Sijamwona Freeman Mbowe hapa ibadani

Hiyo ndio sababu vijana wengi wa kizazi hiki hawaendi huko kanisani hasa RC, bali wanaishia kwenye makanisa ya kiroho na matapeli wengine kama kina Gwajima. Kijana gani ataenda kwenye nyimbo zinaimbwa kwa uzito na vikolombwezo kama chekecheke aishie kusinzia? Ndio maana mleta uzi kaona bora aendelee na jf maana ataishia kulala.
Tunawasikitikia kwa upumbavu na ulofa wao, tungependa sana warudi kundini
 
Kwahiyo dini yako huwa inapiga nyimbo Kama TWANGA PEPETA ili msilale mnakata MAUNO TU?
Hiyo ndio sababu vijana wengi wa kizazi hiki hawaendi huko kanisani hasa RC, bali wanaishia kwenye makanisa ya kiroho na matapeli wengine kama kina Gwajima. Kijana gani ataenda kwenye nyimbo zinaimbwa kwa uzito na vikolombwezo kama chekecheke aishie kusinzia? Ndio maana mleta uzi kaona bora aendelee na jf maana ataishia kulala.
 
Labda bado yuko jimboni kwake Hai anasheherekea ushindi wa kura za maoni.

Nyakati nyingine hudaiwa Mbowe huwa hapati mialiko lakini ibada haina mwaliko, mimi na mzee Mgaya tupo ibadani.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Aisee kumbe hukwenda kusali,ulienda kufanya sensa
 
Back
Top Bottom