Strong and Fearless
JF-Expert Member
- Apr 24, 2017
- 890
- 2,203
- Thread starter
- #41
DADA ANDIKA TENA BILA KULIA, MANA NAKUONA UNAANDIKA UNALIA HAPO MPAKA VIKAMASI VINAKUTOKA
![]()




inakeraDADA ANDIKA TENA BILA KULIA, MANA NAKUONA UNAANDIKA UNALIA HAPO MPAKA VIKAMASI VINAKUTOKA
![]()




inakerayesu wangu
tuache kuiga vitu vya wazungu bana

kidume kimezingua..
Niliwahi pata kasheshe ya kufa mtu. Nilikuwa bado mgeni mgeni. Profesa wangu alikuja akanikuta nimekaa sina hili wala lile akaniambia Shimba let's go grab some lunch. Sasa nikafikiri kuwa kwa vile yeye ndo kaniambia basi atakwenda kulipa bila shaka.Nchi kama US ukitoka date na demu basi malipo ni 50-50 mademu wa kibongo akipata Boy friend ndio anaona kama amepata ajira!
Huyo Mwanaume ndio wa level yako,kama ukibahatika ukampata wa level ya juu kidogo basi na yeye atakutema.
Mwanaume kama huyo futa namba hakufai kabisa.
Hajiamini, hana uwezo wa kuishi na wewe.pia hongera we ni mwanamke unayejielewa.
Next few wks nitakuja na series ya kuwafunda wanaume jinsi ya kuandaa mtoko wenye mafanikio kwa Mwanamke unayekutana naye kwa mara ya kwanza
Tutajadiliana vifungu vifuatavyo
1. Jinsi ya kupanga kukutana
2. Namna ya kujiandaa kukutana
3. Namna ya kuvaa siku hiyo( hakuna haja ya gharama za nguo)
4. Jinsi ya kutembea
5. Tabia na mienendo za kuwa nazo au ,a kuepuka unapokuwa n mwanamke kwa mara ya kwanza.
Ktk uzi wa Mwanadada huyu ametaja mambo mazito ambayo braza kakosea sana na imepelekea Mwanadada kumuona ni mtu wa hovyo na hafai kuwa Mwanaume wake.
Stay tuned.



Nimefuta his number.....
Wanangu kazi tunayo
Kwa nini uchague sehemu ambayo bia ya kawaida inauzwa 5000?
Na huyo ndio alikua awe mume wako huko mbeleni.
Shauri yako.
Msameheni bure ndugu yetuSasa alivyomwambia achague place it means ana afford bill...huyo kaka ni ndezi sana...🤣
Kuna jamaa mmoja yeye husema akitoka na dem anaagiza chips kavu moja wanashea na glass ya juice 1 mirija miwili 🤣🤣🤣🤣Umenichekesha,ila na wewe una kauchoyo Kwa hiyo ndio ukazila kula?ilibidi ule chap chap🤣🤣🤣
She was a Gold DiggerWewe ndo wale wale hamna cha kuchangia zaidi ya kutoa pussy na mwanaume akiomba mtoko huwa mnafanya kama kukomoa ivi kwann usinge chagua sehem nzuri ya bei rahisi? Kwanza jamaa angekuona una akili sana hata mshikaj huko alipo na yeye atakuwa amefuta na namba yako kabisa!
Nilimuombaga dem mmoja mtoko akakubali nikampa location tutakapo kwenda akasema mbona mbali sana gari yake haina mafuta nikamwambia usijali nitakutumia hela ya wese akasema poa nilichokifanya nikasema ngoja nione huyu ni mwanamke wa aina gani nilimtumia 30k nikamwambia weka mafuta hiyo akajibu sasa 30k itatosha mafuta gani na gari yake ina engine kubwa asee hapo hapo nikasema basi baki huko ulipo mimi nitakufata nilivyokata simu tu nikafuta na namba stupid kabisa! Yani 30k ya mafuta yeye anaona ni ndogo mbona hakuwa nayo sasa
Nawe ulikuwa mlaku sana, ulichagua sehemu ya gali na vya ghali eboo.
Kwani babako aliwahi kumpeleka ma mkwe pale?
![]()
HeheheKuna jamaa mmoja yeye husema akitoka na dem anaagiza chips kavu moja wanashea na glass ya juice 1 mirija miwili 🤣🤣🤣🤣
Next month lets meet for a dinner date. Chagua sehemu nzuri uipendayo.Pasu kwa pasu![]()
Ila wewe pia jinga sana. Ulivyoambiwa chagua ungechagua sehemu ya bei rahisi... angalia sasa malengo yako hayajatimia... jamaa kafakamia MSOSI WA NDOTO ZAKO. Halafu wanawake mnaopenda kiswanglish huwa mnakera balaa. Mimi ningekupeleka Holiday Inn lakini ungekunywa maji tu.



