Siamini ktk ushirikina.
Naomba uni-PM mimi mara moja nitakusaidiaImepita 4 months tangu niseme it's over to my boyfriend... na nimekuwa nikijisikia furaha ya ajabu hadi najishangaa...kwani uhusiano wetu ulijawa na humiliations nyingi kutoka kwake ambazo nimekuwa nikizivumilia kwa kuwa nilimpenda kwa dhati na niliamini huenda siku moja zingekwisha lakini haikuwa hivyo zaidi ilikuwa ni kujitesa na kujiumiza... Tatizo limekuja hv karibuni, najisikia nimekabwa na kitu hapa kooni kana kwamba kuna kitu nahitaji kusema lkn nashindwa, inafika kipindi huwa naona machozi yanatoka yenyewe bila kujitambua, wakati sina tatizo linalonisumbua... Mbaya zaidi leo nimeamka nikiwa na huzuni nyingi ambayo sielewi imetoka wapi au imesababishwa na nini... Nisaidieni mwenzenu... Ni nini hiki maana sijielewi.
Imepita 4 months tangu niseme it's over to my boyfriend... na nimekuwa nikijisikia furaha ya ajabu hadi najishangaa...kwani uhusiano wetu ulijawa na humiliations nyingi kutoka kwake ambazo nimekuwa nikizivumilia kwa kuwa nilimpenda kwa dhati na niliamini huenda siku moja zingekwisha lakini haikuwa hivyo zaidi ilikuwa ni kujitesa na kujiumiza... Tatizo limekuja hv karibuni, najisikia nimekabwa na kitu hapa kooni kana kwamba kuna kitu nahitaji kusema lkn nashindwa, inafika kipindi huwa naona machozi yanatoka yenyewe bila kujitambua, wakati sina tatizo linalonisumbua... Mbaya zaidi leo nimeamka nikiwa na huzuni nyingi ambayo sielewi imetoka wapi au imesababishwa na nini... Nisaidieni mwenzenu... Ni nini hiki maana sijielewi.
Nye.ge tu hizo.{Sorry sana kwa niliyemkwaza}
Imepita 4 months tangu niseme it's over to my boyfriend... na nimekuwa nikijisikia furaha ya ajabu hadi najishangaa...kwani uhusiano wetu ulijawa na humiliations nyingi kutoka kwake ambazo nimekuwa nikizivumilia kwa kuwa nilimpenda kwa dhati na niliamini huenda siku moja zingekwisha lakini haikuwa hivyo zaidi ilikuwa ni kujitesa na kujiumiza... Tatizo limekuja hv karibuni, najisikia nimekabwa na kitu hapa kooni kana kwamba kuna kitu nahitaji kusema lkn nashindwa, inafika kipindi huwa naona machozi yanatoka yenyewe bila kujitambua, wakati sina tatizo linalonisumbua... Mbaya zaidi leo nimeamka nikiwa na huzuni nyingi ambayo sielewi imetoka wapi au imesababishwa na nini... Nisaidieni mwenzenu... Ni nini hiki maana sijielewi.
hauna tatizo lolote lile ni kawaida sana kuamka na huzuni maana kama siku zingine unakuaga na furaha basi ni dhahiri kwamba siku zingine utaamka na huzuni sema juu ya hilo kitu kukukaba..open up and talk u cant be all that strong..!!
Natoa shukrani kwa wooote mlionipa ushauri na naahidi nitaufanyia kazi ushauri wenu, Mungu awabariki sana.