Siipendi hii tabia


Na mm kufuta no yake ni faida pia kwangu coz sio mkwlei ni tapeli na muongo tu anaishimaisha ya maigizo sio husband material
 
Mje muanze kulialia na hela za mawazo


Mie natoka nyumbani nimeshiba ugali,na mfukoni nina chochote kitu.
Nilikatazwa kununuliwa chakula.

Kama ulikatazwa kununuliwa chakula Basi na kwenye ndoa uwe unajilisha mwenyewe Lol
Au ata kwenye relationship fanya kila kitu mwenyewe bila mchango wowote wa wa mwanaume uone raha yake
 
Tena Ndio ingependeza na ningempa na hela ya mafuta na next time mm Ndio ningemtoa out na kumhudumia vizuri na ikiwezekana kumuweka ndani tu
Chakula tu anachokilipia yeye kimekuuma mpaka unasema ulimblock.
 
Katika umri huo we unajiona uko sahihi kulilia chakula?,kingine unaonekana una tabia ya uchoyo
 

Lazima tuwaambie tu ukweli wanaume ata iwaume vipi achaneni na maisha ya kuigiza mtaumbuka
 
Sema ukiwa na umri 20s unabidi kuishi MAISHA yenye maana na sio kutegemea offer za wanaume ili upate kitu, sometime waafrica mnakuwa kwa kurudi nyuma na sio kwenda mbele.

Yy Ndio kaomba kunitoa mm on a date
Angesema hawezi ku afford Basi mm ningempeleka na kumhudumia kila kitu
yule mwanaume suruali
 
Amefanya vizuri sana,kukutongoza agalimike ,kukulisha agarimike na bado kulitafuta bao agarimike safi hiyo ndo dhana bora 50/50 ameitendea haki ipasavyo coz kipindi anasulubika kubeba zege hukuwepo

Na mm kipindi na build my future na kujitengeneza na kuwa mrembo hakukueposo asidhani kudanganya kwake ndo atawapata wanawake kirahisi
 
Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Alikufikisha kagongwabusisi au hakukugonga baada ya kula huo mtama wake?
 
...usifkir hcho chakula ulichokula kidogo umekula bure... Kuwa na busara bc dear shemu... Amekula coz kajiskia kula... Afu ulikosea kususa kula kisa yeye kaonja... Uo ni ulafi... We ungekula nae kama haikukuuma yeye kula shemejiiii... 52iii2 V1/291/2 2C11/112222...
 
Bora ulivyofuta namba yake, huyo angekusumbua sana siku za usoni....

Hana haiba ya uanaume, hajiamini, hana aibu pia.
Siku hizi hua tunauliza Bei kwanza kabla ya kufikishana mbali wewe breakfast unatumia 200k wakati mwajuma nchokonoe anatumia 1500 ya mihogo alafu mnamiliki kitu kile kile sasa si Bora mtu ajipimie kina chake mapema
 

Nilikuja na gari yangu si kumuomba hela ya mafuta na hela nilikua nayo kwenye my purse na kwenye simu pia, Basi na mm nilikua nampima pia na Ndio maana nimeona hanifai nimefuta namba yake na sijapokea simu zake hadi leo hii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…