Sijachaguliwa na nina GPA ya 4.0

Sijachaguliwa na nina GPA ya 4.0

Dah kumbe diploma mdebwedo sana,yani olev ulifeli ukaenda diploma ila huko umetoka na 4.8! Dah kuna haja ya diploma kutungiwa mtihani na NECTA
hapo umenena kiongozi nacte waanze mfumo wa kuwatungia mtihani,wenzao CLINICAL MEDICINE wanatungiwa mtihani na wizara ya afya.
 
Hivi wadogo zangu mbona mmepasua sana hivyo? tangu mwanzo wa thread mpaka mwisho kila mtu ana GPA ya 4.3-4.8 duuh.
Madogo wa clinical medicine ni wachache sana wanao score first class,au huko vyuoni kwenu mnabebwa sana?? au masomo yenu ni marahisi sana au?? hapa kuna haja muwe mnatungiwa mitihani na nacte kama wenzenu wa course clinical medicine.
Mpaka naingiwa na hofu GPA 4.8,4.7,4.5 WANATEMWA NOT ELIGIBLE
 
Elimu ya diploma ni simple, hiv uliwai sikia mtu kahitimu diploma afu hana sifa za kwenda chuo kikuu, labda kwa mwaka huu kwakua viwango vimebadilika. Ila muhitimu wa fom6 kukosa sifa za kwenda chuo iyo kawaida yani ukizingua umepotea na hapo ndio utakubali kua diploma ni SLOPE. Binafsi sijawai sikia muhitimu wa diploma kafeli eti hana sifa za kwenda chuo except this year.
Ninacho wakubali diploma ni kimoja tu, PRACTICAL WAKO VIZURI na hii ni kwa baadhi ya vyuo na wanafunzi SIO OTE.
 
Elimu yenu io ya Cheti wanajua kbsa magumashi yanayofanyika katika vyuo vyenu..na ukiandikiwa not eligible kuwa mpole tu.bora uombe chuo na course ambayo itakuandikia not eligible.usipoangalia utakosa chuo..nna kadem kangu kamemaliza six kalikua na gpa ndogo nmekafytia adi kamepata chuo adi saiv hakaamini..weka vyuo na cozi ambazo upo eligible hii ndio last opportunity.mkikosa apa ndio basi tena..
 
Hivi wadogo zangu mbona mmepasua sana hivyo? tangu mwanzo wa thread mpaka mwisho kila mtu ana GPA ya 4.3-4.8 duuh.
Madogo wa clinical medicine ni wachache sana wanao score first class,au huko vyuoni kwenu mnabebwa sana?? au masomo yenu ni marahisi sana au?? hapa kuna haja muwe mnatungiwa mitihani na nacte kama wenzenu wa course clinical medicine.
Mpaka naingiwa na hofu GPA 4.8,4.7,4.5 WANATEMWA NOT ELIGIBLE
Ukiwa mtu msomi huwez kujibu ujinga kama huo mtu anaejitambua ni msomi halafu msione watu wanapaform vizur mkawadharau kisa diploma holder achen ujinga embu jitambuen kama huna cha kucomment kaa kimya soma post then tulia
 
Elimu ya diploma ni simple, hiv uliwai sikia mtu kahitimu diploma afu hana sifa za kwenda chuo kikuu, labda kwa mwaka huu kwakua viwango vimebadilika. Ila muhitimu wa fom6 kukosa sifa za kwenda chuo iyo kawaida yani ukizingua umepotea na hapo ndio utakubali kua diploma ni SLOPE. Binafsi sijawai sikia muhitimu wa diploma kafeli eti hana sifa za kwenda chuo except this year.
Ninacho wakubali diploma ni kimoja tu, PRACTICAL WAKO VIZURI na hii ni kwa baadhi ya vyuo na wanafunzi SIO OTE.
Usijidanganye et elim ya diploma ni simple au mtu kabebwa chuo sio kwel hiyo ni mtu ka fight kufaulu halafu no research no right to speak are sure all diploma holders have meet requirement to apply degree? be careful with your words
 
Mmmh jaman pole Kwan profile yako inasemaje mana wengi wameabiwa provisionally selected

Kama umeandikiwa provisionally selected ni lazma uchaguliwe..tatizo vijana wa saiv mnasubiria adi mlishwe..fyt..jaribu kupitia websites za vyuo ambavyo uliomba wana majina ambayo wameyapublish soma lazma kuna chuo kimoja kitakua kimekuchagua ila hawajapost kwenye profile yako kwenye CAS..unaweza ukawa umechaguliwa na chuo flani ukawa umejua umekosa chuo kwa kuona profile yako haijabadilishwa..TCU wana mambo mengi wanategemea ata nyie mtaingia kwenye website za vyuo mlivyoomba kuangalia kama institutions mlizoomba zimewachagua au la..
 
Tusubiri. Hata mimi nimeomba Open, ndio first na second choice.

Na kwa ninavyoona chuo kina nafasi ndio maana hawajataka tujaze tena vyuo vingine au tufanye mabadiliko yoyote. Just wait for next selection
sasa mkuu nilitaka kufanya tena application so siwez coz wameniambia Wait next round au naweza
 
Hivi wadogo zangu mbona mmepasua sana hivyo? tangu mwanzo wa thread mpaka mwisho kila mtu ana GPA ya 4.3-4.8 duuh.
Madogo wa clinical medicine ni wachache sana wanao score first class,au huko vyuoni kwenu mnabebwa sana?? au masomo yenu ni marahisi sana au?? hapa kuna haja muwe mnatungiwa mitihani na nacte kama wenzenu wa course clinical medicine.
Mpaka naingiwa na hofu GPA 4.8,4.7,4.5 WANATEMWA NOT ELIGIBLE
Watu wakifeli mnawaita vilaza! Haya sasa watu wamekaza wamepata 4.3 to 4.8 unadhani wamebebwa! Huo ulionao ni wivu wa KIKE, hao medical wameshindwa kufikisha 4 kwa sababu hawajitumi kama wenzao wa course zingine ..over
 
Elimu ya diploma ni simple, hiv uliwai sikia mtu kahitimu diploma afu hana sifa za kwenda chuo kikuu, labda kwa mwaka huu kwakua viwango vimebadilika. Ila muhitimu wa fom6 kukosa sifa za kwenda chuo iyo kawaida yani ukizingua umepotea na hapo ndio utakubali kua diploma ni SLOPE. Binafsi sijawai sikia muhitimu wa diploma kafeli eti hana sifa za kwenda chuo except this year.
Ninacho wakubali diploma ni kimoja tu, PRACTICAL WAKO VIZURI na hii ni kwa baadhi ya vyuo na wanafunzi SIO OTE.
Nenda kasome diploma naona unawaonea wivu waliopitia diploma .hivi kwani ukipitia form 6 ndo una akili saana au ndo unajua saana? Ndo nyie mpaka form 6 hujui future yako muda wa application unatafuta eti course yenye hela wanayolipa vizuri
 
Nenda kasome diploma naona unawaonea wivu waliopitia diploma .hivi kwani ukipitia form 6 ndo una akili saana au ndo unajua saana? Ndo nyie mpaka form 6 hujui future yako muda wa application unatafuta eti course yenye hela wanayolipa vizuri
[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hawajitambui
 
Niliomba BAAF MOCU MZUMBE BAF IAA BA YA A/C IFM A/C NA ARDH B.SC AF TATIZO MSAADA JAMANI
Mkuu kati ya vyuo ulivyoviomba, je kipo ulichosomea diploma?
Kama umetokea diploma mara nyingi ni vyema ukiomba vyuo na kile ukiweke maana ukikosa pengine asilimia nyingi unaweza ukarudishwa pale,
 
Usijidanganye et elim ya diploma ni simple au mtu kabebwa chuo sio kwel hiyo ni mtu ka fight kufaulu halafu no research no right to speak are sure all diploma holders have meet requirement to apply degree? be careful with your words
Mkubwa ebu tuwe wakweli, wahitimu wa fom6 wasiokua na sifa za kuendelea na elimu ya juu Na wahitimu wa diploma wasiokua na sifa za kuendelea na elimu ya juu.Wahitimu gani ni wengi mtaani(except these year), sitaki unijibu najua unaju ukweli.

Angalia na hii; Uliwai sikia muhitimu wa certificate kutoka kwenye chuo chochote hapa bongo kakosa sifa za kujiunga na elimu ya diploma? Ila jiulize ni fom4 wangapi hawana sifa za kusoma diploma?. (kama wapo nafikili ni 100:1)
Iyo ndio tofauti iliyopo, pia simaanishi kuawa diploma hawanakitu Hapana. Kuna watu kam wawili ninawafahm walitoka na one fom4 na hawakwenda fom6 wakaenda diploma na wakapasua vzr tu ila lazma mkubali kua uko simple sio sawa na Advance

Ni kweli sijafanya research ila naomba unisameh kwa hilo.
 
Elimu ya diploma ni simple, hiv uliwai sikia mtu kahitimu diploma afu hana sifa za kwenda chuo kikuu, labda kwa mwaka huu kwakua viwango vimebadilika. Ila muhitimu wa fom6 kukosa sifa za kwenda chuo iyo kawaida yani ukizingua umepotea na hapo ndio utakubali kua diploma ni SLOPE. Binafsi sijawai sikia muhitimu wa diploma kafeli eti hana sifa za kwenda chuo except this year.
Ninacho wakubali diploma ni kimoja tu, PRACTICAL WAKO VIZURI na hii ni kwa baadhi ya vyuo na wanafunzi SIO OTE.
Wapo wengi sana, na pia wapo wanaodisco kabla hata ya kumaliza. Tofauti na form 6 lazima wote wamalize,
Na pia isitoshe sehemu inayokuja kupima uwezo wa mhitimu wa form six na diploma ni chuo, maana pale wanasoma darasa moja, mtihani mmoja ndipo kila mtu atajua uwezo wa mwenzake,
 
Mkubwa ebu tuwe wakweli, wahitimu wa fom6 wasiokua na sifa za kuendelea na elimu ya juu Na wahitimu wa diploma wasiokua na sifa za kuendelea na elimu ya juu.Wahitimu gani ni wengi mtaani(except these year), sitaki unijibu najua unaju ukweli.

Angalia na hii; Uliwai sikia muhitimu wa certificate kutoka kwenye chuo chochote hapa bongo kakosa sifa za kujiunga na elimu ya diploma? Ila jiulize ni fom4 wangapi hawana sifa za kusoma diploma?. (kama wapo nafikili ni 100:1)
Iyo ndio tofauti iliyopo, pia simaanishi kuawa diploma hawanakitu Hapana. Kuna watu kam wawili ninawafahm walitoka na one fom4 na hawakwenda fom6 wakaenda diploma na wakapasua vzr tu ila lazma mkubali kua uko simple sio sawa na Advance

Ni kweli sijafanya research ila naomba unisameh kwa hilo.
Nikikuita mpumbavu nitakuonea ila akili zako hazijitoshelezi/unbalanced.,.....
Hivi unawezaje fananisha mtu mwenye ACSEE na DIPLOMA....asilimia kubwa ya vitoto vya form six havina future vinakariri tu madarasani....
Mpeleke kwenye soko la ajira mwenye diploma na mwenye form six ndo utaelewa
 
Nikikuita ******** nitakuonea ila akili zako hazijitoshelezi/unbalanced.,.....
Hivi unawezaje fananisha mtu mwenye ACSEE na DIPLOMA....asilimia kubwa ya vitoto vya form six havina future vinakariri tu madarasani....
Mpeleke kwenye soko la ajira mwenye diploma na mwenye form six ndo utaelewa
Waambie hao
 
Wapo wengi sana, na pia wapo wanaodisco kabla hata ya kumaliza. Tofauti na form 6 lazima wote wamalize,
Na pia isitoshe sehemu inayokuja kupima uwezo wa mhitimu wa form six na diploma ni chuo, maana pale wanasoma darasa moja, mtihani mmoja ndipo kila mtu atajua uwezo wa mwenzake,
Nikikuita ******** nitakuonea ila akili zako hazijitoshelezi/unbalanced.,.....
Hivi unawezaje fananisha mtu mwenye ACSEE na DIPLOMA....asilimia kubwa ya vitoto vya form six havina future vinakariri tu madarasani....
Mpeleke kwenye soko la ajira mwenye diploma na mwenye form six ndo utaelewa
We kweli diploma, yan hata ujui kubishana kwa fact
 
We kweli diploma, yan hata ujui kubishana kwa fact
Wewe umeongea fact gani? Tena kwa ufinyu wa akili yako kaanze certificate, hata kama una degree.
Maana inaonekana unakua mwili tuu huku akili zimegoma kabisa.
 
Back
Top Bottom