TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,773
- 21,270
Kila wakati ukifuatilia matukio tofauti ya kitaifa na yale kila siku unaweza kudhani anatoka tu nyumbani labda alisahau kuandaliwa au mke kashtukizwa au labda zile nguo muhimu hasa zipo kwa dobi.
Hebu tuangalie kwa pamoja hiyo suti ya makamu wetu wa Rais Dr. Mpango.
Sijui ni vile ililetwa au ilishonwa pasi vipimo, yaani nguo inakuwa oversize why lakini?
Hebu tuangalie kwa pamoja hiyo suti ya makamu wetu wa Rais Dr. Mpango.
Sijui ni vile ililetwa au ilishonwa pasi vipimo, yaani nguo inakuwa oversize why lakini?