mashishanga
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 611
- 429
Nakushaur uende huko ofisin tcu au nacte utapata ukiapply ya Tatu watakuxingua
Mkuu walifungua third round ya vyuo vyote?Kaka me nakushaur UA apply tena ...Jana walifungua third round. ..
Duuh hapa nashindwa kusoma vizuri, umedownload kutoka kwny website ya TCU?View attachment 415918maelezo ya TCU haya hapa
Yah IPO kwenye website ya tcuDuuh hapa nashindwa kusoma vizuri, umedownload kutoka kwny website ya TCU?
Duuh hapa nashindwa kusoma vizuri, umedownload kutoka kwny website ya TCU?
hata mm nawasubir haohao SUA...Lini SUA watatoa second selection ya wanafunzi?
nipo iringa kufika ofisini kwao ni shida iringa yenyewe kilolo
Dah kumbe diploma mdebwedo sana,yani olev ulifeli ukaenda diploma ila huko umetoka na 4.8! Dah kuna haja ya diploma kutungiwa mtihani na NECTAYan nacte cjui wana matatzo gan coz mm nina GPA 4.8 then wananania y don't have minimum requirements