Sijawahi kuona Supu ya nguruwe

Sijawahi kuona Supu ya nguruwe

Hata sisi hatupungukiwi na chochote kwa kumtafuna mdudu, sana sana tunapata protini kwa wingi, zinc na vingine vingi
Ni kweli... mkuu bahati nzuri protein haipo kwa kitimoto pekee... kuna maharage, samaki n.k kwa hiyo sioni nachopoteza
 
Hivi Sehemu nyingi utakuta Supu Mbuzi/Ng'ombe Kuku,Samaki na Pweza hata wanapouza Kitimoto sijawahi kuona supu yake inauzwa
Unataka kupata ladha ya supu ya nguruwe mkuu?

Nenda kwenye shughuli yoyote mtaani.. iwe kumnema mwali au za kufanana na hivyo....

Opoa TUKUNYEMA LOLOTE LILILOCHEZA SANA KWA MUDA MREFU...INGIA NALO MZIGONI KABLA HALIJAOGA....AKIVUA TU...UTAIPATA HIYO LADHA YA SUPU YA NGURUWE!/KITIMOTO! UNAYOITAKA!
 
Ukifika mbezi Mwisho Mbezi ya magufuri shuka kituo Cha chini then hapo kituo Cha chini mbele kidogo Kuna round ya bout hapo ulizia bajaji zinazoenda kinyerezi, usifike Sasa kinyerezi mwambie akushushe kanisani , ukishuka tu hapo hapo kanisani Kuna guest inaitwa MACHAME , hapo hapo Kuna kibar kidogo wanauza supu ya kurue , ya kongoro kila siku hapo inapatikana
 
Hivi Sehemu nyingi utakuta Supu Mbuzi/Ng'ombe Kuku,Samaki na Pweza hata wanapouza Kitimoto sijawahi kuona supu yake inauzwa
Ipo ya utumbo wake unashindiliwa nyama nyama na damu kidogo karoti pilipili hoho inatumbukizwa kwwnye sururia inachemshwa ukikaribia kuiva u atobolewa na tuthpick (ili usipasuke )basi ukiiva ukitolewa ukawekwa swhemu ukapoa kiasi ulakata ukila baba ma supu yake ni balaa
 
Ukifika mbezi Mwisho Mbezi ya magufuri shuka kituo Cha chini then hapo kituo Cha chini mbele kidogo Kuna round ya bout hapo ulizia bajaji zinazoenda kinyerezi, usifike Sasa kinyerezi mwambie akushushe kanisani , ukishuka tu hapo hapo kanisani Kuna guest inaitwa MACHAME , hapo hapo Kuna kibar kidogo wanauza supu ya kurue , ya kongoro kila siku hapo inapatikana
Naipenda sana hiyo siku ntatokea
 
Hujaishi kwa wafugaji, itakuwa unakutana nayo buchani tu.
Supu IPO, bila kusahau mishikaki yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom