Si bure wewe ni JOYCE MUKYA , starehe ya DJ
unaona wivu eeh! Njoo na wewe bado ana nafasi moja iliyo wazi.
Ama kweli unazidi kuuthibishia ulimwengu kuwa unaumwa ugonjwa wa akili na unahitaji msaada wa matibabu. Vipi lumumba hampelekani Apolo? Au book 7 ndo mwisho wa shida? Zaidi ya hapo utajijua si ndio? Jadili hoja acha mambo ya kish§%oga kukalia umbea tu ya nani katoka na yupi ka jamaa yako mwigulu. Nyiye magamba ni simple minded category ndo hujadili people's affair badala ya hoja! Pole yenu!?