Sijavutiwa na Microsoft windows 8 kwenye matumizi yake

truegooner

JF-Expert Member
Apr 23, 2014
779
337
Habari zenu wakuu. Mpaka wiki hii nilikuwa sijawahi tumia Microsoft windows 8 operating system.

Nimeiweka kwenye laptop yangu kwa muda wa wiki moja, ila nimeitoa na kurudi Windows 7 altimate. Hii kitu interface yake kimtazamo wangu sidhani kama imedizainiwa kwa ajili ya laptops, au pc. Nadhani inawafit sana watu wenye tablets. Imekaa ki touch touch hivi, alafu vitu vidogo vya msingi kwenye desktop mpaka uzunguke kidogo.

Mfano mi nimezoea ile start button ukibonyeza tu, programs zinaonekana. Inakuwa kwangu ni rahisi kwenda baadhi ya maeneo kama control panel na kwingineko. Kwa mimi accessibility ya baadhi ya vitu kwenye windows 8 mpaka nifike huko, nakuwa nimepoteza sekunde kadhaa. Pia nafikiri hata nikija ijua vizuri sitaipenda kivile. Labda ni mazoea yangu na windows 7.

Hivyo nimeamua kurudi windows 7 ambayo nafikiri ndo super standard ya windows. Labda nijipe muda, naweza kuja ipenda windows 8 baadae, ila kwa sasa sijaipenda hata kidogo. Wenzangu, kama kuna aliyeipenda basi atujuze na nini hasa kimekufanya uipende windows 8 ktk laptop au pc yako, labda nitashawishika tena kuiweka na pia kama kuna wenzangu na mimi ambao hawajaipenda na wana sababu zao basi tujuzeni. Asanteni.
 
Ni muda tu inahitaji, ili uizoee vizuri, iko poa tafuta 8.1 hayo malalamiko yako yamerekebishwa kiaina.
 
unaweza kueka setting iboot kwenye desktop mode ili usione ile start screen. pia install classic shell au start 8 itarudisha start screen na kudisable charm bar
 
unaweza kueka setting iboot kwenye desktop mode ili usione ile start screen. pia install classic shell au start 8 itarudisha start screen na kudisable charm bar

Okei, asante! Ngoja nipitie pitie forum jinsi ya kuiweka. Kisha ni-install tena.
 
Nadhani unatumia windows 8 kamili, Ni muda mrefu sasa tangu windows 8.1 itoke. Version hii imerudisha start button na ni nzuri zaidi ya windows 8 kamili. Bado unatakiwa kufanya updates nyingi mpaka kufikia version mpya ya windows 8.1.
 
mkuu chief mkwawa natamani ufafanuzi wako ungeambatana na link zinazosaidia kurekebisha hizo shortcomings za windows 8.
 
mkuu chief mkwawa natamani ufafanuzi wako ungeambatana na link zinazosaidia kurekebisha hizo shortcomings za windows 8.

kwenye suala la start screen kuna solution za namna mbili,

official solution
hii ni solution ya microsoft mwenyewe inahitaji uwe umeupdate kwenda kwenye windows 8.1 halafu ufanye mambo haya.

1.utawasha computer yako itawaka kwenye start screen halafu utaclick tile ya desktop kwenda kwenye desktop mode.

2. peleka mshale wa wa mouse/touchpad kwenye taskbar eneo ambalo lipo tupu halafu right click kisha click properties. kama huijui taskbar ni eneo la chini ambalo icon za program unazotumia zinakaa
385c8434-d335-4ce5-8925-7d2357ba9ca4_0.jpg


3.ukishaingia kwenye properties utaclick navigation halafu utaona sehemu ya kuboot kwenye desktop tick kwenye box ili kuruhusu

windows-8-boot-to-desktop-100044314-orig.jpg


njia hii itafanya kila ukiwasha computer inawaka kwenye desktop tu ila start screen haitapotea utaenda ukitaka.

unofficial solution
hapa itabidi kudownload software nyingine zinazozuia start screen ya metro na kueka start kama ya win7. zipo software nyingi nitaziorodhesha chache hapa na screenshot zake.

1.pokki
hii ni maarufu zaidi na ndio inayokuja na laptop za lenovo pre installed muonekano wake ni unique na clean
img-Windows-8-Start-Menu.jpg

kuipata nenda hapa
https://www.pokki.com/windows-8-start-menu

2.classic shell
hii ina option ya kuchagua style tofauti tofauti na muonekano kama wa win7/xp
startmenu2.png

kuipata unaenda adress hii
Classic Shell - Start menu and other Windows enhancements

3.iobit start menu
hii pia ina muonekano wa win 7
startmenu.jpg

kuipata url ni hii
IObit Start Menu 8 for Windows 8 Free download, Bring Windows 8 Start Menu back
 
Nadhani unatumia windows 8 kamili, Ni muda mrefu sasa tangu windows 8.1 itoke. Version hii imerudisha start button na ni nzuri zaidi ya windows 8 kamili. Bado unatakiwa kufanya updates nyingi mpaka kufikia version mpya ya windows 8.1.

Basi itakuwa nilikuwa natumia hiyo ya 8 kamili. Ngoja niiweke tena kisha nii-update. Ku-update haina shida, nitanunua vifurushi vikubwa vya GB kuinyanyua. Asante kwa kunifaamisha.
 
kwenye suala la start screen kuna solution za namna mbili,

official solution
hii ni solution ya microsoft mwenyewe inahitaji uwe umeupdate kwenda kwenye windows 8.1 halafu ufanye mambo haya.

1.utawasha computer yako itawaka kwenye start screen halafu utaclick tile ya desktop kwenda kwenye desktop mode.

2. peleka mshale wa wa mouse/touchpad kwenye taskbar eneo ambalo lipo tupu halafu right click kisha click properties. kama huijui taskbar ni eneo la chini ambalo icon za program unazotumia zinakaa
385c8434-d335-4ce5-8925-7d2357ba9ca4_0.jpg


3.ukishaingia kwenye properties utaclick navigation halafu utaona sehemu ya kuboot kwenye desktop tick kwenye box ili kuruhusu

windows-8-boot-to-desktop-100044314-orig.jpg


njia hii itafanya kila ukiwasha computer inawaka kwenye desktop tu ila start screen haitapotea utaenda ukitaka.

unofficial solution
hapa itabidi kudownload software nyingine zinazozuia start screen ya metro na kueka start kama ya win7. zipo software nyingi nitaziorodhesha chache hapa na screenshot zake.

1.pokki
hii ni maarufu zaidi na ndio inayokuja na laptop za lenovo pre installed muonekano wake ni unique na clean
img-Windows-8-Start-Menu.jpg

kuipata nenda hapa
https://www.pokki.com/windows-8-start-menu

2.classic shell
hii ina option ya kuchagua style tofauti tofauti na muonekano kama wa win7/xp
startmenu2.png

kuipata unaenda adress hii
Classic Shell - Start menu and other Windows enhancements

3.iobit start menu
hii pia ina muonekano wa win 7
startmenu.jpg

kuipata url ni hii
IObit Start Menu 8 for Windows 8 Free download, Bring Windows 8 Start Menu back

Asante mkuu kwa maelekezo yako.
 
Windows 9 hiyo hapo naiona... Thats next big thing coming

Windows 9 imekuja fasta, win 8 haijakaa sana. Naona wanataka kufanya some improvements zinazotokana na shortcomings za win 8.
 
Windows 9 imekuja fasta, win 8 haijakaa sana. Naona wanataka kufanya some improvements zinazotokana na shortcomings za win 8.

hapana ni ile ile lifespan yao ya miaka 3 win 8 imetoka 2012 na win 9 itakuwa 2015. hio ya september 30 ni developer preview tu sio kwamba ndio os yenyewe
 
hapana ni ile ile lifespan yao ya miaka 3 win 8 imetoka 2012 na win 9 itakuwa 2015. hio ya september 30 ni developer preview tu sio kwamba ndio os yenyewe
Nakutoka Xp hadi Vista je? na kutoka Vista hadi Win7?
Naichukulia win8 kama ilivyokuwa Vista, ilishindwa kukata kiu ya watumiaji ikabidi ije Win7 fasta
Mtazamo wangu lakini
 
subiri windows 9 wamerudisha start menu sema imeongezewa maujanja kama dynamic tiles...
kwa ujumla windows 8.1 iko fasta sana ukilinganisha na windows 7 na ina nice features.. swala iweke iwe updates to the latest 8.1 update 1 au 2
 
kwenye suala la start screen kuna solution za namna mbili,

official solution
hii ni solution ya microsoft mwenyewe inahitaji uwe umeupdate kwenda kwenye windows 8.1 halafu ufanye mambo haya.

1.utawasha computer yako itawaka kwenye start screen halafu utaclick tile ya desktop kwenda kwenye desktop mode.

2. peleka mshale wa wa mouse/touchpad kwenye taskbar eneo ambalo lipo tupu halafu right click kisha click properties. kama huijui taskbar ni eneo la chini ambalo icon za program unazotumia zinakaa



3.ukishaingia kwenye properties utaclick navigation halafu utaona sehemu ya kuboot kwenye desktop tick kwenye box ili kuruhusu




njia hii itafanya kila ukiwasha computer inawaka kwenye desktop tu ila start screen haitapotea utaenda ukitaka.

unofficial solution
hapa itabidi kudownload software nyingine zinazozuia start screen ya metro na kueka start kama ya win7. zipo software nyingi nitaziorodhesha chache hapa na screenshot zake.

1.pokki
hii ni maarufu zaidi na ndio inayokuja na laptop za lenovo pre installed muonekano wake ni unique na clean


kuipata nenda hapa
https://www.pokki.com/windows-8-start-menu

2.classic shell
hii ina option ya kuchagua style tofauti tofauti na muonekano kama wa win7/xp


kuipata unaenda adress hii
Classic Shell - Start menu and other Windows enhancements

3.iobit start menu
hii pia ina muonekano wa win 7


kuipata url ni hii
IObit Start Menu 8 for Windows 8 Free download, Bring Windows 8 Start Menu back

bravo...! asante sana
 
Nakutoka Xp hadi Vista je? na kutoka Vista hadi Win7?
Naichukulia win8 kama ilivyokuwa Vista, ilishindwa kukata kiu ya watumiaji ikabidi ije Win7 fasta
Mtazamo wangu lakini

kaka hii ndio timeline.
windows vista 2006
windows 7 2009
windows 8 2012
windows 9 2015

mi sijui hesabu nisaidie tofauti ni miaka mingap.

windows 8 sawa haina mafanikio ya 7 lakini ipo mbali sana kuitwa failure sababu ishavuka 10% ina maaana imeuza sana kushinda computer zote za chromebook, mac na linux ukichanganya pamoja.
 
Back
Top Bottom