ha ha ha ha ha ha we jamaa unapenda ligi umewai panda ndege lakini au kubahatisha kupanda chopa ya mwenyekiti wenuUtakuwa mwalimu wa UPE.
Kwako maendeleo ni kupanda ndege? shame on you CCMha ha ha ha ha ha we jamaa unapenda ligi umewai panda ndege lakini au kubahatisha kupanda chopa ya mwenyekiti wenu
ha ha ha ha ha ha nenda kule songwe kwa ndugu zako wa safwa utawaona walivyojazana airport kuja kushangaa ndege,wewe kipimo cha maendeleo ni nini mkuuKwako maendeleo ni kupanda ndege? shame on you CCM
Kama kweli wewe ni mwalimu hata kiswahili kinakushinda basi tutegemee ziro kuwa nyingi zaidi.ha ha ha ha ha ha nenda kule songwe kwa ndugu zako wa safwa utawaona walivyojazana airport kuja kushangaa ndege,wewe kipimo cha maendeleo ni nini mkuu
ha ha ha aha tafuta laki tatu na elfu 20 nenda kwa wakala wa kukata tiketi za ndenge waambie nataka return tiketi ya mwanza kwa fast jet watakupa tiketi ya kwenda na kurudi.
Siku ya safari wahi saa moja kabla ya safari pale airport ubebe na kitambulisho chako chochote ukiwa na kupigia kura itakua vizuri zaidi then zingatia muda watu wa ndege wako makini na muda sana.
Baada ya maelezo hayo nakutakia safari njema usisahau kubeba simu yenye kamera kwa ajili ya kujipiga selfie ukiwa angani wanaruhusu usihofu na ukumbuke kuludi na ndoo ya samaki toka Mwanza
ndege hawapandwi bali wanafugwa
au ndo kilimo chakisasa
Caution:
Ni marufuku kujamba ndani ya ndege.
JF idumu!!!!!!!, hata ukiwa na stress zako unajikuta umecheka bila kupendaKata sit y dirishan ili ununue mahind,ndiz
Mbona unanitisha mkuu?Ninaamini kwa asilimia mia moja ukifanikiwa kutua Mwanza utarudi kwa basi..
Ndege inapoanza kuruka au kutua lazima upoteze network kidogo. Hili naloulifahamu.. Mpaka uwe sugu inabidi upande mara kwa mara..
AiseeKUNA BINTI NILIPANDA NAYE FASTJET KWENDA MWANZA.
BASI MKOJO UKAMKABA, MHUDUMU WA NDEGE AKAMWELEKEZA CHØO KILIPO.
YULE BINTI ALIOGOPA NA MKOJO WENYEWE AKAGHAIRI KUKOJOA
KAMA MNAVYOJUA, VYOO VIPO CHINI, KWA HYO BINTI ALIOGOPA ANAWEZA KUANGUKIA CHINI ARDHIN MOJA KWA MOJA. AHAHAHAHAH..
Nitafute kaka nafanya booking za Tiketi za ndege ndani na nje ya Nchi nucheki inbox tuwasilianeWakuu habari za leo.
Kichwa kinajieleza, sasa nataka kuvunja rekodi hii, naomba kufahamu A to Z, nikitaka kwenda Mwanza toka Dar, naanzaje?
We! we! we! yani unamdanganya mwenzio aende chooni kuchungulia?hujui kwamba anaweza kuteleza na kudonfokea juu ya nyumba za tembe za Dodoma alafu waseme mchawi kashushwa na makombora ya wagogo wa Chamwino?Selfie ruksa mixer ukitaka kufaidi ikishakaa sawa kule juu nenda hadi chooni ukajionee si unajua tena ushamba mzigo
Mbona helicopter zinafunguliwa?Kwenye physics tulifundishwa dirisha la ndege halifunguliwi mkuu.
Mhh!we sii mwalim Janeth kweli wewe?ha ha ha ha ha niko kwenye taasisi inayosaidia watanzania wengi kama wewe kuwatoa tongo tongo ningependa ningekua na cheo kikubwa sana but i choose to die with a title of mwalim
mungu anakuona kumdanganya.mwenzioYeah... fungua dirisha uangalie mandhari huku ukijipiga selfie...
Hey , how are you ?Best umepotea nipe habari za upande ule
uliwahi kuwa kondakta wa ndege bila shakaIla fast jet kuna vituko sana nazani 80% ya watu mule ndani ndio inakuwaga mara ya kwanza kupanda ndege manake ndege ikitua tu hata jaijasimama utakuta almost kila mtu kasimama kwenye lile coridor sasa huwa najiuliza hawa jamaa huwa wanakimbilia wapi what if ikitokea labda cross wind then pilot aamue ku arbot landing si ndio atawamwaga balaa ha ha ha ha ha huwa nacheka sana alafu wale ma airhostes wanaacha tu watu wapalangane kwenye kushuka yani hamna ustaarabu kama kwenye SHABIBY au saibaba