Sijabahatika kupata mwanamke akaniomba pesa

Sijabahatika kupata mwanamke akaniomba pesa

hahahha beira baby boy kwa ubora wako ! hhhhaa ! we km wanawake zako hawakuombi pesa we uwe uanjiongeza tu msukuma mwenzangu ! kuna wanwake hawawez kuomba omba pesa km [HASHTAG]#mbiti[/HASHTAG] hapa sasa wewe uwe unajiongeza tu ! bora umeuliza jaman !

cc Kichwa Kichafu
Huwaga najiongozea momy lakin wanakataa kabisa

Unajua hata wewe siku ile nimekwambia nikutumie naul lakin ukakataa nilitaka nami hela yangu japo nitume kwa mwanamke kwa mara ya kwanza

Jana napo ndo hivo tena

Alafu nimeona cc kichwa kichafu kwahiyo jamaa siku hiz kanipiga bao
 
Kuna mwanamke anatafutwa humu kijanja. Mtoa mada unajitengenezea mazingira ya kuopoa madem humu JF. Hongera mkuu kwa akili kubwa
Hapana mkuu sio hivyo sema nimejiuliza sana lakin nimekosa jibu
 
Huwaga najiongozea momy lakin wanakataa kabisa

Unajua hata wewe siku ile nimekwambia nikutumie naul lakin ukakataa nilitaka nami hela yangu japo nitume kwa mwanamke kwa mara ya kwanza

Jana napo ndo hivo tena

Alafu nimeona cc kichwa kichafu kwahiyo jamaa siku hiz kanipiga bao


hahah sasa huon km ungetuma nauli nisingekuja ungekuja anzisha uzi nhumu nimekula pesa yako mkuu??? hapana kichwa kichafu nimemkwot ni wa nyumban huyu ! nimemkwot akupe hints kias ! ni zaid ya kaka !

humu mmi najulikana km [HASHTAG]#MBITIYAZA[/HASHTAG] NANYUPU
 
Nanyupu unapenda sana kutunga story ila kipaji huna.
Mkuu huwaga sijisikii kukaa siku moja bila kudondosha story jukwaan

Kwanini kipaji sina mkuu hebu jalibu kuni training kidogo
 
hahah sasa huon km ungetuma nauli nisingekuja ungekuja anzisha uzi nhumu nimekula pesa yako mkuu??? hapana kichwa kichafu nimemkwot ni wa nyumban huyu ! nimemkwot akupe hints kias ! ni zaid ya kaka !

humu mmi najulikana km [HASHTAG]#MBITIYAZA[/HASHTAG] NANYUPU
Jibu mubashara kabisa
 
Back
Top Bottom