Ngararimu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 288
- 497
mimi sipendi sana tabia ya demu goli kipa pia siyo endelevu kwa maana ya kwamba shuleni alikuwa mzembe huwezi kumuendeleza kwa sababu form 4 alipata zero, halafu anataka uwe unamkatia hela za kumtosha yeye na ukoo wake mzima, ukikauka anakuzongazonga. ukivunja uhusiano anakuganda mpaka ofisini ukimwabia ofisini ni sehemu ya kazi siyo ya kukutana na marafiki anakaa nje mpaka muda wa kazi uishe sipendi na sipendi kabisa kama mpo huku jamvini mkome na mkome kabisa........