Uganda nayo Nchi sasa?Nachoka mimi babu yake mwandambo! Kuna kikundi gan kenya kila sku wanakimbilia uko
Uganda nchi impauka kama Wilaya ya Namanyere au nkasi nani akimbilie hukoNachoka mimi babu yake mwandambo! Kuna kikundi gan kenya kila sku wanakimbilia uko
Harakati za mtu mweusi ni kuwaza kuneemesha tumbo tukwa hua wanaendaga kutafuta maisha
Sijawahi kusikia mafisadi wakiadabishwasjawahi kuskia wanaharakati wakikemea uchomaji wa nchi, inashangaza sana
Rubbishni nn sasa
Uganda Museven wetu, kikinuka hapa kwetu Mama na sisi tunayempambania pamoja na mauwaji yute tutaenda kule. na sisi tushikilie hapahapa kumpambambania mpaka ionekane kama hajauwa.Nachoka mimi babu yake mwandambo! Kuna kikundi gan kenya kila sku wanakimbilia uko
Sijawahi kusikia wakikemea mauaji acha utekaji na ufiraji. WaTanzania waNasubiri zile ahadi uliahidi kutimiza ndani ya siku mia moja(100) tu baada ya uchaguzi. Tunasubiri uwatimizie ahadi wale 99.9%.sjawahi kuskia wanaharakati wakikemea uchomaji wa nchi, inashangaza sana