Sijachaguliwa na nina GPA ya 4.0

Sijachaguliwa na nina GPA ya 4.0

Jamani hivi provisionally selected it means tusubiri,au inakuwaje?.maana kuna chuo kimoja bado hakijatoa majina nilichokiomba.
 
Mm nmeambiwa nafasi zimejaa, vigezo ninavyo vyuo vimebaki viwili kimoja kinataka watu 20 kingine wenye vigezo tupo zaidi ya mia 279
0,tuliokosa wote tunataka hizo kutokana na diploma tulizosomea.

Sent from mTalk
 
jamani kwenye profile wameniandikia hii ishu ya provisionally selected hivi inakuaje ?
 
Dah kumbe diploma mdebwedo sana,yani olev ulifeli ukaenda diploma ila huko umetoka na 4.8! Dah kuna haja ya diploma kutungiwa mtihani na NECTA
Kufel form four sio kwamba mtu hana akili hyo ni mipango ya mungu tu sio lazma uende advance ndo uonekane una akili
 
Back
Top Bottom