Niko vizuri sana kwenye kipande hicho siendi out kiboya,unaweza jikuta unaosheshwa vyombo....Sipendi ujingaπ€£π€£π€£π€£Sisy unaagiza ambacho hata mwenyewe unaweza kujilipia. Wanaume wa kibongo hawachelewi kukimbia bill ooh!! Sio wa kuwaamini hata kidogo πππ
Sahihiπ€£ Mwanamke akikupenda hakupeleki maeneo ambayo utafilisika kwa masaa machache. π€£
Uko sawa....naweza kushare hata bill...kisanga ni pale humpendi Mwana ni mwendo wa pizza ya 40,kuku ya 24,Wine 35.π€£ Mwanamke akikupenda hakupeleki maeneo ambayo utafilisika kwa masaa machache. π€£
π€£Shenz type... Siku ingine tutatokomea kusikojulikana!!! Agiza kisteka sio unakurupuka tu πNdio naagiza ya laki kabisa kukuza brand yangu!!π€£π€£π€£
Unataka nionekane wa slay queen wa mchongo, wee vipi bana π€£π€£
Siku hizi wanakuvua wig nasikia π€£π€£π€£Niko vizuri sana kwenye kipande hicho siendi out kiboya,unaweza jikuta unaosheshwa vyombo....Sipendi ujingaπ€£π€£π€£π€£
π€£ Muhuni akitoka hapo anaugulia rohoni tu! Sema siku ukiingia kwenye 18 sasa lazma ajiunge kama mboga, tangawizi+kipande cha muhogo+panadol+congo dust yani mpaka usemeee π€£π€£π€£Uko sawa....naweza kushare hata bill...kisanga ni pale humpendi Mwana ni mwendo wa pizza ya 40,kuku ya 24,Wine 35.
Nyooo!! π€£π€£π€£π€£Shenz type... Siku ingine tutatokomea kusikojulikana!!! Agiza kisteka sio unakurupuka tu π
π€£ Huo ndio uungwana, yani we manz ilikuwa kidogo uzaliwe Norway sijui baba mkwe alifeli wapi yani. Tabia za kizungu mwili wa kiafirika πUngezuga,hii nyama tamu tuongeze sahani nyingine nitashare bill...
Hiyo 30K alirudisha au ulitoa sadaka ya kuteketeza Kama Ibrahim kwa mwanae IsakaWewe ndo wale wale hamna cha kuchangia zaidi ya kutoa pussy na mwanaume akiomba mtoko huwa mnafanya kama kukomoa ivi kwann usinge chagua sehem nzuri ya bei rahisi? Kwanza jamaa angekuona una akili sana hata mshikaj huko alipo na yeye atakuwa amefuta na namba yako kabisa!
Nilimuombaga dem mmoja mtoko akakubali nikampa location tutakapo kwenda akasema mbona mbali sana gari yake haina mafuta nikamwambia usijali nitakutumia hela ya wese akasema poa nilichokifanya nikasema ngoja nione huyu ni mwanamke wa aina gani nilimtumia 30k nikamwambia weka mafuta hiyo akajibu sasa 30k itatosha mafuta gani na gari yake ina engine kubwa asee hapo hapo nikasema basi baki huko ulipo mimi nitakufata nilivyokata simu tu nikafuta na namba stupid kabisa! Yani 30k ya mafuta yeye anaona ni ndogo mbona hakuwa nayo sasa
Wala sio ubahili, unakuta pia hakua vizuri mfukoni. Na nyie bila kuwajaza kuwa mfukoni tupo vizuri huwa hamkubali
Sema mwanaume mwenzenu bahili na mchoyo!!
Siku hizi wanakuvua wig nasikia
Me kwakweli hiz out za wamatumbi lazima nibebe cash na tembo card incase tukizinguana nisiaibike.
Km Sina pesa siendi, wamatumbi hawajawahi kueleweka
Hahah hamna hio huwa tuna sense tu.π Utashangaa tu umebakia mwenyewe na bill zako za kulipa. Maana Menu ikija ukaona muhun kaagiza maji jua mbombo ngafu.Nyooo!! π€£π€£π€£
Yaani namwambia mhudumu chukua pesa kabisa, ndio ulete hiko kinywaji.
Huyu mmatumbi anaweza kukimbia π€£
Sasa kilichokushinda kula naye ni nini? Mpaka kumsusia msosi?Nilikuja na gari yangu si kumuomba hela ya mafuta na hela nilikua nayo kwenye my purse na kwenye simu pia, Basi na mm nilikua nampima pia na Ndio maana nimeona hanifai nimefuta namba yake na sijapokea simu zake hadi leo hii
Mboja ume lalamika Kama ume nyimwa uji wa msibaniππ€£π€£Nyooo unadhani wote Ndio kama hao uliokutana naowengine wazee wetu wako vizuri na Ndio maana wanahakikishe na mabinti zao wawe na watu wanaojitambua
π€£ We tunaenda kula pweza tu mtaani na miguu ya kuku π€£ hamna namna inginepole sana.
Mimi mtu akitaka kunitoa out huwa namwambia anipeleke popote tu ili nijionee yeye yupo level zipi au ananichukulia wa hadhi gani.
Akinilazimisha sana nichague nampeleka kwenye machimbo ya kitimoto huko uswazi ndio ashindwe hata kunipiga sound.
π€£π€£π€£π€£Acha tu, ukimpenda mwenzio utamuonea huruma....unaona mwanaume wa watu kapewa bill Hadi sura inabadilika,sio poa π π ππ€£ Huo ndio uungwana, yani we manz ilikuwa kidogo uzaliwe Norway sijui baba mkwe alifeli wapi yani. Tabia za kizungu mwili wa kiafirika π
Mwanaume analipa ila inakuwa sio fairplay. Jamaa aliona msosi wa 45K ale demu tu akaona bora waende rato kwa ratoπ€£π€£π€£π€£π€£Acha tu, ukimpenda mwenzio utamuonea huruma....unaona mwanaume wa watu kapewa bill Hadi sura inabadilika,sio poa π π π
Wala sio ubahili, unakuta pia hakua vizuri mfukoni. Na nyie bila kuwajaza kuwa mfukoni tupo vizuri huwa hamkubali
Sema mwamba kanichekesha sana, hizo unatakiwa uwe umejipanga muda sio unakurupuka tu