Sijawahi kuona mkoa wa Kagera unakosekana katika 10 bora ya matokeo yoyote ya elimu Tanzania

Mkuu ujanielewa kabisa , wahaya wengi wamesoma ili liko wazi, lakini bahati mbaya huku mtaani hamna tofauti yeyote na asie soma , tena bahati mbaya unaweza kuta boss wako aliekuajiri ata elimu hana
Achana naye huyu ashakubali wahaya wamesoma kuzidi wachaga, sema anataka kujua faida za elimu yetu. Akaribie Kanyigo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi safari za ndege za kueleke bukoba zimeongezwa .soma upate hela.nenda vijiji vya bukoba uone migheto halafu uniambie elimu haina impact.hapa dar tazama mijengo na miradi ya kihaya.nenda mbezi beach uone elimu inavyofanya kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Umeongelea safari za ndege umenikumbusha shida iliyopo. Pamoja na kuongeza routes za ndege bado nafasi ni za shida sana. Demand ni kubwa sana mkuu. Mhaya kwa nini aendeshe km 1500 wakati anaweza kuja na ndege na akafika Bk mjini akakodi gari la kufanyia mizunguko yake kijijini!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My friend mi sibishi kuwa bukoba inakuwa kumi bora bali nataka u prove beyond reasonable doubt, na njia pekee ni kuwa na sample nyingi.
Kama we muhaya basi ni wale wasiosoma.OVER
We nae hebu tuondolee njaa za Hai huko. Kwa mwandiko wako, points zako hueleweki kwanza ni jinsia gani achilia mbali umri na elimu yako.

Mtu unataka data unapewa unazikataa unataka za kwako. Unapewa nafasi ya wewe kuziweka hizo za kwako unajamba shuzi tu. Sasa tukuiteje!? Nyie ndo mnawadhalilisha wachaga wenzenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JUMLA ya watahiniwa 38,853 sawa na asilimia 97 waliofanya mtihani wa kidato cha sita (ACSEE), Mei mwaka huu wamefaulu.
Kati ya watahiniwa hao wasichana waliofaulu ni 11, 734 sawa na asilimia 98 wakati wavulana ni 27, 119 sawa na asilimia 97.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjni Zanzibar, Katibu wa Baraza la Mitihani ya Taifa (NECTA), Charlse Msonde alisema kuwa watahiniwa wa shule waliofaulu ni 34, 777 sawa na asilimia 98 huku wasichana ni 10, 576 sawa na asilimia 99 na wavulana ni 24, 201 sawa na asilimia 98.
Msonde alisema kuwa jumla ya watahiniwa 4, 076 wa kujitegemea sawa na asilimia 88 wamefaulu mtihani huo.
“Kati ya watahiniwa 40.753 waliondikishwa kufanya mitihani ya kidato cha sita wakiwemo wasichana 12,113 (29.72%) na wavulana 28.640 (70.28%) kati ya watahiniwa waliosajiliwa na shule walikuwa ni 35,375 na wa kujitegemea walikuwa 5,378, mwaka 2014 watahiniwa waliosajiliwa walikuwa ni 41,968 kati ya watahiniwa hao walifanya mitihani ni 39,805 sawa na 97.67 na watahiniwa 948 sawa na asilimia 2.33 hawakufanya mitihani yao” alisema Msonde.
Msonde alisema takwimu za matokeo zinaonyesha kuwa ufaulu wa watahiniwa wa shule katika masomo ya Historia, Gographia, Kingereza, Fizikia, Kemia, Balogia, Uchumi, Biashara pamoja na Akaunti umepanda ikilinganishwa na mwaka 2014.
“Ufaulu wa juu kabisa ni ule wa masomo ya Kiswahili na Historia ambapo asilimia 99 ya watahiniwa wote wa shule waliofanya masomo hayo wamefaulu, aidha ufaulu katika masomo ya Sayansi umeendelea kuimarika ikilinganishwa na ufaulu wa masomo hayo kwa mwaka jana,”alisema.
Hata hivyo Msonde alisema kuwa ubora wa ufaulu kwa kuangalia madaraja waliyopata watahiniwa wa shule unaonesha kuwa jumla ya watahiniwa 31, 450 sawa na asilimia 89 wamefaulu katika madaraja ya Distinction,Merit na Credit, wakiwemo wasichana 9, 876 na wavulana 21, 574.
Aidha alieleza kuwa jumla ya watahiniwa 40, 753 waliosajiliwa kufanya mtihani huo mei mwaka huu ni watahiniwa 39, 805 tu sawa na asilimia 97 walifanya mtihani huku watahiniwa 948 sawa na asilimia 2 walishindwa kufanya mtihani huo.
Shule zilizofanya vizuri zaidi
Msonde alisema kuwa ubora wa shule umepangwa kwa kutumia kigezo cha wastani wa pointi na upangaji wa shule hizo umezingatia shule zenye idadi ya watahiniwa wasiopungua 30.
Alisema shule kumi bora ni Feza Boy’s (Dar es Salaam), Runzewe (Geita), Feza Girl’s (Dar es Salaam), Sumbawanga (Rukwa), Ivumwe (Geita), St Mary’s Mazinge juu (Tanga), Vwawa (Mbeya), Kisimiri (Arusha), Namabengo (Ruvuma) pamoja na Scolastica (Kilimanjaro).
We si unataka za miaka 10 ama sio wewe??

Alafu mwaka huo huo tupe na top 10 ya wanafunzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watahiniwa waliofanya vizuri zaidi
Msonde alisema kuwa watahiniwa waliofanya vizuri zaidi wamepatikana kwa kulinaganisha wastani wa pointi (GPA) kwenye masomo ya tahasusi (Combination) pamoja na wastani wa alama za jumla walizopata.
Alisema kuwa watahiniwa hao ni Ramadhani Gembe (Feza Boy’s), Lesian Lengare (Ilboru), Hunayza Mohamed (Feza Girl’s), Rosemary Chengula (St Mary’s Mazinde juu), Kevin Rutahoile (St Joseph’s Cathedral), Anderton Masanja (St Joseph’s Cathedral), Joseph Pasian (Iliboru), Lupyanal Kinyamagoha (Mzumbe), Yonazi Senkondo (Feza boy’s) pamoja na Meghna Solanki (Shaaban Robert).
Msonde alisema kuwa tathimini ya awali ya matokeo kwa watahiniwa wa shule yamezidi kuimarika kwani ufaulu umepanda kwa asilimia 0.61 kutoka asilimia 98.26 mwaka 2014 hadi asilimia 98.87 kwa mwaka huu.
Alisema tathmini ya ufaulu wa shule mbalimbali inaonesha kuwa katika shule kumi bora kitaifa shule za serikali ziko tano na zisizo za serikali ziko tano, aidha alieleza katika shule ishirini bora kitaifa shule za serikali ziko 13 na zisizo za serikali ni saba.
Alisema kuwa kuhimarika huko kwa ufaulu kwa mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana ni matokeo ya juhudi zinazoendelea kufanywa na serikali katika kuboresha elimu nchini.
Naomba uniambie huyo Kevin Rutahoile ni kabila gani?? Hakuna mwaka mhaya anakosa top 10. Sahau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha!!! Duh!! Kumbe muda wote nabishana na mtu wa hivi??? Hivi unajua ulichokipost kweli?? Sasa matoke ya advanced yanapima vipi ufaulu wa watu wa mkoa fulani??? Mind you T. O mwaka uliopita ni mhaya lakini alikuwa mzumbe. Zungumzia matokeo hasa ya primary and o-level ndani ya mkoa sababu ndo kunakuwa na wazawa wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hajui kwamba A level wanafunzi wanakuwa wameshachanguka changuka kwenye mikoa mingine. Hivi mtoto aliyemalizia o level Kaizirege sec, au KEMEBOS ana div 1 form 5 atasomea wap? Wanafunzi wanaofaulu wanachaguliwa shule za mikoa tofauti. Usifikiri hao vichwa wa Ilboru, Mzumbe na Kibaha wanatoka Karatu, Morogoro na Pwani respectively. Wanatoka mikoa mingine huko wanapochaguliwa.

Kipimo kizuri cha kupima mkoa katika ufaulu ni std 7 na O level.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matokeo ya o level na primary wengi wanaosoma utoka mkoa husika tofauti na a level .mi nimesoma iringa a level Ila o level na primary ni kagera na we pia history yako itakuwa hivyo Acha ujinga hebu tazama matokeo ya form 2 ya shule moja huko bukoba uniambie Nani sio muhaya hapo .kama unataka kujua wahaya wanafanya vzr angalia top ten za form sixView attachment 988590

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, mimi A level nimesomea Morogoro, Kilosa na baadae nikahamia Dar, Tambaza. Ila msingi nilisomea Kagera, na O level nikasomea Kagera.

Matokeo yangu ya A level yanaonekana kuipaisha Dar, wakati mimi ni zao la Kagera. So A level huwez itumia kupima ubora wa elimu kwa mkoa husika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu weka majina ya wanafuzi wa kagera walio wai kutisha kwenye matokea ya kidato cha nne na sita na sisi tuweke wa Kilimanjaro

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuanzie hapa. Shusha wako wa Kichagga:
Waliotambulika haraka ni hawa
1. PROF. BARONGO JUSTUS O
B.Sc. (UoN), M.Sc. (Queens), Ph.D. (McGill).
Email: jbarongo@uonbi.ac.ke
2. Professor L Barongo
Community Medicine: Professor
Contact Details:
(+264 61) 2065012
lbarongo@unam.na
3: Professor Feliciano Barongo mzumbe University
4: Prof Silas Lwakabamba is a Rwandan professor of Tanzanian
5: Professor Rwekaza Mukandala
6: Professor John Rwomushana
7: Professor Anna Tibaijuka
8: Professor Kesho Mushahara
9: Professor Kazaula
10: Professor Tibageza
11: Professor Delphin Rwegadsira
12: Professor Justinian Rweyemamu
13: Professor Letice Rutashobya
14: Professor Clavery Mtesigwa UDSM
15: Prof Mwesiga Baregu
16: Prof Mushumbusi kibogoya UDSN
17: Professor mugyabuso Mulokozi UDSM
18: Professor Faustine Kamuzora
19: Professor Aurelia Ngirwa
20: Professor Kamuntu
21: Professor Chris Kamuzora
22: Professor Rwelamila NRF
23: Professor mark Rweyemamu Galv
24: Professor Kyaruzi SUA
25: Professor Joseph Kahamba
26: Prof Sylvest Kajuna kairuki University
28: Professor Erasmus Kaijage
29: Professor Hoses Rwegoshora
30: Professor Kami S P Rwegasira
31: Filbert Rwehumbiza
32: Professor Kamala
33: Professor Kairuki
34: Theonest Mutabingwa
35: Professor Mwemezi Rwiza Nelson Mandela University
36: Professor Kato Rugangila,
37: Professor Tumwesige
38: Professor Godwin Kaganda
39: Professor John Ruhangisa
40: Professor Benson Bana
41: Professor Rwegarulila
42: ProfessorJamindu Katima
43: Professor Batamuzi
44: Professor Mutayoba
45: Professor Bitegeko
46: Professor Jonathan Kabigumila
47: Professor Mutabingwa Theonest Kahangwa ,
48: Professor Kamazima M M Lwiza
49: Professor Joseph Buchweishaija
50: Professor Emanuel Babyegeya
51: Professor L.K Rutasiitara
52: Professor Richard W Rwechungura
53: Professor Egydius R Rwenyagila
54: Professor Benezet Mtayoba SUA
55: Professor B. A Rwezaura UDSM
56: Professor R.C Ishengoma
57: Professor Tibandebage
58: Professor W . Rugakingira
59: Professor Buberwa
60: Professor C. S Binamungu Mzumbe
61: Professional prof Bonaventure Rutinwa
62: Professor Alex M Mtalemwa Harvad University
63: Professor Deogratius Rutatora SUA

Na hawa ni profesa tu siyo Madakitari

Addedum:
Prof Batamuzi (RIP)
Prof Mutayoba
Prof Bitegeko
Prof Jamindu Katima
Prof. Jonathan Kabigumila
 
Tuanzie hapa. Shusha wako wa Kichagga:
Waliotambulika haraka ni hawa
1. PROF. BARONGO JUSTUS O
B.Sc. (UoN), M.Sc. (Queens), Ph.D. (McGill).
Email: jbarongo@uonbi.ac.ke
2. Professor L Barongo
Community Medicine: Professor
Contact Details:
(+264 61) 2065012
lbarongo@unam.na
3: Professor Feliciano Barongo mzumbe University
4: Prof Silas Lwakabamba is a Rwandan professor of Tanzanian
5: Professor Rwekaza Mukandala
6: Professor John Rwomushana
7: Professor Anna Tibaijuka
8: Professor Kesho Mushahara
9: Professor Kazaula
10: Professor Tibageza
11: Professor Delphin Rwegadsira
12: Professor Justinian Rweyemamu
13: Professor Letice Rutashobya
14: Professor Clavery Mtesigwa UDSM
15: Prof Mwesiga Baregu
16: Prof Mushumbusi kibogoya UDSN
17: Professor mugyabuso Mulokozi UDSM
18: Professor Faustine Kamuzora
19: Professor Aurelia Ngirwa
20: Professor Kamuntu
21: Professor Chris Kamuzora
22: Professor Rwelamila NRF
23: Professor mark Rweyemamu Galv
24: Professor Kyaruzi SUA
25: Professor Joseph Kahamba
26: Prof Sylvest Kajuna kairuki University
28: Professor Erasmus Kaijage
29: Professor Hoses Rwegoshora
30: Professor Kami S P Rwegasira
31: Filbert Rwehumbiza
32: Professor Kamala
33: Professor Kairuki
34: Theonest Mutabingwa
35: Professor Mwemezi Rwiza Nelson Mandela University
36: Professor Kato Rugangila,
37: Professor Tumwesige
38: Professor Godwin Kaganda
39: Professor John Ruhangisa
40: Professor Benson Bana
41: Professor Rwegarulila
42: ProfessorJamindu Katima
43: Professor Batamuzi
44: Professor Mutayoba
45: Professor Bitegeko
46: Professor Jonathan Kabigumila
47: Professor Mutabingwa Theonest Kahangwa ,
48: Professor Kamazima M M Lwiza
49: Professor Joseph Buchweishaija
50: Professor Emanuel Babyegeya
51: Professor L.K Rutasiitara
52: Professor Richard W Rwechungura
53: Professor Egydius R Rwenyagila
54: Professor Benezet Mtayoba SUA
55: Professor B. A Rwezaura UDSM
56: Professor R.C Ishengoma
57: Professor Tibandebage
58: Professor W . Rugakingira
59: Professor Buberwa
60: Professor C. S Binamungu Mzumbe
61: Professional prof Bonaventure Rutinwa
62: Professor Alex M Mtalemwa Harvad University
63: Professor Deogratius Rutatora SUA

Na hawa ni profesa tu siyo Madakitari
Huyu utamuua kwa presha. Kwanza kuna list ya maprofesa nikiishusha hapa watakimbiana. Unaambiwa kati ya maprof zaidi ya 350 wa Tanzania hii, zaidi ya 180 wametoka Kagera. Achilia mbali ambao hawajatumia majina ya ukoo ya kihaya lakini ni wahaya.

Hii ina maana zaidi ya 50% yao wametoka Kagera tu. Hiyo asilimia arobaini na kitu iliyobaki ndo wanaihombea akina Manka na wenzao waliobaki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuanzie hapa. Shusha wako wa Kichagga:
Waliotambulika haraka ni hawa
1. PROF. BARONGO JUSTUS O
B.Sc. (UoN), M.Sc. (Queens), Ph.D. (McGill).
Email: jbarongo@uonbi.ac.ke
2. Professor L Barongo
Community Medicine: Professor
Contact Details:
(+264 61) 2065012
lbarongo@unam.na
3: Professor Feliciano Barongo mzumbe University
4: Prof Silas Lwakabamba is a Rwandan professor of Tanzanian
5: Professor Rwekaza Mukandala
6: Professor John Rwomushana
7: Professor Anna Tibaijuka
8: Professor Kesho Mushahara
9: Professor Kazaula
10: Professor Tibageza
11: Professor Delphin Rwegadsira
12: Professor Justinian Rweyemamu
13: Professor Letice Rutashobya
14: Professor Clavery Mtesigwa UDSM
15: Prof Mwesiga Baregu
16: Prof Mushumbusi kibogoya UDSN
17: Professor mugyabuso Mulokozi UDSM
18: Professor Faustine Kamuzora
19: Professor Aurelia Ngirwa
20: Professor Kamuntu
21: Professor Chris Kamuzora
22: Professor Rwelamila NRF
23: Professor mark Rweyemamu Galv
24: Professor Kyaruzi SUA
25: Professor Joseph Kahamba
26: Prof Sylvest Kajuna kairuki University
28: Professor Erasmus Kaijage
29: Professor Hoses Rwegoshora
30: Professor Kami S P Rwegasira
31: Filbert Rwehumbiza
32: Professor Kamala
33: Professor Kairuki
34: Theonest Mutabingwa
35: Professor Mwemezi Rwiza Nelson Mandela University
36: Professor Kato Rugangila,
37: Professor Tumwesige
38: Professor Godwin Kaganda
39: Professor John Ruhangisa
40: Professor Benson Bana
41: Professor Rwegarulila
42: ProfessorJamindu Katima
43: Professor Batamuzi
44: Professor Mutayoba
45: Professor Bitegeko
46: Professor Jonathan Kabigumila
47: Professor Mutabingwa Theonest Kahangwa ,
48: Professor Kamazima M M Lwiza
49: Professor Joseph Buchweishaija
50: Professor Emanuel Babyegeya
51: Professor L.K Rutasiitara
52: Professor Richard W Rwechungura
53: Professor Egydius R Rwenyagila
54: Professor Benezet Mtayoba SUA
55: Professor B. A Rwezaura UDSM
56: Professor R.C Ishengoma
57: Professor Tibandebage
58: Professor W . Rugakingira
59: Professor Buberwa
60: Professor C. S Binamungu Mzumbe
61: Professional prof Bonaventure Rutinwa
62: Professor Alex M Mtalemwa Harvad University
63: Professor Deogratius Rutatora SUA
Waliwahi kusema 60% ya maprofesa ni wahaya.bado hujagusa madakitari,wanasheria ndo basi, mapadre ndo usiseme mpaka Jimbo la bukoba Lina maaskofu wawili.kardinali wa Kwanza mweusi rugambwa nk nimechoka kuandika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui Kwa nini mkoa WA kagera au Kilimanjaro ukisifiwa lazima battle iwepo Kati mikoa hii miwili

Sent using Jamii Forums mobile app
Na mara nyingi hii inakuja uzi ukimsifia mhaya wachaga ndo wanavamia kuchafua. Wakati kila kukicha wao humu wanajifungulia nyuzi zao za kujisifu kwa mambo yao na sisi tunaziona hatuwachafulii. Tukitangaza hiyo vita ya kuwaumbua kila uzi wao watakosa amani.

Sema hatuwezi angaika nao maana sisi tunaamini ukiwa nacho ruksa kujisifu, usipojisifu akusifu nani?? Kama kuna wanachojiona wanacho acha wajisfu nacho. Tatizo linakuja pale wanapojisifu kwa maneno tu bila hata evidence au hata kapicha! Hilo HATUTALIVUMILIA. Jisifuni kwa yale ya ukweli mliyo nayo sio misifa ya maneno tu.

Kitu ambacho hawa wenzetu hawaelewi ni kwamba hakuna kitu kizuri kama kujisifu kwa kile ulicho nacho kweli! Maana hata mtu akikubishia unamuonesha tu maana kipo. Sasa hawa wenzetu wameiga vibaya kujisifu. Wao wanafikiri kujisifu ni kuachama tu na kutoa maneno ya sifa. Wakiulizwa vielelelezo uzi unaishia hapo inageuka vita yao na Kagera.

Nasema tena TUTAWANYOOSHA. Nyambaaaf zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mara nyingi hii inakuja uzi ukimsifia mhaya wachaga ndo wanavamia kuchafua. Wakati kila kukicha wao humu wanajifungulia nyuzi zao za kujisifu kwa mambo yao na sisi tunaziona hatuwachafulii. Tukitangaza hiyo vita ya kuwaumbua kila uzi wao watakosa amani.

Sema hatuwezi angaika nao maana sisi tunaamini ukiwa nacho ruksa kujisifu, usipojisifu akusifu nani?? Kama kuna wanachojiona wanacho acha wajisfu nacho. Tatizo linakuja pale wanapojisifu kwa maneno tu bila hata evidence au hata kapicha! Hilo HATUTALIVUMILIA. Jisifuni kwa yale ya ukweli mliyo nayo sio misifa ya maneno tu.

Kitu ambacho hawa wenzetu hawaelewi ni kwamba hakuna kitu kizuri kama kujisifu kwa kile ulicho nacho kweli! Maana hata mtu akikubishia unamuonesha tu maana kipo. Sasa hawa wenzetu wameiga vibaya kujisifu. Wao wanafikiri kujisifu ni kuachama tu na kutoa maneno ya sifa. Wakiulizwa vielelelezo uzi unaishia hapo inageuka vita yao na Kagera.

Nasema tena TUTAWANYOOSHA. Nyambaaaf zao

Sent using Jamii Forums mobile app

Walitaka Data mimi nawashushia na wao washushe zao. Maana niliposhusha za maprofesa kidogo tu wamepotea

Katibu Mtendaji, Dk Msonde amezitaja shule 10 bora kitaifa kuwa ni;
St Peter iliyopo Kagera
,
atibu Mtendaji, Dk Msonde amezitaja shule 10 bora kitaifa kuwa ni;
St Peter iliyopo Kagera,
St Severine (Kagera), Alliance (Mwanza), Sir John (Tanga), Palikas (Shinyanga), Mwanga (Kagera), Hazina (Dar es Salaam), St Anne Marie (Dar es Salaam), Rweikiza (Kagera) na Martin Luther (Dodoma). Jumla Kagera shule nne and Kilimanjaro = 0

Amezitaja shule 10 ambazo hazikufanya vizuri kuwa ni;
Nyahaa ya Singida, Bosha (Tanga), Ntalasha (Tabora), Kishangazi (Tanga), Mntamba (Singida), Ikolo (Singida), Kamwala (Songwe), Kibutuka (Lindi), Mkulumuzi (Tanga) na Kitwai A (Manyara).

Halmashauri kumi bora kitaifa ni;
Kinondoni (Dar es Salaam), Moshi(M) (Kilimanjaro), Arusha(M) (Arusha), Ilala(M) (Dar es Salaam), Mafinga Mji (Iringa), Mlele (Katavi), Kigamboni (Dar es Salaam), Nzega Mji (Tabora), Mpanda (Katavi) na Chato (Geita)

Aliitaja mikoa iliyoongoza kitaifa kuwa ni;
Dar es Salaam, Geita, Kagera, Iringa, Kilimanjaro, Njombe, Arusha, Mwanza, Katavi na Tabora.

Dk Msonde amesema mikoa iliyofanya vibaya ni;
Singida, Tanga, Songwe, Lindi na Manyara.

Wavulana kumi bora kitaifa ni hawa hapa;
  1. Ibrahim Shaban - Tusiime (Dar es Salaam) - Shule ya mtu wa Kagera
  2. Kadidi Mkama Kadidi- Paradise (Geita)
  3. Acius Job Missingo - St. Peter Claver (Kagera)
  4. Mahir Ally Mohamedy - Feza (Dar es Salaam)
  5. Mbarak Faraj - Feza (Dar es Salaam)
  6. Philemon Damas - St. Achileus (Kagera)
  7. Huruma Godfrey - Mwanga (Kagera)
  8. Hamza Azael Almas - Hazina (Dar es Salaam)
  9. Gibbons Roy - Fountain of Joy (Dar es Salaam)
  10. Erastus Joseph - St. Peter Claver (Kagera)
Wasichana kumi bora kitaifa hawa hapa;
  1. Hadija Aziz Ally - Sir John (Tanga)
  2. Naseem Kareem Said - Sir John (Tanga)
  3. Insiyah Kalimuddin Ally - Sir John (Tanga)
  4. Colletha Masungwa - St. Achileus Kiwanuka (Kagera)
  5. Linah John Lameck - Sir John (Tanga)
  6. Saada Ahmed Omary - Sir John (Tanga)
  7. Khadija Salim Omary - Sir John (Tanga)
  8. Hannat Ramadhani - Dar-Ul-Muslimeen (Dodoma)
  9. Efrosina Geofrid - Omukaliro (Kagera)
  10. Nancy Elirehema Mejooli - Tusiime (Dar es Salaam)
Watahiniwa kumi bora kitaifa ndio hawa hapa;
  1. Hadija Aziz Ally - Sir John (Tanga)
  2. Naseem Kareem Said - Sir John (Tanga)
  3. Ibrahim Shaban - Tusiime (Dar es Salaam)
  4. Kadidi Mkama Kadidi- Paradise (Geita)
  5. Acius Job Missingo - St. Peter Claver (Kagera)
  6. Insiyah Kalimuddin Ally - Sir John (Tanga)
  7. Colletha Masungwa - St. Achileus Kiwanuka (Kagera)
  8. Mahir Ally Mohamedy - Feza (Dar es Salaam)
  9. Mbarak Faraj - Feza (Dar es Salaam)
  10. Philemon Damas - St. Achileus (Kagera)

, Alliance (Mwanza), Sir John (Tanga), Palikas (Shinyanga), Mwanga (Kagera), Hazina (Dar es Salaam), St Anne Marie (Dar es Salaam), Rweikiza (Kagera) na Martin Luther (Dodoma).

Amezitaja shule 10 ambazo hazikufanya vizuri kuwa ni;
Nyahaa ya Singida, Bosha (Tanga), Ntalasha (Tabora), Kishangazi (Tanga), Mntamba (Singida), Ikolo (Singida), Kamwala (Songwe), Kibutuka (Lindi), Mkulumuzi (Tanga) na Kitwai A (Manyara).

Halmashauri kumi bora kitaifa ni;
Kinondoni (Dar es Salaam), Moshi(M) (Kilimanjaro), Arusha(M) (Arusha), Ilala(M) (Dar es Salaam), Mafinga Mji (Iringa), Mlele (Katavi), Kigamboni (Dar es Salaam), Nzega Mji (Tabora), Mpanda (Katavi) na Chato (Geita)

Aliitaja mikoa iliyoongoza kitaifa kuwa ni;
Dar es Salaam, Geita, Kagera, Iringa, Kilimanjaro, Njombe, Arusha, Mwanza, Katavi na Tabora.

Dk Msonde amesema mikoa iliyofanya vibaya ni;
Singida, Tanga, Songwe, Lindi na Manyara.

Wavulana kumi bora kitaifa ni hawa hapa;
  1. Ibrahim Shaban - Tusiime (Dar es Salaam)
  2. Kadidi Mkama Kadidi- Paradise (Geita)
  3. Acius Job Missingo - St. Peter Claver (Kagera)
  4. Mahir Ally Mohamedy - Feza (Dar es Salaam)
  5. Mbarak Faraj - Feza (Dar es Salaam)
  6. Philemon Damas - St. Achileus (Kagera)
  7. Huruma Godfrey - Mwanga (Kagera)
  8. Hamza Azael Almas - Hazina (Dar es Salaam)
  9. Gibbons Roy - Fountain of Joy (Dar es Salaam)
  10. Erastus Joseph - St. Peter Claver (Kagera)
  11. Kilimanjaro=0
Wasichana kumi bora kitaifa hawa hapa;
  1. Hadija Aziz Ally - Sir John (Tanga)
  2. Naseem Kareem Said - Sir John (Tanga)
  3. Insiyah Kalimuddin Ally - Sir John (Tanga)
  4. Colletha Masungwa - St. Achileus Kiwanuka (Kagera)
  5. Linah John Lameck - Sir John (Tanga)
  6. Saada Ahmed Omary - Sir John (Tanga)
  7. Khadija Salim Omary - Sir John (Tanga)
  8. Hannat Ramadhani - Dar-Ul-Muslimeen (Dodoma)
  9. Efrosina Geofrid - Omukaliro (Kagera)
  10. Nancy Elirehema Mejooli - Tusiime (Dar es Salaam)
  11. Kilimanjaro = 0
Watahiniwa kumi bora kitaifa ndio hawa hapa;
  1. Hadija Aziz Ally - Sir John (Tanga)
  2. Naseem Kareem Said - Sir John (Tanga)
  3. Ibrahim Shaban - Tusiime (Dar es Salaam)
  4. Kadidi Mkama Kadidi- Paradise (Geita)
  5. Acius Job Missingo - St. Peter Claver (Kagera)
  6. Insiyah Kalimuddin Ally - Sir John (Tanga)
  7. Colletha Masungwa - St. Achileus Kiwanuka (Kagera)
  8. Mahir Ally Mohamedy - Feza (Dar es Salaam)
  9. Mbarak Faraj - Feza (Dar es Salaam)
  10. Philemon Damas - St. Achileus (Kagera)
  11. Kilimanjaro = 0
 
We si unataka za miaka 10 ama sio wewe??

Alafu mwaka huo huo tupe na top 10 ya wanafunzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimetoa moja kama wao wanavyotaka, maana nimewaomba watuwekee for 10 yrs tufanye analysis hawataki.wameanzisha mada ya kijinga na data za kijinga, sasa wamegeuka wapumbavu maana hawawezi kuleta analytical data.
 
Walitaka Data mimi nawashushia na wao washushe zao. Maana niliposhusha za maprofesa kidogo tu wamepotea

Katibu Mtendaji, Dk Msonde amezitaja shule 10 bora kitaifa kuwa ni;
St Peter iliyopo Kagera
,
atibu Mtendaji, Dk Msonde amezitaja shule 10 bora kitaifa kuwa ni;
St Peter iliyopo Kagera,
St Severine (Kagera), Alliance (Mwanza), Sir John (Tanga), Palikas (Shinyanga), Mwanga (Kagera), Hazina (Dar es Salaam), St Anne Marie (Dar es Salaam), Rweikiza (Kagera) na Martin Luther (Dodoma). Jumla Kagera shule nne and Kilimanjaro = 0

Amezitaja shule 10 ambazo hazikufanya vizuri kuwa ni;
Nyahaa ya Singida, Bosha (Tanga), Ntalasha (Tabora), Kishangazi (Tanga), Mntamba (Singida), Ikolo (Singida), Kamwala (Songwe), Kibutuka (Lindi), Mkulumuzi (Tanga) na Kitwai A (Manyara).

Halmashauri kumi bora kitaifa ni;
Kinondoni (Dar es Salaam), Moshi(M) (Kilimanjaro), Arusha(M) (Arusha), Ilala(M) (Dar es Salaam), Mafinga Mji (Iringa), Mlele (Katavi), Kigamboni (Dar es Salaam), Nzega Mji (Tabora), Mpanda (Katavi) na Chato (Geita)

Aliitaja mikoa iliyoongoza kitaifa kuwa ni;
Dar es Salaam, Geita, Kagera, Iringa, Kilimanjaro, Njombe, Arusha, Mwanza, Katavi na Tabora.

Dk Msonde amesema mikoa iliyofanya vibaya ni;
Singida, Tanga, Songwe, Lindi na Manyara.

Wavulana kumi bora kitaifa ni hawa hapa;
  1. Ibrahim Shaban - Tusiime (Dar es Salaam) - Shule ya mtu wa Kagera
  2. Kadidi Mkama Kadidi- Paradise (Geita)
  3. Acius Job Missingo - St. Peter Claver (Kagera)
  4. Mahir Ally Mohamedy - Feza (Dar es Salaam)
  5. Mbarak Faraj - Feza (Dar es Salaam)
  6. Philemon Damas - St. Achileus (Kagera)
  7. Huruma Godfrey - Mwanga (Kagera)
  8. Hamza Azael Almas - Hazina (Dar es Salaam)
  9. Gibbons Roy - Fountain of Joy (Dar es Salaam)
  10. Erastus Joseph - St. Peter Claver (Kagera)
Wasichana kumi bora kitaifa hawa hapa;
  1. Hadija Aziz Ally - Sir John (Tanga)
  2. Naseem Kareem Said - Sir John (Tanga)
  3. Insiyah Kalimuddin Ally - Sir John (Tanga)
  4. Colletha Masungwa - St. Achileus Kiwanuka (Kagera)
  5. Linah John Lameck - Sir John (Tanga)
  6. Saada Ahmed Omary - Sir John (Tanga)
  7. Khadija Salim Omary - Sir John (Tanga)
  8. Hannat Ramadhani - Dar-Ul-Muslimeen (Dodoma)
  9. Efrosina Geofrid - Omukaliro (Kagera)
  10. Nancy Elirehema Mejooli - Tusiime (Dar es Salaam)
Watahiniwa kumi bora kitaifa ndio hawa hapa;
  1. Hadija Aziz Ally - Sir John (Tanga)
  2. Naseem Kareem Said - Sir John (Tanga)
  3. Ibrahim Shaban - Tusiime (Dar es Salaam)
  4. Kadidi Mkama Kadidi- Paradise (Geita)
  5. Acius Job Missingo - St. Peter Claver (Kagera)
  6. Insiyah Kalimuddin Ally - Sir John (Tanga)
  7. Colletha Masungwa - St. Achileus Kiwanuka (Kagera)
  8. Mahir Ally Mohamedy - Feza (Dar es Salaam)
  9. Mbarak Faraj - Feza (Dar es Salaam)
  10. Philemon Damas - St. Achileus (Kagera)

, Alliance (Mwanza), Sir John (Tanga), Palikas (Shinyanga), Mwanga (Kagera), Hazina (Dar es Salaam), St Anne Marie (Dar es Salaam), Rweikiza (Kagera) na Martin Luther (Dodoma).

Amezitaja shule 10 ambazo hazikufanya vizuri kuwa ni;
Nyahaa ya Singida, Bosha (Tanga), Ntalasha (Tabora), Kishangazi (Tanga), Mntamba (Singida), Ikolo (Singida), Kamwala (Songwe), Kibutuka (Lindi), Mkulumuzi (Tanga) na Kitwai A (Manyara).

Halmashauri kumi bora kitaifa ni;
Kinondoni (Dar es Salaam), Moshi(M) (Kilimanjaro), Arusha(M) (Arusha), Ilala(M) (Dar es Salaam), Mafinga Mji (Iringa), Mlele (Katavi), Kigamboni (Dar es Salaam), Nzega Mji (Tabora), Mpanda (Katavi) na Chato (Geita)

Aliitaja mikoa iliyoongoza kitaifa kuwa ni;
Dar es Salaam, Geita, Kagera, Iringa, Kilimanjaro, Njombe, Arusha, Mwanza, Katavi na Tabora.

Dk Msonde amesema mikoa iliyofanya vibaya ni;
Singida, Tanga, Songwe, Lindi na Manyara.

Wavulana kumi bora kitaifa ni hawa hapa;
  1. Ibrahim Shaban - Tusiime (Dar es Salaam)
  2. Kadidi Mkama Kadidi- Paradise (Geita)
  3. Acius Job Missingo - St. Peter Claver (Kagera)
  4. Mahir Ally Mohamedy - Feza (Dar es Salaam)
  5. Mbarak Faraj - Feza (Dar es Salaam)
  6. Philemon Damas - St. Achileus (Kagera)
  7. Huruma Godfrey - Mwanga (Kagera)
  8. Hamza Azael Almas - Hazina (Dar es Salaam)
  9. Gibbons Roy - Fountain of Joy (Dar es Salaam)
  10. Erastus Joseph - St. Peter Claver (Kagera)
  11. Kilimanjaro=0
Wasichana kumi bora kitaifa hawa hapa;
  1. Hadija Aziz Ally - Sir John (Tanga)
  2. Naseem Kareem Said - Sir John (Tanga)
  3. Insiyah Kalimuddin Ally - Sir John (Tanga)
  4. Colletha Masungwa - St. Achileus Kiwanuka (Kagera)
  5. Linah John Lameck - Sir John (Tanga)
  6. Saada Ahmed Omary - Sir John (Tanga)
  7. Khadija Salim Omary - Sir John (Tanga)
  8. Hannat Ramadhani - Dar-Ul-Muslimeen (Dodoma)
  9. Efrosina Geofrid - Omukaliro (Kagera)
  10. Nancy Elirehema Mejooli - Tusiime (Dar es Salaam)
  11. Kilimanjaro = 0
Watahiniwa kumi bora kitaifa ndio hawa hapa;
  1. Hadija Aziz Ally - Sir John (Tanga)
  2. Naseem Kareem Said - Sir John (Tanga)
  3. Ibrahim Shaban - Tusiime (Dar es Salaam)
  4. Kadidi Mkama Kadidi- Paradise (Geita)
  5. Acius Job Missingo - St. Peter Claver (Kagera)
  6. Insiyah Kalimuddin Ally - Sir John (Tanga)
  7. Colletha Masungwa - St. Achileus Kiwanuka (Kagera)
  8. Mahir Ally Mohamedy - Feza (Dar es Salaam)
  9. Mbarak Faraj - Feza (Dar es Salaam)
  10. Philemon Damas - St. Achileus (Kagera)
  11. Kilimanjaro = 0
Inaonekana mwanafunzi wa kwanza ametoka Tanga , tena kwa kabila ni mzigua , sasa angekuwa ni muhaya humu tungekunywa maji kweli !!!
 
Back
Top Bottom