Sijachaguliwa na nina GPA ya 4.0

Sijachaguliwa na nina GPA ya 4.0

Pole mkuu, kilichokukuta ndicho kimenikuta na mimi. Nina GPA ya zaidi ya 4, o level Nina credits zote tisa. Halafu nimeambiwa not eligible kwenye kozi zote nilizoomba. Nimesoma diploma ya mifugo na niliomba kozi ambazo ni mwendelezo wa mifugo (veterinary medicine, animal science, fisheries, beekeeping) sasa nashindwa kuwaelewa NACTE wanataka nini haswa.
Pole mkuu. Tukutane nacte pale ili watueleze vzuri
 
Si bora ninyi mmeona kabisa not eligible ili mchague course zingine....

Mimi nimeambiwa tu wait for next selection.

Sioni kwanini sijachaguliwa wala siwezi kuona hata course zile nilizochagua.

Just patiently waiting
HONGERA
 
Yaan sijui hawa NACTE wanaangalia nn..!! Nina GPA 4.2 ya Mechanical Engineering wananiambia NOT ELIGIBLE tena sina Minimum Requirements wakat O'level nina vigezo walivokuwa wanavitaka..!!
Ngoja nione na hii Third Round itakuaje...!!!
Hiyo 4.2 umesoma wapi?
 
sasa mkuu kwan first imeshatoka na second tayar au nishachanganyikiwa tena niliomba open univasity ndio ulikuwa chaguo langu la kwanza duh
Tusubiri. Hata mimi nimeomba Open, ndio first na second choice.

Na kwa ninavyoona chuo kina nafasi ndio maana hawajataka tujaze tena vyuo vingine au tufanye mabadiliko yoyote. Just wait for next selection
 
Niliomba BAAF MOCU MZUMBE BAF IAA BA YA A/C IFM A/C NA ARDH B.SC AF TATIZO MSAADA JAMANI
Daaa mimi na 4.5 gpa... First selection niliweka Ardhi Baf.... UD.. BCOM.. NA MZUMBE.... Ila sijachaguliwa.... Na Ardhi sidhani kama wametoa batch la diploma holders... Hata mimi sijui tatizo ni nini
 
Dah kumbe diploma mdebwedo sana,yani olev ulifeli ukaenda diploma ila huko umetoka na 4.8! Dah kuna haja ya diploma kutungiwa mtihani na NECTA
Sio wote wanaofeli form 4...ni wajinga... Kuna mwanafunzi alipitia certificate alikuwa na D plan na C ya math.... Alimaloza diploma na gpa ya 4.6...akaingia Mzumbe... BAF alikutana na form 6 wenye division 1 ya eca... Na form 4.....ila shuhuli waliiona... Alikuwa yuko competent zaidi ya hata hao form 6 magenius.... Aka graduate na first class... Na mwaka huo zilitoka chache.. Single digit.... Take care hao watu ni hatari... Kaamua kusoma... Na wako wengi tu..
 
Napenda kuwapa ushauri vijana wenzangu. Kuwa na gpa 4.5 inaweza isiwe kigezo cha wewe kupata chuo au kutopata. Kuna mengi sana wakati wa kufanya selection. Fikilia chuo kinanafasi 80 na walio omba ni zaidi ya 200. Kwanza kunawatu wana div 1 za point 3 yaani ana A zote alafu ww una gpa 4.5 na mko wengi yaani wakipanga kwenye ascending order automatically wewe huchaguliwi.


Pili hii thread inawatu wawili. Wakwanza anauluzia selection ya diploma na wa pili anaulizia selection ya bachelor degree. Kwahiyo michango yenu inakanganyana. Ingekuwa vizuri unapocoment unasema kama ww uliomba diploma au degree. Pia kwa walio omba degreee kunawatu wanatoka kwenye vyuo ambavyo hujitangaza kuwa vimesajiliwa na nacte. Lakini kiuhalisia ukimaliza hivyo vyuo huwezi kujiunga na chuo kikuu.
 
Napenda kuwapa ushauri vijana wenzangu. Kuwa na gpa 4.5 inaweza isiwe kigezo cha wewe kupata chuo au kutopata. Kuna mengi sana wakati wa kufanya selection. Fikilia chuo kinanafasi 80 na walio omba ni zaidi ya 200. Kwanza kunawatu wana div 1 za point 3 yaani ana A zote alafu ww una gpa 4.5 na mko wengi yaani wakipanga kwenye ascending order automatically wewe huchaguliwi.


Pili hii thread inawatu wawili. Wakwanza anauluzia selection ya diploma na wa pili anaulizia selection ya bachelor degree. Kwahiyo michango yenu inakanganyana. Ingekuwa vizuri unapocoment unasema kama ww uliomba diploma au degree. Pia kwa walio omba degreee kunawatu wanatoka kwenye vyuo ambavyo hujitangaza kuwa vimesajiliwa na nacte. Lakini kiuhalisia ukimaliza hivyo vyuo huwezi kujiunga na chuo kikuu.
Bro nimekuelewa... Ila diploma holder si wameekewa capasity yao... Na form 6 wana yakwao... Inamaanisha dip holder against dip holder... Na form 6 vs form 6....au inakuaje?....kw mfano Ardhi kabla ya mchakato kuanza Baf.. Capasity ilikuwa 10....kw walio appy nacte.... Kw ulivyosema wewe... Ina maanisha chuo kinahitaji wanafunzi 10 tu..... Au kumi tu wa diploma holders?
 
Bro nimekuelewa... Ila diploma holder si wameekewa capasity yao... Na form 6 wana yakwao... Inamaanisha dip holder against dip holder... Na form 6 vs form 6....au inakuaje?....kw mfano Ardhi kabla ya mchakato kuanza Baf.. Capasity ilikuwa 10....kw walio appy nacte.... Kw ulivyosema wewe... Ina maanisha chuo kinahitaji wanafunzi 10 tu..... Au kumi tu wa diploma holders?
Nakumbuka sisi ndo tulikuwa wakwanza kutumia cas na ilikuwa idadi inayoonekaza ni uwezo wa kozi husika kuchukua idadi ya watu yaani direct+diploma. Yaani kama ni ...60 jua hapo ni wote. Sina uhakika kama kunamabadilko
 
Nakumbuka sisi ndo tulikuwa wakwanza kutumia cas na ilikuwa idadi inayoonekaza ni uwezo wa kozi husika kuchukua idadi ya watu yaani direct+diploma. Yaani kama ni ...60 jua hapo ni wote. Sina uhakika kama kunamabadilko

Kwa mwaka huu form six ana compete na form six mwenzie, diploma na diploma mwenzie. Kama kozi fulani ina capacity ina capacity ya watu 80 kwa mfano, zitagawanywa katika makundi mawili form six 65 na diploma 15, hata ikatokea applicants wa diploma walioomba wakawa millioni moja ujue watashindania nafasi 15. Source TCU guidebooks 2016/2017 (for form six applicants and that for applicants with diploma qualifications).

Suala la pili, HAIWEZEKANI nikawa na GPA ambayo ni zaidi ya 3.0 na o level nikawa na zaidi ya D NNE au zaidi ya C tatu halafu nikakosa chuo kwa sababu inayosomeka "YOU DO NOT MEET MINIMUM QUALIFICATION" labda waseme kwamba COMPETITION ilikua kubwa, wenye vigezo vya juu zaidi yangu ndio wamepata.
 
Pole mkuu. Tukutane nacte pale ili watueleze vzuri

Jana nilikua NACTE kwenye ofisi zao za kanda ya nyanda za juu kusini eneo la soko matola Mbeya. Nilichokutana nacho huko ni balaa tupu, naambiwa matokeo yangu yaliyopo kwenye database yao (ambayo kimsingi ndio waliyatumia maana mimi walinitaka nijaze jina la chuo nilichosoma, kozi, mwaka niliomaliza na namba yangu ya mtihani) yanaonyesha ni INCOMPLETE tena yenye SUPPLEMENTARY (SUP) SABA (7).

Nilitaka kuzimia. Katika maisha yangu yote ya chuo sikuwahi kupata Sup hata moja. Nikawaonyesha transcript zangu pamoja na cheti (ambacho tumetengenezewa na NACTE wenyewe na kinaonyesha nimehitimu na Ku score ........ class), ndio nikaambiwa watanishughulikia maana kuna dalili kuwa matokeo yaliyopo kwenye database yamewa misled.
 
Back
Top Bottom