Sijavutiwa na Toyota Harrier a.k.a Tako la Nyani

CHIBA One

JF-Expert Member
Nov 16, 2018
560
2,087
Kwa wingi wa haya magari barabarani, jinsi watu wengi wanavyoyazungumzia na wengine wakiyataja Kama magari ya ndoto zao, nilikuwa Napata sana Shauku ya kuyaendesha, Ama kuyatumia Na ku feel ile Taste iliyomo ndani yake.

Juzi kuna Jamaa akaniletea Moja akiwa anaiuza.

Katika kuendesha hii gari nimegundua, yafuatayo:

1. Gari ni nyepesi sana unapofika speed kuanzia 120, inahitaji uwe makini sana kuicontrol..

2. Gari iko juu na inakosa balance kiasi kwamba kwenye kona kali ni msala mtupu kama ukiingia kichwa kichwa..

3. Haikupi comfortability nzuri ukilinganisha hata na Brevis...Yaani ukiwa kwenye Brevenga au Crown unasikia raha zaidi ya Harrier.

4. Ina fuel consumption kubwa tofauti na perfomance yake. (Yaani haina nguvu wala ubora mkubwa kulinganisha na utumiaji wake wa mafuta)

5. Bei Yake nadhani ilipanda kutokana na demand ya watu sababu ya kuigana ila ni gari ya kawaida sana....i would rather go for a cheaper Subaru forester XT than Harrier.

NB: Matamanio yangu kwenye Hii gari yameisha Rasmi na sijaandika uzi huu kuziponda, ila tu nilikuwa na over Expectations. ASALAM ALLEIKUM.
 
Kwa wingi wa haya magari barabarani, jinsi watu wengi wanavyoyazungumzia na wengine wakiyataja Kama magari ya ndoto zao, nilikuwa Napata sana Shauku ya kuyaendesha, Ama kuyatumia Na ku feel ile Taste iliyomo ndani yake.

Juzi kuna Jamaa akaniletea Moja akiwa anaiuza.

Katika kuendesha hii gari nimegundua, yafuatayo:

1. gari ni nyepesi sana unapofika speed kuanzia 120, inahitaji uwe makini sana kuicontrol ..

2. Gari iko juu na inakosa balance kiasi kwamba kwenye kona kali ni msala mtupu kama ukiingia kichwa kichwa..

3. Haikupi comfortability nzuri ukilinganisha hata na Brevis...Yaani ukiwa kwenye Brevenga au Crown unasikia raha zaidi ya Harrier.

4. Ina fuel consumption kubwa tofauti na perfomance yake. (Yaani haina nguvu wala ubora mkubwa kulinganisha na utumiaji wake wa mafuta)

5. Bei Yake nadhani ilipanda kutokana na demand ya watu sababu ya kuigana ila ni gari ya kawaida sana....i would rather go for a cheaper Subaru forester XT than Harrier.

N:B matamanio yangu kwenye Hii gari yameisha Rasmi na sijaandika uzi huu kuziponda, ila tu nilikuwa na over Expectations. ASALAM ALLEIKUM.
#1 wewe ni mtu wa pili kusema nyepesi, nina mtu wangu wa karibu aliwahi niambia hivyo.
 
Kwa wingi wa haya magari barabarani, jinsi watu wengi wanavyoyazungumzia na wengine wakiyataja Kama magari ya ndoto zao, nilikuwa Napata sana Shauku ya kuyaendesha, Ama kuyatumia Na ku feel ile Taste iliyomo ndani yake.

Juzi kuna Jamaa akaniletea Moja akiwa anaiuza.

Katika kuendesha hii gari nimegundua, yafuatayo:

1. gari ni nyepesi sana unapofika speed kuanzia 120, inahitaji uwe makini sana kuicontrol ..

2. Gari iko juu na inakosa balance kiasi kwamba kwenye kona kali ni msala mtupu kama ukiingia kichwa kichwa..

3. Haikupi comfortability nzuri ukilinganisha hata na Brevis...Yaani ukiwa kwenye Brevenga au Crown unasikia raha zaidi ya Harrier.

4. Ina fuel consumption kubwa tofauti na perfomance yake. (Yaani haina nguvu wala ubora mkubwa kulinganisha na utumiaji wake wa mafuta)

5. Bei Yake nadhani ilipanda kutokana na demand ya watu sababu ya kuigana ila ni gari ya kawaida sana....i would rather go for a cheaper Subaru forester XT than Harrier.

N:B matamanio yangu kwenye Hii gari yameisha Rasmi na sijaandika uzi huu kuziponda, ila tu nilikuwa na over Expectations. ASALAM ALLEIKUM.
Kwahiyo unataka gari ukanyage mafuta bado haikimbii

Then inaonekana hauko makini on road by the way tunaopenda kupepea hatuna malalamiko
 
Kwa wingi wa haya magari barabarani, jinsi watu wengi wanavyoyazungumzia na wengine wakiyataja Kama magari ya ndoto zao, nilikuwa Napata sana Shauku ya kuyaendesha, Ama kuyatumia Na ku feel ile Taste iliyomo ndani yake.

Juzi kuna Jamaa akaniletea Moja akiwa anaiuza.

Katika kuendesha hii gari nimegundua, yafuatayo:

1. gari ni nyepesi sana unapofika speed kuanzia 120, inahitaji uwe makini sana kuicontrol ..

2. Gari iko juu na inakosa balance kiasi kwamba kwenye kona kali ni msala mtupu kama ukiingia kichwa kichwa..

3. Haikupi comfortability nzuri ukilinganisha hata na Brevis...Yaani ukiwa kwenye Brevenga au Crown unasikia raha zaidi ya Harrier.

4. Ina fuel consumption kubwa tofauti na perfomance yake. (Yaani haina nguvu wala ubora mkubwa kulinganisha na utumiaji wake wa mafuta)

5. Bei Yake nadhani ilipanda kutokana na demand ya watu sababu ya kuigana ila ni gari ya kawaida sana....i would rather go for a cheaper Subaru forester XT than Harrier.

N:B matamanio yangu kwenye Hii gari yameisha Rasmi na sijaandika uzi huu kuziponda, ila tu nilikuwa na over Expectations. ASALAM ALLEIKUM.
Kinachoipa chati ni ule ujuujuu wake otherwise haina cha ajabu,sijui labda kwa hizi za kuanzia 2018...
 
Kwa wingi wa haya magari barabarani, jinsi watu wengi wanavyoyazungumzia na wengine wakiyataja Kama magari ya ndoto zao, nilikuwa Napata sana Shauku ya kuyaendesha, Ama kuyatumia Na ku feel ile Taste iliyomo ndani yake.

Juzi kuna Jamaa akaniletea Moja akiwa anaiuza.

Katika kuendesha hii gari nimegundua, yafuatayo:

1. gari ni nyepesi sana unapofika speed kuanzia 120, inahitaji uwe makini sana kuicontrol ..

2. Gari iko juu na inakosa balance kiasi kwamba kwenye kona kali ni msala mtupu kama ukiingia kichwa kichwa..

3. Haikupi comfortability nzuri ukilinganisha hata na Brevis...Yaani ukiwa kwenye Brevenga au Crown unasikia raha zaidi ya Harrier.

4. Ina fuel consumption kubwa tofauti na perfomance yake. (Yaani haina nguvu wala ubora mkubwa kulinganisha na utumiaji wake wa mafuta)

5. Bei Yake nadhani ilipanda kutokana na demand ya watu sababu ya kuigana ila ni gari ya kawaida sana....i would rather go for a cheaper Subaru forester XT than Harrier.

N:B matamanio yangu kwenye Hii gari yameisha Rasmi na sijaandika uzi huu kuziponda, ila tu nilikuwa na over Expectations. ASALAM ALLEIKUM.
Wanakuja na tlpaka 2023 kama mtaweza nunua iko vzuri
 
Back
Top Bottom