauri bure, mara nyingi utakavyo. Humu ni kama unazishusha thamani izo shahada ulizosema.
 
Appuch mbona una-like kila comment inayoshauri huyu dada arudi?? ni wewe muhusika??
halafu jina lako ni kama mtoto mdogo akiambiwa sema 'papuchi' atasema apuch au ukivuruga hizo herufi utapata pappuch!

Hahahaaa, mkuu umetisha sana!!! so Appuch ni Papuch!! nimecheka balaa!
 
Kwa akili Ya haraka Ni kwamba wewe unataka mrudiane ila umekuja hapa upate uhakiki kama maamuzi yako ni sahihi

Ushauri ni kwamba it all ends with what you want. Fanya kile moyo unataka ili hata yakikukuta hutokuwa na wakumlaumu Na Pia at least at some point moyo wako Ulikuwa na furaha Hata kama atakuja kukuumiza tena.

Ila swala la kumpa muda pia ni la msingi,usimpe papuchi mapema jipe Muda kwanza

By the way ulikuwa hauna sababu Ya kutuambia elimu yako unless kama unahisi jamaa karudi Sababu ya shahada yako.

Swali la kizushi: huyo rafiki yake kunani? Umesha mtunuku?
 
Appuch mbona una-like kila comment inayoshauri huyu dada arudi?? ni wewe muhusika??
halafu jina lako ni kama mtoto mdogo akiambiwa sema 'papuchi' atasema apuch au ukivuruga hizo herufi utapata pappuch!

Kuhusu kulike...nime-like mawazo yaliyoshabihiana kwenda kwa mtoa mada. Walio-comment ni kama wameliona shauri hilo ni jepesi sana ukilinganisha na aliyelileta. Basi wame-comment kiwepesi ivvo ivvo kama shauri lilivo jepesi. NIME-LIKE.

Kuhusu my name, liko vema.....ni jina. Mtazamo wako mm siwezi kuubadili...maana vile uwazavyo ndivyo akili yako ilivyo. Kwa jinsi uwazavyo naweza kuisoma taswira ya maisha unayoishi.
 
Last edited by a moderator:
Pole xana mdada! Shahada ya pili au ya tatu...mm hainisumbui. Kinachonisumbua mm ni graduates wa sasa wanavopata tabu ktk kuamua kwa usahihi mambo madogo madogo ya kimaisha hasa ukanda huu wa mahusiano na mapenzi. ILIFIKA WAKATI NIKAFANYA MAAMUZI MAGUMU kwenye mahusiano ya dadangu na mpenzi wake..na kumtangazia ccter wangu atafute mpenz alomzidi umri. Me, awe mkubwa na Ke awe mdogo kuliko ivo...ati ma-classmet ni wapenz na kila cku mna maamuzi na fikra za kucheza KOMBOLELA. Kwa nn pamoja na kusoma kwenu hamjaweza kujikomboa kifikra??? Kwa nn kila cku kichwa chako msomi kiwe kizito kwa kutingwa na vijimambo vidog vidogo ambavyo ukisema hadharani unakosa mashabiki...why??? NIMEWAONA WENGI WA SAMPULI HII, ndio maana nasema hivi.

Kama ni shida sana, shauri lako niletee pm. Nitakushauri bure, mara nyingi utakavyo. Humu ni kama unazishusha thamani izo shahada ulizosema.

Ha ha ha! Bosi unajipigia pande la PM, ukamshauri peke yenu wawili, haya bana.

cc Shmy
 
Last edited by a moderator:
Sasa unaposema masuala ya shahada ya pili yameingiaje? Au ndo unataka watu wajue na wewe umesoma? Umeshindwa kuomba tu Ushauri wa yanayokuhusu ?
 
Ha ha ha! Bosi unajipigia pande la PM, ukamshauri peke yenu wawili, haya bana.

cc Shmy

Usiogope mkuu, nataka kumsaidia coz naamini ninaweza. Siwezi kufanya vema zaidi humu...lakn pia sio amri...ni kwa rrroooho xafi.
 
Last edited by a moderator:
Moyo wako kama bado unampenda Fanya maanuzi kutokana na moyo wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom