Sijachaguliwa na nina GPA ya 4.0

Sijachaguliwa na nina GPA ya 4.0

Nitakuchapa makofi,
Nimesoma lakwanza hadi nimemaliza chuo kikuu bila kufeli wala kurudia hata darasa moja... sawa dogo? Mimi ni msomi hivyo najua kupima mambo. Sawa???
Hesabu ya advance sijui ya wapi ina faida kwa yule ambaye anaihitaji. Au unazani kujua hesabu ni umemaliza kila kitu? Chuo wanasoma fani hawaangalii kipanga wa hesabu wala nini.
Tatizo lako unakariri maisha. Jitahidi sana ukue akili na mwili kwa pamoja.
POVU
 
Back
Top Bottom