Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,030
- 103,435
Kwahiyo dini yako huwa inapiga nyimbo Kama TWANGA PEPETA ili msilale mnakata MAUNO TU?
Nilishaachana na hayo mambo ya dini muda mrefu. Siku hizi na deal na Mungu direct, sina muda wa kusubiri madalali wa kunipeleka mbinguni. Hizo dini zinazopiga ndombolo ya Yesu, ndio zenye mvuto kwa kizazi hiki.