Amiri jeshi mkuu ni ex-officio title, ukimaliza muda wako basi hadhi hiyo imekwisha, hakuna Amiri jeshi mkuu mstaafu tena, bali Rais mstaafu. Tuachane na tabia ya kutafuta far fetched titles zisizokuwepo!Si ni Amiri Jeshi Mkuu Mstaafu. Ndo taratibu yenyewe za kijeshi. Sijaona shida hapo.
Madhabahu yalikuwa ya kutolea sadaka za kuteketeza wanyama watakatifu. Baada ya kifo cha Yesu hakuna tena picha wala mfano bali sadaka halisi alikuwa ni Yesu mwenyewe. So mtoa mada hajakosea bado inaitwa madhabahu tofauti sisi hatuchinji.Unajua maana ya madhabahu? Sadaka gani ya kuteketezwa inatolewa hapo?? Tofautisha mimbari na madhabahu.. halafu hapo ni uwanja wa uhuru siyo St Peter's hapo
JamiiForums mobile app
Huyu jamaa anaonekana ni mdini sana akumbuke dini haitamfikisha mbunguni bali kuzimuHata misiba ya kawaida msalaba wa kuzikia wenye jina la marehemu hubebwa na yoyote...... Usiwe mbwiga bwashee!