Sijapenda nilichokiona kwenye msiba wa Mzee Mkapa

Nitajibu hapo kwenye viongozi wa kisiasa kuwatumia viongozi wa dini kuhamasisha watu kupiga kura.

Katika nchi kuna taasisi. Taasisi ya kwanza ni Familia, zinakuja zingine mfano dini na serikali. Hizi zote zinatumika katika kushape raia.

Mfano tunataraji taasisi ya familia ilee watoto vizuri waje kuwa wachapakazi na wasiwe na tabia hatarishi. Taasisi hii ikifeli taasisi inayofuata itagewa jukumu hilo ndiyo katika dini utakuta Bakwata au mapadri wanatoa tamko juu ya ishu hot kipindi hicho, taasisi hii pia ikifeli na huyu mtu akazidi kupotea basi taasisi serikali itaingilia kati ili kumfunza huyu mtu.

Kwahiyo kiongozi wa dini kuaddress ishu zozote nchini siyo swala la kuchanganya dini na siasa au kuifanya nchi kua ya kidini. Hii ni Civics ya form two.
 
Uislam haunaga huo ujinga hata xiku moja kwanza kuingia mxkitini na xare zajexhi hakunaga hiyo kama ni mtu wenu mxubirini huko nje.Hata Kikwete wakati akiingia mxkitini maxkari jexhi na xare zao wanabaki nje kumxubiri xio ndan .
 
Amiri jeshi mkuu ni ex-officio title, ukimaliza muda wako basi hadhi imeisha, hakuna Amiri jeshi mkuu mstaafu tena, Bali Rais mstaafu. Tuachane na tabia ya kutafuta far fetched titles zisizokuwepo!
Ila mimi naona Bado atabaki kuwa aliyekuwa Amiri Jeshi mkuu
 
Sasa hapo si tayari unawagawa raia kwa imani zao....

Unadhani masheikh wakiwaambia wachague kiongozi kwa kufuata imani yao watakuwa wamekosea..... Hapo si utakuwa una devide raia...?!
Umeongezea kusema 'wachague kwa imani yao' mimi nimesema kuhimiza kupiga kura siyo kupiga kura kwa imani yao
 
Uixlam haunaga huo ujinga hata xiku moja kwanza kuingia mxkitini na xare zajexhi hakunaga hiyo kama ni mtu wenu mxubirini huko nje.Hata Kikwete wakati akiingia mxkitini maxkari jexhi na xare zao wanabaki nje kumxubiri xio ndan .
Dini lenu limejaa ubaguzi ndio maana waislamu waliostaarabika huwa wana behave kama wakristo.
 
Uixlam haunaga huo ujinga hata xiku moja kwanza kuingia mxkitini na xare zajexhi hakunaga hiyo kama ni mtu wenu mxubirini huko nje.Hata Kikwete wakati akiingia mxkitini maxkari jexhi na xare zao wanabaki nje kumxubiri xio ndan .
Mwalimu gani mpumbuvu alikufundisha kuandika hivi kwenye s unaweka x, au unafikiri bado uko Facebook sio.

Ole wako urudie tena kuandika kijinga kama hivi.
 
Ndio kuna taratibu ila kuna kufanya mambo kwa hiari tu. Wangetaka wangesimama tu wakaacha mambo yafanywe na wanaotakiwa tu incase hayawahusu.

Hivi msiba unapotokea kijijini kwenu wewe kama ndugu ukaamua kupasua kuni ama kubeba spika toka kwa mjumbe kuleta msibani. Haimaanishi hamna vijana wa marehemu ambao wanaweza kupasua kuni ila unafanya hilo kama sehemu ya kuonesha support na kuguswa kwa tukio lile. Mbona ishu iko simple.
 
Maaskofu wapo kimya wewe unalalamika ujue tu kuwa hakuna kilichoharibika hayo nimazoea tu uliyoyazoea wewe
 
Hujui taratibu za kijeshi kaa kimya

Askari akifariki huwa anazikwa kwa kufanyiwa taratibu zote na wenzake. Na kama hujui tu yaani hata kama ni kijijini ndani remote kiasi gani lazima wafike mpaka wahakikishe kaburi la "mwenzao" linefukiwa ndo wanamaliza taratibu zao na kukabidhi kwa familia. Jeneza lina Bendera ya Taifa, msalaba, na kwa askari na kofia na buti vinawekwa pale juu navyo wanashika wenyewe wakiwa katika uniform

Sasa hapo kwa askari wa kawaida sembuse huyu alikua Amir mkuu?

Vipi na kwenye ndoa je, unataka tusivae staff suit na kitara kiunoni kwenda nacho kanisani?
Hayo hufanywa kwa mwanajeshi, Amiri Jeshi si mwanajeshi ni raia kama mimi na wewe.
 
Back
Top Bottom