Sijamwona Freeman Mbowe hapa ibadani

Haujaulizwa kama ulikuwepo au uko wapi kwa sasa, acha kila mtu aamini anachopenda na KAMWE usiyaongelee ya watu usiyoyajua

Nilikuwepo huko nikawapotezea muda tu. Hayo mambo ya kuamini bila kuhoji sinaga akili hizo. Niko nje ya box muda tu, ww endelea kupiga magoti mbele ya sanamu.
 
Maombolezo ya kuaga mwili was mzee Wetu Uwanja was Uhuru yatafanyika kwa siku tatu. Waneweka makusudi ili atakayeshindwabkwenda siku ya kwanza Basi aende siku ya pili au ya tatu

Kwahiyo kumjaji Mbowe kutokuhudhuria Ni uchonganishi wenye hisia za kiitikadi ya vyama. Tutamjadili baada ya jumanne lkn Leo mapema sana
Huyo jamaa n km huwa ana hasira na Mbowe
 
Labda bado yuko jimboni kwake Hai anasheherekea ushindi wa kura za maoni.

Nyakati nyingine hudaiwa Mbowe huwa hapati mialiko lakini ibada haina mwaliko, mimi na mzee Mgaya tupo ibadani.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Si mlimvunja mguu nyie wenyewe!! sasa ulitaka atembelee tumbo msibani bwa shee!!
 
Misa ya Sokwe mtu na MALOFA wapi na wapi.?
Mtuache MALOFA kwa raha zetu.. tunacheeka kwa dharau hasa baada kuona kaburi mtakalomfukia huyu Katili naMuuaji wa Wazanzibar.
Mnaopewa dhamana tendeni wema jamani.
 
Sisi malofa na wapumbavu atuwezi kwenda aasilani,na isitoshe wao wanalipana posho ya chakula ingawaje sadaka hawatoi hapo ila kama wewe ni mwenzao nenda achana na sisi malofa na wapumbavu
 
Labda bado yuko jimboni kwake Hai anasheherekea ushindi wa kura za maoni.

Nyakati nyingine hudaiwa Mbowe huwa hapati mialiko lakini ibada haina mwaliko, mimi na mzee Mgaya tupo ibadani.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Vipi ilikuwa ni lazima awepo?
 
Labda bado yuko jimboni kwake Hai anasheherekea ushindi wa kura za maoni.

Nyakati nyingine hudaiwa Mbowe huwa hapati mialiko lakini ibada haina mwaliko, mimi na mzee Mgaya tupo ibadani.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Katika viongozi wote wa nchi hii ni huyo tu hakuonekana? Au alikuwa na speciality gani yy kulazimika kuonekana hapo? Nini kilikwama kwa kutoonekana kwake? Hata angekuwa Padre au Askofu, mbona mambo yameenda vzr tu bila uwepo wake?? Acha hoja za kitoto bwn!!!!
 
Back
Top Bottom