johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,029
πππBora usiengeenda hapo ibadani umefanya kazi ya hasara..
Wenzako ibada inaendelea ww unaingia jf
Labda bado yuko jimboni kwake Hai anasheherekea ushindi wa kura za maoni.
Nyakati nyingine hudaiwa Mbowe huwa hapati mialiko lakini ibada haina mwaliko, mimi na mzee Mgaya tupo ibadani.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Labda bado yuko jimboni kwake Hai anasheherekea ushindi wa kura za maoni.
Nyakati nyingine hudaiwa Mbowe huwa hapati mialiko lakini ibada haina mwaliko, mimi na mzee Mgaya tupo ibadani.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Malofa na wapumbavu wanaruhusiwa kwenye hiyo ibada?Labda bado yuko jimboni kwake Hai anasheherekea ushindi wa kura za maoni.
Nyakati nyingine hudaiwa Mbowe huwa hapati mialiko lakini ibada haina mwaliko, mimi na mzee Mgaya tupo ibadani.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Shughuli ya siku tatu hii..Mbona Kikwete, Mwinyi na Shein hawapo mkuu? Au hawapendi kusikia "Tumsifu Yesu Kristu"
Wale wanaruhusiwa kuja baada ya ibada...... Lakini Freeman na mama Anna wanaabudu Kanisa moja kule kwa Dr Shoo!Mbona Kikwete, Mwinyi na Shein hawapo mkuu? Au hawapendi kusikia "Tumsifu Yesu Kristu"
Juzi alionekana akifanya kampeni jimboni kwake Hai..... Lakini anatembea kwa kutumia mkongojo!Hivi toka ile ajali ameonekana tena hadharani?
Acha uongo mama Anna ni mkatoliki tunasali nae hapa osterbay kila j'piliWale wanaruhusiwa kuja baada ya ibada...... Lakini Freeman na mama Anna wanaabudu Kanisa moja kule kwa Dr Shoo!
Unamuota Mbowe tu shauri yako.Labda bado yuko jimboni kwake Hai anasheherekea ushindi wa kura za maoni.
Nyakati nyingine hudaiwa Mbowe huwa hapati mialiko lakini ibada haina mwaliko, mimi na mzee Mgaya tupo ibadani.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
ExactlyHiyo sio ibada ya malofa.
Were ulienda kumtafuta Mbowe au ulienda kusali?Labda bado yuko jimboni kwake Hai anasheherekea ushindi wa kura za maoni.
Nyakati nyingine hudaiwa Mbowe huwa hapati mialiko lakini ibada haina mwaliko, mimi na mzee Mgaya tupo ibadani.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!