johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Tangu atolewe gerezani mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amekuwa akikutana na watu maarufu mbalimbali kwa nyakati tofauti tofauti.
Wengi wataamini kuwa wanaenda kumpa pole kwa madhila aliyoyapitia lakini sisi wanasiasa tunajua kuwa Siasa ni Mbinu tena za kisayansi.
Natoa tu angalizo kuwa Muda wa kampeni za uchaguzi mkuu 2025 kwa mujibu wa sheria bado haujafika.
Kajituliza kwake kasuku.
Sabato njema.
Maendeleo hayana vyama!
Wengi wataamini kuwa wanaenda kumpa pole kwa madhila aliyoyapitia lakini sisi wanasiasa tunajua kuwa Siasa ni Mbinu tena za kisayansi.
Natoa tu angalizo kuwa Muda wa kampeni za uchaguzi mkuu 2025 kwa mujibu wa sheria bado haujafika.
Kajituliza kwake kasuku.
Sabato njema.
Maendeleo hayana vyama!