David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 3,604
- 8,564
acha kutokwa na povu mdogo wangu nimeongea ukweli mtupu,vyuoni kwenu wengi wenu mnabebwa mnapewa GPA ya chupi mtu anapata GPA 4.8 eti ana sifa!!Ukiwa mtu msomi huwez kujibu ujinga kama huo mtu anaejitambua ni msomi halafu msione watu wanapaform vizur mkawadharau kisa diploma holder achen ujinga embu jitambuen kama huna cha kucomment kaa kimya soma post then tulia
Nyinyi dawa yenu muwe mnatungiwa mtihani na nacte akili ndio zitawakaa sawa.
Wenzenu wa clinical medicine wanapewa mtihani na wizara ya afya wakishirikiana na nacte,na uko haukuti first class za ovyo kama za uko kwenu.
Ukweli ndio huo wadogo zangu poleni sana