funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Aluminium hiyo wameweka mikato katikati inaonekana kama pvcHii ni ya Aluminium au PVC?
Aluminium hiyo wameweka mikato katikati inaonekana kama pvcHii ni ya Aluminium au PVC?
Hivi haya madirisha ya Alluminium wanatengeneza na kuweka wavu wakuzuia mmbu ?
Ndiyo wanawekaHivi haya madirisha ya Alluminium wanatengeneza na kuweka wavu wakuzuia mmbu ?
Kwa sasa sio kweli...Pole mkuu, mie pia siyakubali hayo ya aluminium, lakini sababu naskia ni fasheni na unafuu wa gharama..Hayo ya aluminium ni far cheaper kuliko ya mbao.
Mimi siyapendi sababu sehemu ya kuingiza hewa inakuwa nusu dirisha..
Kwa joto la dar alluminium ili ikufae uwe na air conditions vyumbani na sebulen
unayaelewa madirisha gani aisee, weka na picha.Kwa kweli hii trend mpya ya madirisha ya Aluminium binafsi sijaielewa kabisa. Naona kama hayako classy kulinganisha na ya mbao nzuri kama mninga.
Muonekano wake haunivutii kabisa, naona kama ni kitu fake kinachong'aa. Shida nyingine ni yanafunguka nusu. Dirisha la mbao unalifungua full kabisa.
Bila shaka wenzetu walianza kutumia madirisha ya namna hii kwa sababu ya uhaba wa mbao na bei kubwa ya mbao na si uzuri wake.
Unayaonaje madirisha haya? Na huku kwetu dirisha la mninga na la aluminium ya ukubwa sawa lipi ni bei kubwa?
Hii unafanyaje??unaweza kudzain likafunguka lote mbona yako dzain tofaut
Mninga ni gharama kubwa, huko rufiji wanachomea mkaa, huku mjini ni dhahabu.
Ushamba uliopitiliza, tumeacha vigae ambavyo haviingizi joto tunaweka mabati ya msauzi, ndio utajua mabeberu walikuwa na akili.
Unatoa dirisha la mbao unaweka la vioo tupu linalofunguka nusu, unahisi unajua kumbe hujui.
Ya muundo huu sion kupendeza kwake, km dratf lolMbona yanapendeza sana tuView attachment 2010490
Weka dirisha la mbao wanaokuzunguka waweke vioo uone nyumba yako itakavyokua kama kabati
...Ukweli ni upi ndugu?Kwa sasa sio kweli
Acha kufananisha mninga na vitu vya ajab mkuuMada siyo mimi kuweka au kutoweka.
Unayaonaje madirisha haya? Na huku kwetu dirisha la mninga na la aluminium ya ukubwa sawa lipi ni bei kubwa?
NakaziaUnajenga nyumba yakuishi milele au ya kupendeza mkuu?
NakaziaMbona mimi ninayo na sina AC na maisha yako poa tu?!!
Zipo dizains nyingi, hata hyo ya kufunga na kufungua dirisha zima kama la mbao tu, so ni wewe kumuelekeza fundi tu.Mimi siyapendi sababu sehemu ya kuingiza hewa inakuwa nusu dirisha..
Kwa joto la dar alluminium ili ikufae uwe na air conditions vyumbani na sebulen
Wanaweka Ila Fundi asipokuwa makini mbu wanaingia Kama woteHivi haya madirisha ya Alluminium wanatengeneza na kuweka wavu wakuzuia mmbu ?